Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Takataka kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni kwamba huwa hawachanguliwi na mtuHuko ulaya pia huwezi kukuta huu ujinga wa watawala wa kiafrika kutaka kusifiwa huku wanaingia madarakani kwa wizi wa kura. Unakutana na kiongozi wa kiafrika ana ulinzi wa ajabu kwenye nchi yake, tena anasema ameingia madarakani kwa kura,lakini akienda kwenye nchi ambayo hajapigiwa kura na hata mtu mmoja ana ulinzi wa kawaida kabisa.
Tena tumejua mambo mengi snUmejua leo baada ya Mwingira kusema kweli? Wakati tulipokuwa tunasema kuwa Magufuli alikuwa anatumia viongozi wa dini na madhabahu kuhadaa watu kubwa ni mtu mwema,mlikuwa mnasema kuwa yeye ni mcha Mungu. Tulisema Magufuli hakuwa mcha Mungu bali katili anayejificha kwenye viongozi wa dini, sasa Mwingira kaweka ukweli tuliokuwa tunausema muda wote watu wakitekwa na kuuwawa.
Lissu alisema Ukweli upi? Acha kumpa hadhi mpumbavu.
Ni kweli Dini haikupeleki mbinguni, Dini ni kikundi cha kuhamasishana tu. kitakachokupeleka mbinguni ni Kumjua Mungu na Utu wema hapa duniani.
Watanzania gani unawasema wewe? labda 'sukuma gang' kwani mlilishwa ukanda na udini!Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Umesahau matamko ya serikali yalikuwa yanatolewa st. Peter's wakati wa utawala wa yule raisi PUNGUANIHuu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Umesahau matamko ya serikali yalikuwa yanatolewa st. Peter's wakati wa utawala wa yule raisi PUNGUANI
Aisee, umesema kweli kbs!Huwezi kutenganisha siasa za kijinga za CCM na viongozi wa dini (wachumia tumbo).
Huu utaratibu si ulikuwepo toka enzi za shujaa wa Afrika. Mbona haukusema auache akiwepo?Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!