Wewe mpuuzi sana, chuki zako kwa Samia zipo wazi!! Hapa unachojaribu kufanya ni kutafuta kuungwa mkono na CDM katika upuuzi wenu, uzuri wameshawashtukia! Kipi kibaya kati ya kumpiga risasi Lissu hadharani, kumuua Ben Saanane na Mbowe kupewa nafasi ya kesi yake kusikilizwa hadharani? Kipindi cha huyo shetani wako CDM wangeruhusiwa kuripoti live hiyo kesi? Wazungu wangeruhusiwa kuhudhuria? CDM Wangeruhusiwa kuvaa Tisheti za kudai katiba mpya mahakamani? Wangeruhusiwa hata kukata keki yenye ujumbe wa kisiasa mahakamani? Huyo Shetani wako si alimtoa IGP sababu tu hakuwapiga wafuasi wa Manji na Gwajima walioenda kusapoti watu wao mahakamani? Watu hawajasahau ushetani uliofanyika awamu ya 5 na hawatasahau karibuni!! Huyo shetani wako si alikataza watu wasikusanyike kumuombea Lissu? Shetani wako si alikataza watu wasitoe damu ya kumsaidia Lissu? Alimfukuza Nyalandu kisa tu kaenda kumuona Lissu! Huyo Samia ni mmoja wa viongozi wachache walioenda kumuona Lissu hospitali, Shetani lilifura ila likaona aibu maana katiba kwenye upande wa Makamu wa Rais ipo very straight, CDM hawatamsahau Samia kwa hilo! Haya makwaruzano mengine ya CDM na Samia ni mikwaruzano ya kisiasa ambayo ipo kila nchi kati ya oppossition na ruling side! Nyambaf zako