Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.Mwingira kawadondoshea kitu kizito
Ukweli aliosema ni kwamba JPM alikuwa dikteta uchwara. Hata hilo hukumbuki?Lissu alisema Ukweli upi? Acha kumpa hadhi mpumbavu.
Kuna kesi pale? Kupoteza muda tu shahidi wa kumi BADO kosa halionekaniKajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.
Kesi yake kwa watu makini kama JPM waliipuzia na kama usalama waliijua it was never going to amount to anything.
Mama Samia ni mtu wa kulishwa matango pori hiyo ni kesi ya usalama wa CCM kushinda raisi wa nchi.
Evidence zake ni weak ila Mbowe alijitakia uhuru wake utatokana na huruma ya Samia tu; msisahau JPM aliyajua yote aliamua tu kumuacha.
Hii tactic itafanya kazi kwa ushauri alionao Samia kwa sasa.LUMUMBA BUKU seven seven [emoji1787][emoji1787].
Yule aliyelala chato wakati yupo kwenye sakaratul mauti waliitwa viongozi wa dini wamuombee.
Samia usije ukajaribu huu ushauri ni mbaya.hakuna nchi isiyokuwa na viongozi wa DINI.
Ndo maana hata winbo wa taifa unaanza na "MUNGU IBARIKI"
Viongozi wa dini ndo wawakilishi wa Mungu hapa duniani.
Mimi nimesoma madrasa nimefundishwa na kiongozi wa dini Ina maana bila kiongozi wa dini Mimi nisingemjua Mungu
Kamkuta mama ni mwenye huruma.Kuna kesi pale? Kupoteza muda tu shahidi wa kumi BADO kosa halionekani
Mkuu! Samia,magufuli kikwetena ccm yote wahuni tuKamkuta mama ni mwenye huruma.
Amuulize Gwajima, Magufuli alikuwa tayari kusifiwa na yeye hila asiwaguse watu wake.
Siku Gwajima alipomtukana Jakaya Kikwete alionyeshwa mipaka yake na Magufuli.
Mkuu Samia ni ungaunga tu mpaka alipofika either kupitia gender equality balances or lapse of concentration no one thought there will be COVID and the incumbent president might die.Mkuu! Samia,magufuli kikwetena ccm yote wahuni tu
Alipendwa na maskini wa akili labdaNadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Askofu amefukiza moshi shimoni WAHUNI mnatapatapa😊Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Dini ni miongoni mwa taasisi tano ambazo hutumika kushape tabia za jamii husika. Kuna kipindi serikali hutoa rai kwa viongozi wa dini kuwapa maelekezo waumini wao.Kazi y dini ni kuhubiri kuhusu ufalme wa mbinguni.
Kitendo cha kumtukana raisi Samia kwenye nyumba za ibada akitovumuliwa.Askofu amefukiza moshi shimoni WAHUNI a
Kwamba he was a dictator uchwara .Lissu alisema Ukweli upi? Acha kumpa hadhi mpumbavu.
Hivi Mwingira amesomea wapi theolojia? Au ni amekurupukia kwenye utume na unabii tu bila kujifunza miguuni pa Gamalieli mwalimu mkuu?Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
“Mshindi ni Mshindi tu, Mungu yupo ndani yake, kati ya aliyepigwa risasi na aliyeiba kura nani yupo hai?” - Askofu Josephat MwingiraNadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Sasa kumbe unaijua realty ?! Unawatambia nini sasa Cdm , ikiwa kesi ni ya kubumba ?!. Upuuzi huo usipokemewa na kuondokana nao, then tutaendelea kuwa na taifa la wengine dhidi wengine !!.Kajindoshea yeye mwenye kitu kizito; Mbowe kajitakia hapo halipo.
Kesi yake kwa watu makini kama JPM waliipuzia na kama usalama walijua his nonsense plot was never going to amount to anything other than ujinga wa CDM.
Ila kuna watu awakuridhika na huruma wa Magufuli walikuwa wanamlia timing to Mbowe.
Mama Samia ni mtu wa kulishwa matango pori hiyo ni kesi ya usalama wa CCM kushinda raisi wa nchi.
Evidence zake ni weak ila Mbowe alijitakia uhuru wake utatokana na huruma ya Samia tu; msisahau JPM aliyajua yote aliamua tu kumuacha.
Punguza jazba.Poto poto blaah blaa pototo poto blaah blaa, msenge wewe utakufa kifo cha ajabu sana kumlaumu marehemu hajakukosea chochote we kasa.
naona baada ya mwingira kuwaambia ukweli mmefura, sasa yanawatoka tu, jifunzeni kuheshimu haki za wengine ili nanyi mpate kuheshimiwa.
Tanzania kama nchi ya chama kimoja ina Safu mbili ya usalama.Sasa kumbe unaijua realty ?! Unawatambia nini sasa Cdm , ikiwa kesi ni ya kubumba ?!. Upuuzi huo usipokemewa na kuondokana nao, then tutaendelea kuwa na taifa la wengine dhidi wengine !!.
Watambie wapinzani wa Ccm kwa udhaifu wao na si kwa uwezo wa kuwasingizia kesi .