Serikali isitishe utaratibu wa kuthamini viongozi wa dini wahuni kwenye shughuli zake

Serikali isitishe utaratibu wa kuthamini viongozi wa dini wahuni kwenye shughuli zake

Kazi y dini ni kuhubiri kuhusu ufalme wa mbinguni.

Tulipokuwa tunasema kuwa Magufuli anatumia viongozi wa dini kuficha uovu wake, mlikuwa mnasema viongozi wa dini kwenye hafla zake ni ishara kuwa yeye ni mcha Mungu. Leo aliowatumia kuhadaa umma ili kuficha uovu wake wanaweka ukweli hadharani. Ukweli huchelewa tu.
 
Umejua leo baada ya Mwingira kusema kweli? Wakati tulipokuwa tunasema kuwa Magufuli alikuwa anatumia viongozi wa dini na madhabahu kuhadaa watu kubwa ni mtu mwema,mlikuwa mnasema kuwa yeye ni mcha Mungu. Tulisema Magufuli hakuwa mcha Mungu bali katili anayejificha kwenye viongozi wa dini, sasa Mwingira kaweka ukweli tuliokuwa tunausema muda wote watu wakitekwa na kuuwawa.
Poto poto blaah blaa pototo poto blaah blaa, msenge wewe utakufa kifo cha ajabu sana kumlaumu marehemu hajakukosea chochote we kasa.
 
Poto poto blaah blaa pototo poto blaah blaa, msenge wewe utakufa kifo cha ajabu sana kumlaumu marehemu hajakukosea chochote we kasa.

Acha kupanick, ukweli huwa unaumiza, hivyo jifunze kuvumilia tu.
 
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .

Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.

Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Na mtatoka sana mapangoni 🤣🤣🤣🤣
 
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .

Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.

Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Vikosi maalum ni vipi mkuu
 
Mbivu na mbichi mweleze akiwa mzima si opinion yako tu.

Akina Hitler, Iddy Amini nk ukweli wao unasemwa mpaka leo itakuwa yeye? Lisu alisema ukweli wake akaishia kumiminiWa risasi, hivyo acha ukweli uendelee kusemwa sasa. Ni jukumu lako ww kumtetea maana ulifaidika na uovu wake.
 
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .

Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.

Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kaka Lakini kumbuka hii ni serikali ya chama chako pendwa chenye msururu wa matukio ya kuwatumja vibaya kisiasa hawa the so called/self proclaimed religious leaders!
 
Dictator uchwara alitumia podium uchwara kujitia uchamungu uchwara... Mtu wa namna hii kumtetea kazi, labda uwe kiazi.
Nature abhors vacuum.. Alikuwa WORST PRESIDENT EVER.
 
Dictator uchwara alitumia podium uchwara kujitia uchamungu uchwara... Mtu wa namna hii kumtetea kazi, labda uwe kiazi.
Nature abhors vacuum.. Alikuwa WORST PRESIDENT EVER.
Mtalaumu mpk lini mafala nyie huyo kashaondoka endeleeni na life nyingine nyie watu.
 
Naona vitoto vya shetani vimekuja kumtetea shetani na mtoto wake wa pale Ikulu.

Napenda kurudia hili na kusisitiza hapa; Ikulu kuna shetani na mtoto wa shetani ndio anaongoza sasa!
 
Akina Hitler, Iddy Amini nk ukweli wao unasemwa mpaka leo itakuwa yeye? Lisu alisema ukweli wake akaishia kumiminiWa risasi, hivyo acha ukweli uendelee kusemwa sasa. Ni jukumu lako ww kumtetea maana ulifaidika na uovu wake.

Lissu alisema Ukweli upi? Acha kumpa hadhi mpumbavu.
 
Tatizo hili alililea mwenyewe JPM kwa kuambatana na hawa watu kila aendako, matokeo yake wameota mapembe na kujiona na ni sehemu ya Serikali na lazima hoja zao zisikilizwe..... twendeni misikitini, twendeni makanisani kwa wale wenye kuamini, Mambo ya serikali iachiwe serikali na serikali ijifunze kujitenga na hawa watu..

Makonda akiwa RC alikuwa kila kukicha anabadili vigango na kuhubiri dini makanisani kama mchungaji...matokeo yake ndio haya sasa...
 
Viongozi wengi wa Serikali na Siasa ni wanafiki,ndio maana wengi wao hujifanya kujinyeyekeza kwa hawa wamiliki wa makanisa kiasi cha kuwatukuza....matumizi ya hawa viongozi wa dini kwenye hizi siasa zetu ni hatari sana na ni bomu ambalo tunalilea, siku likilipuka tutaiingiza hii nchi kwenye changamoto ngumu sana...
 
Wengine kikubwa raisi Samia anachotukera ni upole.

Mtu anaemwita ‘bi tozo’ shetani lazima ana matatizo.

Mama Samia ni mmpole mno for our liking
 
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .

Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.

Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mwingira kawadondoshea kitu kizito
 
Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Kama alipendwa si angelindwa mbona alikufa kifo cha aibu hata kutangaza ilikuwa mbinde
 
Back
Top Bottom