Serikali isikubali mtafaruku wa Bandari kuchukua mkondo wa kidini, ni ngumu kuidhibiti

Zero brain
 
Huo mkataba haufai Rais anauza nchi haina haja hata ya kurekebisha ikulu haina nia njema hakuna ni kuufuta tu hamna ziada
 
Serikali haiongozwi hivyo, ina taratibu zake. Huwezi ipangia serikali cha kufanya, mark my word ili uishi kwa amani.
 
Kila tawala lazima ipitie kipindi kama hiki na sisi wananchi ni maneno yetu ya kila siku kuwa hatuwapi kura lakini mwisho wa siku ushindi wa kishindo kwa chama. Hili nalo litapita na maisha mengine yataendelea. Kama maaskofu wanabetia tabiri za hayati Sheikh Yahya Hussein ya kwamba katika kipindi cha Kiongozi mwanamke ndipo Ccm itapigwa chini.
 
Watanzania sio watu wa mambo hayo
Bandari itakuwa chini ya DP wodi na itapita kimyakimya kama hakuna kilichotokea.
 
Serikali ni wananchi.
Sikupingi kiongozi, ila hilo linatambuliwa kipindi cha uchaguzi na mazoezi ya kitaifa, nje ya hapo not applicable.
Pili, wananchi wanawakilishwa na wabunge ambao tayari wameridhia, iweje umtoe ubaya ambaye umempa idhini akuongoze na afanye maamuzi kwa niaba yako!?
 

Hilo ndio tatizo
 
Mbona namba moja hujasema ukomo ni miaka mingapi?
 

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
serikali yenyew imekuwa ikitumia masheikh kuwashambulia wakosoaj wa mkataba halaf unataka serikali isiruhusu udini ? wamekaa kimya kipind masheikh wanadanganya watu kuwa samia anapingwa kisa muislam wkt hoja anazielewa hazihusiani na dini yake , Serikali ndo mlez wa udini huu ,kisa masheikh walikuwa upande wao bas hawakuwa wazuia walipokuwa wanajadili mambo haya misikitin
 
Nafasi aliyoitoa ya Watu kutoa Maoni nafikiri imetosha. Huu ni muda wa kushughulikia Maoni ya msingi ili tuendelee na mambo mengine
kama alikuwa timamu tang alioambiwa kuwa mkataba hauna kikomo ilibidi either akanushe kwa kutaja muda wa mkataba au ashughulikie mkataba na sio kuwahonga wakina Kitenge na Zembwela na kuwatuma wakina mwaipopo kuwashambulia maprofesa walihoonesha kasoro za mkataba huo , Udini huu umeletwa na serikali
 
kuna mtu aliyetumia hizo zaid ya ccmu na machawa wa mama ?
 
kipi kinakufanya useme wakosoaji hawana nia njema na uwekezaj wa bandarini ? ila hawa wanaoshabikia mkataba usio na muda wala conditions za kuivunja incase tusiporidhishwa au dp world wakikiuka sheria zetu ,ndo useme unawaona wana nia njema na taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…