#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Huu ugonjwa ungekuwa kama AIDS isingekuwa tatizo. Shida kubwa hata kama unajikinga mwenzako akiwa mzembe asilimia.za huyo mzembe kukuambukiza ni kubwa mno!

Bila wote kujali wote tutapata tu! Ndo maana ni muhimu kila mtu kumlinda mwingine! Kama unajilinda jirani yako hajilindi ni kazi bure!
Kwahiyo ni lazima unachowaza wewe kila mtu awaze hivyo hivyo!?,,Mimi hata ukifa ukoo wako wote kwa Corona hunivalishi matambala(mask) mdomoni. Ndo njia niliyoichagua.

Nenda Kariakoo au sehemu yoyote yenye mikusanyiko uone watu walivyo bize bila balakoa na hafi mtu. Kuna wakati huwa nadhani mnaopiga kelele za Corona nyote mnaishi kwenu au kwa shemeji na ni mayaimayai, wanaopambana kujilisha huwezi kuwakuta wanapiga kelele za sijui social distance, sijui kunawa mikono. Hao ni watoto mayai tu wanaoogopa Corona.
 
Bila wote kujali wote tutapata tu! Ndo maana ni muhimu kila mtu kumlinda mwingine! Kama unajilinda jirani yako hajilindi ni kazi bure
Tangu Corona inaanza zaidi ya mwaka hatujali, mbona hatujapata? Punguzeni ujinga vichwani.
 
Hahahaa umeshaanza kupanic na Corona yako matakoni!??!!?.. kile kipimo kilikuacha na Corona!??.. Relax kiongozi hasira za Corona zinaambatana na stress. Ukitukana GHOST unazidi kujiongezea stress.

Weee acha kuzoea wanaume wee malaya,, kujigonga gonga kwako utakuja nyanduliwa na watu wabaya!

Jifunze kucomment nyuzi za watu kwa staha, ng'ombe wewe!!
 
Weee acha kuzoea wanaume wee malaya,, kujigonga gonga kwako utakuja nyanduliwa na watu wabaya!

Jifunze kucomment nyuzi za watu kwa staha, ng'ombe wewe!!
Upo Period nini!?... Mbona una hasira sana..!?
 
Kufa kwa corona ni uzembe wako mwenyewe.

N sawa na Quran kusema nguruwe ni haramu lakini quran hy hy ikasema ukifa kwa njaa ni ujinga wako mwenyewe.
Nakuomba sana wewe ndugu acha mara moja kutaja vitabu vitakatifu vya dini zote.ningeomba moderators wa jamii forum kuzuia hoja za kipuuzi.Huyu atoe mawazo yake bila kuingilia vitabu au imani za watu mbalimbali.
 
Back
Top Bottom