Serikali isitishe utaratibu wa kuthamini viongozi wa dini wahuni kwenye shughuli zake

Serikali isitishe utaratibu wa kuthamini viongozi wa dini wahuni kwenye shughuli zake

Mwingira kawadondoshea kitu kizito
Kajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.

Kesi yake kwa watu makini kama JPM waliipuzia na kama usalama walijua his nonsense plot was never going to amount to anything other than ujinga wa CDM.

Ila kuna watu awakuridhika na huruma wa Magufuli walikuwa wanamlia timing to Mbowe.

Mama Samia ni mtu wa kulishwa matango pori hiyo ni kesi ya usalama wa CCM kushinda raisi wa nchi.

Evidence zake ni weak ila Mbowe alijitakia uhuru wake utatokana na huruma ya Samia tu; msisahau JPM aliyajua yote aliamua tu kumuacha.
 
LUMUMBA BUKU seven seven [emoji1787][emoji1787].
Yule aliyelala chato wakati yupo kwenye sakaratul mauti waliitwa viongozi wa dini wamuombee.
Samia usije ukajaribu huu ushauri ni mbaya.hakuna nchi isiyokuwa na viongozi wa DINI.
Ndo maana hata winbo wa taifa unaanza na "MUNGU IBARIKI"
Viongozi wa dini ndo wawakilishi wa Mungu hapa duniani.
Mimi nimesoma madrasa nimefundishwa na kiongozi wa dini Ina maana bila kiongozi wa dini Mimi nisingemjua Mungu
 
Kajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.

Kesi yake kwa watu makini kama JPM waliipuzia na kama usalama waliijua it was never going to amount to anything.

Mama Samia ni mtu wa kulishwa matango pori hiyo ni kesi ya usalama wa CCM kushinda raisi wa nchi.

Evidence zake ni weak ila Mbowe alijitakia uhuru wake utatokana na huruma ya Samia tu; msisahau JPM aliyajua yote aliamua tu kumuacha.
Kuna kesi pale? Kupoteza muda tu shahidi wa kumi BADO kosa halionekani
 
LUMUMBA BUKU seven seven [emoji1787][emoji1787].
Yule aliyelala chato wakati yupo kwenye sakaratul mauti waliitwa viongozi wa dini wamuombee.
Samia usije ukajaribu huu ushauri ni mbaya.hakuna nchi isiyokuwa na viongozi wa DINI.
Ndo maana hata winbo wa taifa unaanza na "MUNGU IBARIKI"
Viongozi wa dini ndo wawakilishi wa Mungu hapa duniani.
Mimi nimesoma madrasa nimefundishwa na kiongozi wa dini Ina maana bila kiongozi wa dini Mimi nisingemjua Mungu
Hii tactic itafanya kazi kwa ushauri alionao Samia kwa sasa.

Magufuli alikuwa mcha Mungu mwenye mipaka fu*k with me, I do the same to you.
Aliweza hivyo kwa sababu wanaoingia makanisani na misikitini walikuwa nyuma yake.

Huo mziki mtamtishia Samia kama ilivyo kwa JK ila sio kwa raisi anaejitambua.

Kwa raisi anaejitambua kesho unajielezea polisi.
 
Kuna kesi pale? Kupoteza muda tu shahidi wa kumi BADO kosa halionekani
Kamkuta mama ni mwenye huruma.

Amuulize Gwajima, Magufuli alikuwa tayari kusifiwa na yeye hila asiwaguse watu wake.

Siku Gwajima alipomtukana Jakaya Kikwete alionyeshwa mipaka yake na Magufuli.
 
Kamkuta mama ni mwenye huruma.

Amuulize Gwajima, Magufuli alikuwa tayari kusifiwa na yeye hila asiwaguse watu wake.

Siku Gwajima alipomtukana Jakaya Kikwete alionyeshwa mipaka yake na Magufuli.
Mkuu! Samia,magufuli kikwetena ccm yote wahuni tu
 
Mkuu! Samia,magufuli kikwetena ccm yote wahuni tu
Mkuu Samia ni ungaunga tu mpaka alipofika either kupitia gender equality balances or lapse of concentration no one thought there will be COVID and the incumbent president might die.

Right now she is just a victim of circumstances with no clue on how to run a country. Wahuni wanataka kumtumia kuturudisha nyuma.

Polepole kachukua hiyo vita, wasiomwelea hana shida na raisi Samia; vita yake ipo na wahuni.

Yaani raisi Samia anataka kutuambia Ummy Mwalimu ni better kushinda Jaffo TAMISEMI surely tuna wakati mgumu.

Nobody cares kuhusu wazee wa CCM chama ni taasisi sio mtu ujiunge 1960
au 2015 muhimu ni kuelewa na kuheshimu katiba ya chama. Ya pembeni tutajifunza baadae.

Go Poleple go
 
Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Alipendwa na maskini wa akili labda
 
MKISHAPIGWA NA KITU KIZITO NDIO MNAKUJA NA MASHAIRI MBONA MKISHA CHSGULIWA AU KUTEULIWA MNAAPISHWA KABLA YA KUANZA CHOCHOTE NONSENCE
 
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .

Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.

Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Askofu amefukiza moshi shimoni WAHUNI mnatapatapa😊
 
Kazi y dini ni kuhubiri kuhusu ufalme wa mbinguni.
Dini ni miongoni mwa taasisi tano ambazo hutumika kushape tabia za jamii husika. Kuna kipindi serikali hutoa rai kwa viongozi wa dini kuwapa maelekezo waumini wao.

Jibu lako ni limited sana.
 
Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Hivi Mwingira amesomea wapi theolojia? Au ni amekurupukia kwenye utume na unabii tu bila kujifunza miguuni pa Gamalieli mwalimu mkuu?
 
Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
“Mshindi ni Mshindi tu, Mungu yupo ndani yake, kati ya aliyepigwa risasi na aliyeiba kura nani yupo hai?” - Askofu Josephat Mwingira
 
Kajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.

Kesi yake kwa watu makini kama JPM waliipuzia na kama usalama walijua his nonsense plot was never going to amount to anything other than ujinga wa CDM.

Ila kuna watu awakuridhika na huruma wa Magufuli walikuwa wanamlia timing to Mbowe.

Mama Samia ni mtu wa kulishwa matango pori hiyo ni kesi ya usalama wa CCM kushinda raisi wa nchi.

Evidence zake ni weak ila Mbowe alijitakia uhuru wake utatokana na huruma ya Samia tu; msisahau JPM aliyajua yote aliamua tu kumuacha.
Sasa kumbe unaijua realty ?! Unawatambia nini sasa Cdm , ikiwa kesi ni ya kubumba ?!. Upuuzi huo usipokemewa na kuondokana nao, then tutaendelea kuwa na taifa la wengine dhidi wengine !!.

Watambie wapinzani wa Ccm kwa udhaifu wao na si kwa uwezo wa kuwasingizia kesi .
 
Sasa kumbe unaijua realty ?! Unawatambia nini sasa Cdm , ikiwa kesi ni ya kubumba ?!. Upuuzi huo usipokemewa na kuondokana nao, then tutaendelea kuwa na taifa la wengine dhidi wengine !!.

Watambie wapinzani wa Ccm kwa udhaifu wao na si kwa uwezo wa kuwasingizia kesi .
Tanzania kama nchi ya chama kimoja ina Safu mbili ya usalama.

Wote hao wamealiwa TISS

Kuna watu wapo TISS jukumu lao ni kuilinda CCM tu wapo kila mahala.

Na kuna watu wapo kwa usalama wa taifa tu.

Uwezi kujua yupi ni yupi wale walio kwa ajili ya CCM wapo tayari kufanya lolote kukilinda chama.

Raisi wa nchi kama mwenyekiti wa chama ndio mwenye mamlaka ya kuzia TISS CCM.

Kesi ya Mbowe Magufuli alikuwa nayo muda tu; akutaka kuwapa kiki CDM.

Samia kapewa kiporo cha kesi kwa sababu wahusika ni walewale dedicated walinzi wa CCM ndani ya system it’s complicated (lakini sio kwamba Magufuli alikuwa hajui huo upuuzi); yeye Samia hana uwezo wa kupima madhara ya kisiasa kwa kesi ya Mbowe kawaachia uwanja walinzi chama.

Kujiongopea maiti za wa Ethiopia na Eritrea zilizokuwa zinaokotwa pwani ni watu ambao Magufuli alikuwa anawadhuru akuto wasaidia.

Shida sio mama Samia; shida ni wahuni kama huyu anaetaka kuleta udini.
 
Back
Top Bottom