Mpaka sasa serikali haiweki wazi kuhusu lolote lile linaloendelea nchini, and we're already doomed sababu wabongo wengi wanasubiri matamko ya wanasiasa ndiyo wafanye maamuzi,
Wanao take precautions hivi sasa ni asilimia ndogo sana tofauti na mwaka Jana tamko lilivyotoka, hizi akili zetu hizi, watu wanaona misiba imeongezeka lakini bado wanaishi kawaida kusubiri kuambiwa na bahati mbaya hakuna wa kuwaambia..!
Ukija kwa wale matomaso walojaa mitandaoni ndiyo wanazidi kuwapa watu false hopes, eti ni hofu tu..! Hofu m*f' huku watu wanapukutika..?