#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Zipo chanjo karibia sita na watu wanacjanjwa usiku na mchana,haya majilabu ya kusema tusubiri wataalamu wetu wapitishe wapasishe wapokee hili na lile ni kutaka tuongezeke kufa na kufa kama hao wapendwa waliopotea karibuni wakisingiziwa maradhi haya na yale,kiukweli corona imewasomba,hilo hakuna wa kulipinga kama mtatakiwa kuapa.

Ni ngumu kusema ipi ni chanjo bora kwani hazikulinganishwa moja kwa moja katika masomo. Lakini wataalam wanasema chanjo ni sawa juu ya mambo muhimu zaidi: kuzuia kulazwa hospitalini na vifo.
"Kwa bahati nzuri, chanjo hizi zote zinaonekana kama zinatukinga na magonjwa mazito," alisema Daktari Monica Gandhi wa Chuo Kikuu cha California, San Francisco, akinukuu matokeo ya utafiti wa chanjo tano zinazotumika ulimwenguni kote na ya sita ambayo bado inaangaliwa.

Na ushahidi wa ulimwengu halisi kama mamilioni ya watu wanapokea chanjo zinaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.

kwa ufupi tuleteeni mtakayoipata mwanzo na inayotoka katika sehemu zinazojulikana sio za kupitia uchochoroni kwani kuna wapigaji wana chanjo za uwongo ila zimefanana ,msitafute mitandaoni agizeni kupitia njia zilizo wazi kabisa,

Mitaani hatuhemi vizuri na malimau yanaisha na yanakuja kwa msimu,corona itakuja kuvizia mali msimu wa malimau umeisha ianze kutulaza .

Screenshot_20210411_094723.jpg
 
Zipo chanjo karibia sita na watu wanacjanjwa usiku na mchana,haya majilabu ya kusema tusubiri wataalamu wetu wapitishe wapasishe wapokee hili na lile ni kutaka tuongezeke kufa na kufa kama hao wapendwa waliopotea karibuni wakisingiziwa maradhi haya na yale,kiukweli corona imewasomba,hilo hakuna wa kulipinga kama mtatakiwa kuapa.

Ni ngumu kusema ipi ni chanjo bora kwani hazikulinganishwa moja kwa moja katika masomo. Lakini wataalam wanasema chanjo ni sawa juu ya mambo muhimu zaidi: kuzuia kulazwa hospitalini na vifo.
"Kwa bahati nzuri, chanjo hizi zote zinaonekana kama zinatukinga na magonjwa mazito," alisema Daktari Monica Gandhi wa Chuo Kikuu cha California, San Francisco, akinukuu matokeo ya utafiti wa chanjo tano zinazotumika ulimwenguni kote na ya sita ambayo bado inaangaliwa.

Na ushahidi wa ulimwengu halisi kama mamilioni ya watu wanapokea chanjo zinaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.

kwa ufupi tuleteeni mtakayoipata mwanzo na inayotoka katika sehemu zinazojulikana sio za kupitia uchochoroni kwani kuna wapigaji wana chanjo za uwongo ila zimefanana ,msitafute mitandaoni agizeni kupitia njia zilizo wazi kabisa,

Mitaani hatuhemi vizuri na malimau yanaisha na yanakuja kwa msimu,corona itakuja kuvizia mali msimu wa malimau umeisha ianze kutulaza .
mkuu chanja na familia yako wala sisi hatutegemei hiyo chanjo kuendelea kuwa hai..
 
Zipo chanjo karibia sita na watu wanacjanjwa usiku na mchana,haya majilabu ya kusema tusubiri wataalamu wetu wapitishe wapasishe wapokee hili na lile ni kutaka tuongezeke kufa na kufa kama hao wapendwa waliopotea karibuni wakisingiziwa maradhi haya na yale,kiukweli corona imewasomba,hilo hakuna wa kulipinga kama mtatakiwa kuapa.

Ni ngumu kusema ipi ni chanjo bora kwani hazikulinganishwa moja kwa moja katika masomo. Lakini wataalam wanasema chanjo ni sawa juu ya mambo muhimu zaidi: kuzuia kulazwa hospitalini na vifo.
"Kwa bahati nzuri, chanjo hizi zote zinaonekana kama zinatukinga na magonjwa mazito," alisema Daktari Monica Gandhi wa Chuo Kikuu cha California, San Francisco, akinukuu matokeo ya utafiti wa chanjo tano zinazotumika ulimwenguni kote na ya sita ambayo bado inaangaliwa.

Na ushahidi wa ulimwengu halisi kama mamilioni ya watu wanapokea chanjo zinaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.

kwa ufupi tuleteeni mtakayoipata mwanzo na inayotoka katika sehemu zinazojulikana sio za kupitia uchochoroni kwani kuna wapigaji wana chanjo za uwongo ila zimefanana ,msitafute mitandaoni agizeni kupitia njia zilizo wazi kabisa,

Mitaani hatuhemi vizuri na malimau yanaisha na yanakuja kwa msimu,corona itakuja kuvizia mali msimu wa malimau umeisha ianze kutulaza .
"Kufa utakufa tu, iwe kwa Corona, ajali, malaria au hata kama unatembea. Akiamua yeye uende, utakwenda tu".Ni baadhi ya maneno ya shujaa wa Afrika. Atakaye kuiponya nafsi yake ataipoteza. Mimi na nyumba yangu tutamtegemea Yehova, yeye hashindwi kitu
 
Zipo chanjo karibia sita na watu wanacjanjwa usiku na mchana,haya majilabu ya kusema tusubiri wataalamu wetu wapitishe wapasishe wapokee hili na lile ni kutaka tuongezeke kufa na kufa kama hao wapendwa waliopotea karibuni wakisingiziwa maradhi haya na yale,kiukweli corona imewasomba,hilo hakuna wa kulipinga kama mtatakiwa kuapa.

Ni ngumu kusema ipi ni chanjo bora kwani hazikulinganishwa moja kwa moja katika masomo. Lakini wataalam wanasema chanjo ni sawa juu ya mambo muhimu zaidi: kuzuia kulazwa hospitalini na vifo.
"Kwa bahati nzuri, chanjo hizi zote zinaonekana kama zinatukinga na magonjwa mazito," alisema Daktari Monica Gandhi wa Chuo Kikuu cha California, San Francisco, akinukuu matokeo ya utafiti wa chanjo tano zinazotumika ulimwenguni kote na ya sita ambayo bado inaangaliwa.

Na ushahidi wa ulimwengu halisi kama mamilioni ya watu wanapokea chanjo zinaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.

kwa ufupi tuleteeni mtakayoipata mwanzo na inayotoka katika sehemu zinazojulikana sio za kupitia uchochoroni kwani kuna wapigaji wana chanjo za uwongo ila zimefanana ,msitafute mitandaoni agizeni kupitia njia zilizo wazi kabisa,

Mitaani hatuhemi vizuri na malimau yanaisha na yanakuja kwa msimu,corona itakuja kuvizia mali msimu wa malimau umeisha ianze kutulaza .
Sasa chanjo itakuja baada ya mtu aliyekuwa akizuia watu wasipate chanjo hiyo kufa.
 
Serikali na wenzako na matarishi kama mtaisoma hii ,tafadhalini sana sana ,mikakati yote wekeni kando ,uhai kwanza ndio safari iendelee.
Ila bila ya uhai hakuna safari itakayoendelea tusiwe vichwa maji,ukipata chando hata nyungu zitakuwa boosted ,kuliko ilivyo na tulipo ukipata korona basi uhai na kupona ni fifte fifte.
na iachwe anaetaka nyungu anaetaka chanjo,tuendako kama huna chanjo huingii wala hutoki na kutakiwi ,kwa japo iwepo na mtu asilazimishwe kihiiiivyo .ila iwe lazima,rona ana hadaa sana.
Ushakura hongo ndo unailipa
 
Zipo chanjo karibia sita na watu wanacjanjwa usiku na mchana,haya majilabu ya kusema tusubiri wataalamu wetu wapitishe wapasishe wapokee hili na lile ni kutaka tuongezeke kufa na kufa kama hao wapendwa waliopotea karibuni wakisingiziwa maradhi haya na yale,kiukweli corona imewasomba,hilo hakuna wa kulipinga kama mtatakiwa kuapa.

Ni ngumu kusema ipi ni chanjo bora kwani hazikulinganishwa moja kwa moja katika masomo. Lakini wataalam wanasema chanjo ni sawa juu ya mambo muhimu zaidi: kuzuia kulazwa hospitalini na vifo.
"Kwa bahati nzuri, chanjo hizi zote zinaonekana kama zinatukinga na magonjwa mazito," alisema Daktari Monica Gandhi wa Chuo Kikuu cha California, San Francisco, akinukuu matokeo ya utafiti wa chanjo tano zinazotumika ulimwenguni kote na ya sita ambayo bado inaangaliwa.

Na ushahidi wa ulimwengu halisi kama mamilioni ya watu wanapokea chanjo zinaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.

kwa ufupi tuleteeni mtakayoipata mwanzo na inayotoka katika sehemu zinazojulikana sio za kupitia uchochoroni kwani kuna wapigaji wana chanjo za uwongo ila zimefanana ,msitafute mitandaoni agizeni kupitia njia zilizo wazi kabisa,

Mitaani hatuhemi vizuri na malimau yanaisha na yanakuja kwa msimu,corona itakuja kuvizia mali msimu wa malimau umeisha ianze kutulaza .
Ushakura hongo ndo unailipa
 
Hivi kama nchi tumejipanga vipi kuratibu wasafiri kutoka India kutokana hususan kipindi hiki ambacho ugonjwa wa Covid umekua mkubwa kupindukia huko india, ukimya wa serikali yetu na hili janga litakuja kutumaliza, hakuna hatua yoyote hii serikali inayochukua zaidi ya kuunda vikamati wakati ugonjwa unaelekea mwaka wa Pili
 
Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.

Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa.

Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na jitihada za kupambana na huu ugonjwa.

Siyo siri, sisi Tanzania kwa kiwango kikubwa tulinusurika na wimbi la kwanza la maambukizi yale. Mungu wetu alitusaidia na kwa kweli watanzania walijitahidi pia kuchukua hatua, kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono etc.

Pamoja na mafanikio yale haikuwa sahihi na haiendelei kuwa sahihi serikali kukaa kimya na kuacha kila mtu aamini Korona haipo nchini, au kuuaminisha umma kuwa korona haipo kabisa. kufanya hivyo siyo sahihi hata kidogo.

Lakini cha kushangaza zaidi ni pale serikali na vingozi wake walipoanza kudiscourage wananchi kuchukua hatua za kujikinga. Barakoa zilianza kufanyiwa mizaha etc.

Serikali ilipaswa iendelee kuhimiza watu waendelee kuchukua hatua, na kuencourage watu kujilinda lakini siyo kudiscourage measures zote ambazo wananchi wanafanya.

Labda kitu kimoja ambacho serikali lazima ielewe ni kuwa sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini, lakini wanakosa uhakika wa kimamlaka kulichukulia kwa uzito stahili maana serikali imeamua kupiga kimya!

Mimi ningependa kuieleza serikali yetu kuwa ni higly irresponsible katika kipindi hiki dunia imeingia katika vita ya pili juu ya huu ugonjwa lakini yenyewe imekaa kimya tu inawaacha wananchi peke yao utafikiri kondoo wasio na mchungaji.

Tunataka kusikia kauli ya serikali. Je, Corona ipo Tanzania? Je, serikali ina mpango gani au imeamua wenye kuugua waugue, wenye kufa wafe lakini yenyewe itakaa kimya tu?

Nchi jirani zetu baadhi zimeanza kuchukua hatua kali mipakani mwao kuhusu wanaoingia, je sisi mambo shwari tu hakuna ishu?

Sisi tukimuona rais wetu amekwenda tena Chato kipindi hiki tukiambiwa kuwa Corona imechachamaa huko duniani tunapata wasiwasi kuwa huenda yasemwayo mitaani kuwa ni kweli maana tunakumbuka kipindi kule rais alipokwenda kukaa huko Chato kwa zaidi ya miezi miwili kipindi Corona imechachamaa mwaka jana! Je, ngoma imerudi kama mwaka jana?

Tunataka serikali itupe majibu, tunataka kujua status ya hali ya Corona nchini, maana baadhi ya watu wanaoaga dunia kuna watu mitaani wamekuwa wakinong'ona kuwa Korona ipo na inang'ata.

Wananchi tunataka majibu, tena majibu sahihi ya hili suala!
Ushakura hongo ndo unailipa
Wamekula hongo hao
 
"Kufa utakufa tu, iwe kwa Corona, ajali, malaria au hata kama unatembea. Akiamua yeye uende, utakwenda tu".Ni baadhi ya maneno ya shujaa wa Afrika. Atakaye kuiponya nafsi yake ataipoteza. Mimi na nyumba yangu tutamtegemea Yehova, yeye hashindwi kitu
Tutaendelea kuziishi fikra za shujaa wa Afrika JPM. Acha kujaza watu hofu.
 
Kwahiyo ni lazima unachowaza wewe kila mtu awaze hivyo hivyo!?,,Mimi hata ukifa ukoo wako wote kwa Corona hunivalishi matambala(mask) mdomoni. Ndo njia niliyoichagua.

Nenda Kariakoo au sehemu yoyote yenye mikusanyiko uone watu walivyo bize bila balakoa na hafi mtu. Kuna wakati huwa nadhani mnaopiga kelele za Corona nyote mnaishi kwenu au kwa shemeji na ni mayaimayai, wanaopambana kujilisha huwezi kuwakuta wanapiga kelele za sijui social distance, sijui kunawa mikono. Hao ni watoto mayai tu wanaoogopa Corona.
Hizi hoja mfu, unatumia akili alizokupa Mungu kufikiri?
 
Kule India Visa vya Covid 19 vimepamba moto zaidi ya laki 2 kila siku wanaambukiza na 1% wanakufa.

kuna wafanyabiashara wanaenda au wanatoka huko.

Tunaitaji kuwa na mikakati ya kujikinga na janga hili. Cha kufanya pale airport tuwe makini .Mgeni awe wa nje au wandani anapongia aonyeshe cheti cha kwamba amepima lakini pia apimwe.tukumbuke kuwa chanjo haizuii kuambukizwa covid 19 hivyo mtu kuonyesha kuwa amechanjwa siyo salama sana.

Tuendelee kuchukua tahadhali pia na kuendelea kuliombea Taifa letu
 
Kule India Visa vya Covid 19 vimepamba moto zaidi ya laki 2 kila siku wanaambukiza na 1% wanakufa.

kuna wafanyabiashara wanaenda au wanatoka huko.
Tunaitaji kuwa na mikakati ya kujikinga na janga hili.cha kufanya pale airport tuwe makini .Mgeni awe wa nje au wandani anapongia aonyeshe cheti cha kwamba amepima lakini pia apimwe.tukumbuke kuwa chanjo haizuii kuambukizwa covid 19 hivyo mtu kuonyesha kuwa amechanjwa siyo salama sana.

Tuendelee kuchukua tahadhali pia na kuendelea kuliombea Taifa letu
Naona mnashabikia pasipo kujua jambo moja tu.

India ina watu 1.3 billion hivyo watu 200 000 kufa kwa covid msiifanye issue sana ooooo eti watu laki mbili .

Tofautisha india na tanzania au Kenya
 
Huu UGONJWA propaganda NI nyingi Sanaa

Sisi tuishi Tu maisha yetu.tukiupa promo tumekwisha.

Samia yupo SAHIHI kukaa kimya.

Huko India wanatoana viungo washenzi hao we mtu aumwe covid then afe umtoe Figo hiyo figo haina maambukizi..!!!
 
Hizi hoja mfu, unatumia akili alizokupa Mungu kufikiri?
Mkuu na wewe na umri huo bado unakaa kwa shemeji yako!?.. vipi huko uliko wamekufa wangapi kwa Corona wiki hii!?.. hivi hamjionagi WAPUMBAVU mpaka Leo na hizi kelele zenu za Corona!??
 
Back
Top Bottom