Serikali isikubali mtafaruku wa Bandari kuchukua mkondo wa kidini, ni ngumu kuidhibiti

Well, I agree to disagree. Kuna muda inabidi uwe kauzu kufanya jambo kwa manufaa mapana ya nchi

Ni kweli lakini hilo haliwezekaniki kwenye katiba inayotaka mamlaka itoke Kwa wananchi.

Kwa sababu hata uwepo wa Mtawala unatokana na maamuzi ya wengi waliomchagua. Hivyo kuenda kinyume Chao ni usaliti usiovumilika
 
TATIZO NI CCM KILA ANAYEPINGA MKATABA ANAULIZWA DINI AU CHAMA
 
Nahisi wanadhani ndio njia ya kuukosesha maana mjadala, ila hawajui tu kwa hapa wanaleta kasheshe kubwa. Sasa hivi Masheikh baadhi wakiongea na waumini wao wanasema Mama anachukiwa kisa anavaa hijab! Imagine, kutoka kwenye discussion ya bandari mpaka hijab!! Wanawatia moto waumini waone hamna la ziada zaidi ni hijab ya mtu. Haijengi hii, inabomoa.
 
Inawezekana mkataba una kasoro kweli ila ukiwasikiliza wabongo hamna kitu utafanya, watakupangia hadi mambo ya faragha.

Soon masheikh nao watatoa tamko kuunga mkono hoja. Hili sakata lishachukua sura ya kidini, ni ujinga wa kiwango cha juu.
Mashekhe ni watu wenye nidhamu sana usipowachokoza wanaweza kuchagua kukaa kimya, naamini watamuongoza mama vyema lkn hawezi kutoa tamko la kuigemea serikali nao wanajua watakuwa wanaukoleza moto, wataka kimya kama Wabunge tunaowafahamu kuwa ni wachambuzi wazuri wa mijadara mbalimbali, na yewezenaka hao wabunge kuna ahadi wamepewa dpw
 
Inawezekana mkataba una kasoro kweli ila ukiwasikiliza wabongo hamna kitu utafanya, watakupangia hadi mambo ya faragha.

Soon masheikh nao watatoa tamko kuunga mkono hoja. Hili sakata lishachukua sura ya kidini, ni ujinga wa kiwango cha juu.
Tunakaribia njia panda na tukifika hapo itakuwa shida kujua njia ipi sahihi. Bora kurudi au kuendelea?
 
Mama aliiingizwa mkenge na wajanja hakuuelewa vizur.
Kanisa ni sauti ya watu
 
Soon ataufuta au kurekebisha vifungu.
Mkataba unatakiwa uwe 50 kwa 50 kwa faida ya nchi na Sio kama Yale ya kutuachia maandaki kwenye madini.
Tulichofaidika nacho ni kujengewa vyoo
 
Mama aliiingizwa mkenge na wajanja hakuuelewa vizur.
Kanisa ni sauti ya watu

Marekebisho yafanyike.
Yakifanyika alafu Watu wakaleta fyokofyoko tutaona wao( hao Watu) ndio wenye matatizo. Lakini yasipofanyika tutajua tatizo lipo Kwa serikali
 
Mi bado Nina Imani na rais hasa Nia yake ya kuleta mageuzi ya kiuchumi hasa ukilinganisha na tulipotoka. Mageuzi siku zote yanapata upinzani hasa kutoka wale wansofaidika na hali iliyopo. Pia naami rais amesikilia hizi kelele hasa zile ambazo ni genuine na nashuuri zitumike jitihada za closed door zaidi hasa kwa viongozi wetu badala ya kuzidi kuleta migawanyiko kwa wananchi.viongozi wote washirikiane wao kwa wao kwanza ikishindikana ndio watoke hadharani hiyo ndio hekima , mambo yakiharibika hakuna atayepata cha maana zaidi sana watafaidi mawakala WA vita.
Tuibebe Nia hii nzuri kwa Nia nzuri pia katika kutoa ushauri kwa hekima, tulienda amani yetu
 
Umenijibia mkuu. Itakuwa kheri sana kama Waislam wataamua kutotoa Tamko lolote Katika hili swala la BANDARI.
 
Umenijibia mkuu. Itakuwa kheri sana kama Waislam wataamua kutotoa Tamko lolote Katika hili swala la BANDARI.
 

Ni Kweli.
Nia ya kweli utaiona kwenye kukubali mazuri na Matokeo mazuri. Hiyo ndio Nia ya kweli
 
"ni bora tufe kuliko kuishi kitumwa kwenye nchi yetu" amani amani kwenye unyanyasaji sisi sio wajinga.
wewe mwehu unaropoka tu.Unajua madhara ya vita au unaropoka tu?.Eti ni heri tufe.Naomba uwe mstari wa mbele kupambana siku kikinuka.Je,ukiulizwa umenyanyaswa nini unaweza kujibu?
 
Umenijibia mkuu. Itakuwa kheri sana kama Waislam wataamua kutotoa Tamko lolote Katika hili swala la BANDARI.

Hapo serikali iyaendee haya mambo Kwa Akili tuu.
Vyovyote iwavyo maslahi ya Watanzania waliowengi yazingatiwe
 
hawa wanalichukulia hili jambo kiulahisi ila naona kabisa red light kwaajili ya huu udini wanao utanga majukwaani watakuja kushtuka Taifa halitawaliki tena
Leo kanisani tumeelezwa maana muungano wa Tanganyika na Zanzibar wengi tulikuwa hatujui chanzo cha huo muungano, Na serikali ilikuwa haijawahi kusema au kuandika mahala popote pale.
 
Dawa ni kurekebisha hayo mambo yaliyoainishwa na wananchi wakitaka yabadilishwe maana maoni yametolewa na watu mbalimbali bila kujali dini,kabila wala utaifa
Serekali iseme tu mkataba huu ni mkataba wa miaka 5 ya trial baada ya hapo tutaangalia either tusign mkataba mrefu au la
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…