#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Kule India Visa vya Covid 19 vimepamba moto zaidi ya laki 2 kila siku wanaambukiza na 1% wanakufa.

kuna wafanyabiashara wanaenda au wanatoka huko.
Tunaitaji kuwa na mikakati ya kujikinga na janga hili.cha kufanya pale airport tuwe makini .Mgeni awe wa nje au wandani anapongia aonyeshe cheti cha kwamba amepima lakini pia apimwe.tukumbuke kuwa chanjo haizuii kuambukizwa covid 19 hivyo mtu kuonyesha kuwa amechanjwa siyo salama sana.

Tuendelee kuchukua tahadhali pia na kuendelea kuliombea Taifa letu
Syo Kwa vile Vichuguu vya tanuru za kuchoma Maiti🙄🙄Hadi Mwili wasisimka
 
Kule India Visa vya Covid 19 vimepamba moto zaidi ya laki 2 kila siku wanaambukiza na 1% wanakufa.

kuna wafanyabiashara wanaenda au wanatoka huko.
Tunaitaji kuwa na mikakati ya kujikinga na janga hili.cha kufanya pale airport tuwe makini .Mgeni awe wa nje au wandani anapongia aonyeshe cheti cha kwamba amepima lakini pia apimwe.tukumbuke kuwa chanjo haizuii kuambukizwa covid 19 hivyo mtu kuonyesha kuwa amechanjwa siyo salama sana.

Tuendelee kuchukua tahadhali pia na kuendelea kuliombea Taifa letu
Achana na habari za maambukizi kwenye jiji kubwa la Delhi, huko mashambani wapo poa tu, wanaendelea na misongamano kwenye nyumba zao za ibada na mikutano ya siasa kama kawaida!
Pia ogopa Sana media! Nawapongeza Kenya huwa hwaonyeshagi wagonjwa wa covid bali vitanda tu vya ICU!
 
Back
Top Bottom