Ule mkataba hauna shida yoyote ile, mbaya ni kwamba, wanaojadili na wanaopiga kelele ni watu wasio na uelewa na masuala ya Uwekezaji.
1. Ukomo wa mkataba.
Uwekezaji wa Long term tena wenye, kuweka new Fixtures and fittings, miundombinu, kulipa kodi ndani yake always hauna time limit, isipokuwa huwa na utaratibu wa kufanya maboresho na utenganifu ikitokea kuna mgogoro.
2. Umiliki wa Ardhi.
Hii nchi hakuna anayemiliki ardhi bali hupewa mamlaka ya kuitumia, na endapo serikali itaihitaji huichukua, hata hivyo huwezi kumpa mtu uwekazaji then asiwe na right of use kwa hiyo Ardhi.
Wengi wanaochangia au kutoa mawazo yao ni wale wasiojua uwekezaji.
NB: Waliosoma ECONOMICS, FINANCE, ACCOUNTING nk wamesoma BUSINESS LAW ili kudeal na aina mbalimbali za mikataba ya kiuwekezaji na Biashara.