Nimerudi nyumbani kutoka mahali ninapofanyia shughuli zangu, nimekutana na kitu kinanipa mawazo sana.
Mwanangu wa kwanza (4yrs old) alikuwa anapenda shule sana, mwaka jana alikuwa anasoma shule si mbali sana na
Lea mwanao Hadi miaka 5 , miaka 6 ndio aanze kwenda Shule ya msingiMkuu upo sahihi.
Waalimu watussidie hapa. Hii kumkaririsha mtoto mpaka namba 1,000 shule ya awali inakuwaje kwani?
Ni kutesa watoto..Nawaona saa 12 wanaenda shule kwa mguu, najiuliza ,saa hii wanaenda kufanya nini
Yaani nimetoka kuwaamshia hapa, wanajifanya wanasusa eti uamuzi ni wako, nafanya utaratibu wa usafiri Kila saa 8 awe anatoka shule arudi nyumbani,muda mwingine wazazi tufanye màamuzi kwa maslahi mapana ya vizazi vyetuYaani hizi shule zina ujinga mwingi. Mwanangu darasa la kwanza wanatoka saa 11, anafika home saa 12, kachoka hawezi lolote, kapungua balaa. Namhamisha shule hii term ijayo, potelea mbali. Mimi nimesoma kayumba na sikuteseka hivyo na shule.
Kosa ni lako mzazi mtoto wa miaka minne unampeleka shule ya mbali.Nimerudi nyumbani kutoka mahali ninapofanyia shughuli zangu, nimekutana na kitu kinanipa mawazo sana.
Mwanangu wa kwanza (4yrs old) alikuwa anapenda shule sana, mwaka jana alikuwa anasoma shule si mbali sana na
Elimu yenyewe hii ya kuja kukutana na mishahara ya laki 4 ukitoka chuo, upuuzi tu!
Unamkimbiza asichapwe ?Shule ya karibu na nyumbani wanachapa sana wanafunzi, mtoto akipata chini ya 80 atakula fimbo za maana. Siku moja nilipita nikasikia watoto wanalia balaa, kuuliza naambiwa wanakula mboko sana
Hili nimeliona, nimeenda kuongea nae wananisusia eti utajua mwenyewe, nafanya utaratibu wa usafiri awe anaenda saa 2 saa 8 anatokaWazazi wa siku hizi sijui mna nini!?
Yaani mko selfish kupitilizaaaa. Unamuamsha mtoto wa miaka 4 saa11 alfajiri ili akakuletee nini huko shuleni!?
Unampeleka mtoto arasa la kwanza akiwa na miaka5 ili iweje?
Mbona mnawaonea hawa watoto!??? Yaani Mungu anakupa pesa, pesa inakupeleka kuwa mtumwa wa kuitumia bila kufikiri!?
Kama unampenda mwanao miaka minne kushuka chini unatakiwa uamue kwenda kuishi jirani na shule unayompeleka ili hata akiamka saa moja aende; au mpe homeschooling, tumia hiyo pesa kuajiri walimu watakaomfuata nyumbani
Mimi kanuni yangu ya malezi siwezi ishi umbali wa zaidi ya km 5 kwenda shuleni kwa mtoto wa primary
Unasema kweli kabisa. Ila mimi naona hili ni suala la wazazi wenyewe na uongozi wa shule na siyo serikali. Mimi nikiona mushkeli kidogo tu kwenye shule huwa nawasiliana na uongozi na wakileta ujuaji namhamisha kwenda shule nyingine. Japokuwa shule za Tanzania ni kama wanaigana namna ya kuendesha shule (miundo na uendeshaji umejaa makosa mengi) lakini bado kuna chache wanazingatia taratibu nzuri.Nimerudi nyumbani kutoka mahali ninapofanyia shughuli zangu, nimekutana na kitu kinanipa mawazo sana.
Mwanangu wa kwanza (4yrs old) alikuwa anapenda shule sana, mwaka jana alikuwa anasoma shule si mbali sana na hapa, walikuwa wanatoka saa 6 mchana, sasa mwaka huu nikaona nimtafutie nursery bora angalau hata mwakani aanze
Hizi daycare kasoma mwaka Jana ilikua hapa tu, mwaka huu nikapewa recommendation na mtu Kuna nursery nzuri ndo nikawa nimempeleka huko, ila nimegundua nilifanya Kosa kubwa sanaKosa ni lako mzazi mtoto wa miaka minne unampeleka shule ya mbali.
Hapo anakuwa wa kwanza kuchukuliwa na wa mwisho kurudishwa. Unaweza kukuta anawahi kutoka ila anazunguka mji mzima kurudisha wenzake.
Mtoto mdogo unampeleka daycare za jirani za kutembea tu dada anampeleka saa saba au nane anaenda kumchukua.
Unapochagua shule ya kumpeleka mtoto unaangalia factor nyingi sana moja wapo ni umbali
Wewe unadhani kuchapa ni vizuri? Sana sana unaishia kuwa na watu ambao ukubwani wana matatizo na makatili.Unamkimbiza asichapwe ?
Ni kosa kuamini bila kushirikisha wazazi.Labda wanaamini wazazi wengi muda wa saa 7 wanakuwa wako kazini kwahiyo wanawachelewesha ili wakutane jioni.
Hiyo ni kwa sababu wapo wazazi huwapeleka watoto nursery kama kumtunza tu(huku alison's) wakati yeye akiwa kazini.
Kuna kuchapwa lakini sio viboko vilivyopitiliza. Sisi tulichapwa lakini sio kwa ajili ya kupata chini sijui ya 80, tulichapwa kwa makosa yakueleweka. Utampchapaje mtoto kapata chini ya 80, huu ni ukatili kwa watoto.Unamkimbiza asichapwe ?
Ni kweli, viboko visiwe ndio njia ya kufundishia. Watoto wanaishia kukariri tu ili wajibu mitihani.Wewe unadhani kuchapa ni vizuri? Sana sana unaishia kuwa na watu ambao ukubwani wana matatizo na makatili.
Wazazi huwa tunaangalia shule inayofanya vuzuri bila kuangalia vitu vinginr. Kuna rafiki yangu nilimshauri amwamishe mtoto shule ya karibu aachane na huo ujinga. Ndani ya miezi miwili mtoto alinenepa. Tunawapa watoto mateso sanaHizi daycare kasoma mwaka Jana ilikua hapa tu, mwaka huu nikapewa recommendation na mtu Kuna nursery nzuri ndo nikawa nimempeleka huko, ila nimegundua nilifanya Kosa kubwa sana
Leo nimeenda shuleni nimewaambia mwanangu ataripoti saa 2 saa 8 anatoka usafiri ntamtafutia mwenyewe au nimtoe hapa, wamekubal kishingo upande
Heri uvuje damu wakati wa mazoezi ili uje kutoka jasho kidogo wakati wa vita. .....ukipenda iwe kama uanvyotaka wewe au ukimuonea huruma chalii wako kuna uwezekano mkubwa wa kuja kujuta baadaeNimerudi nyumbani kutoka mahali ninapofanyia shughuli zangu, nimekutana na kitu kinanipa mawazo sana.
Mwanangu wa kwanza (4yrs old) alikuwa anapenda shule sana, mwaka jana alikuwa anasoma shule si mbali sana na hapa, walikuwa wanatoka saa 6 mchana, sasa mwaka huu nikaona nimtafutie nursery bora angalau hata mwakani aanze la kwanza.
Aisee sasa hivi ndio nimekaa nyumbani, yapata muda kidogo wife alinambia siku hizi dogo hapendi shule, nikamwambia labda hajapata marafiki hiyo shule mpya!
Sasa hawa watoto wa nursery wanaamka saa 11:30 saa 12 gari lipo getini, kutoka shule saa 12, homework kibao, mtoto muda wote namuona kachoka.
Leo kaamshwa kwenda shule mtoto analia tu, yaani hawa watoto wana ratiba ngumu kuliko hata watumishi, hivi kweli nursery mkiwaachia saa 7 kuna tatizo gani? Wanacheza na kurelax saa ngapi hawa watoto?
Leo naenda kukiwasha shuleni, mwanangu mwisho saa 8 atakua anakuja kuchukuliwa anapelekwa nyumbani, kama hawataki poa tu nitatafuta shule nyingine, uzuri private zipo kama utitiri.
Serikali wekeni miongozo ya elimu, hwa watoto wana ratiba ngumu hata physiological sidhani kama wanafurahia shule kama miaka yetu ile.
Elimu yenyewe hii ya kuja kukutana na mishahara ya laki 4 ukitoka chuo, upuuzi tu!
Wewe unaona Sawa?Heri uvuje damu wakati wa mazoezi ili uje kutoka jasho kidogo wakati wa vita. .....ukipenda iwe kama uanvyotaka wewe au ukimuonea huruma chalii wako kuna uwezekano mkubwa wa kuja kujuta baadae