chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Kipindi kile vifo vilipungua na hata sasa ikifika may mwishoni vitaanza kupungua pia.
Majibu kumbe unayo kabatini bwashehProf Makubi ambaye ni mganga mkuu wa serikali alishatuasa tusisubiri matamko bali tuchukue tahadhari
Labda wakuvushe barabara,waziri utafikiria ngaribaWizara ya afya imesheheni madaktari, Dr Gwajima, Dr Mollel, Prof Mchembe na Prof Makubi wote ni madaktari hivyo katika kadhia ya Corona tuwaamini na tuwape muda watatuvusha.
Prof Makubi ambaye ni mganga mkuu wa serikali alishatuasa tusisubiri matamko bali tuchukue tahadhari.
Maendeleo hayana vyama!
Kufungwa shule sio sawa na lockdown! Mimi sihitaji lockdown,ni mvuja jasho tu,siwezi kumudu ugumu wa maisha kwa kujifungia ndani.Wakati naandika nilijua utanijibu hili jambo lkn ndio tuseme zile hoja nyingine hukuziona au dharau?ok nimeona niliingize hilo swala la lockdowns kama sehemu ya mifano kwa niaba ya wengine kwakuwa dhana nyingi zilizopo vichwani kwa watu wengi ni kuwepo na lockdowns walau za muda mfupi na inawezekana hata wewe matamanio yako yanawezekana yakawa humo humo coz kitendo cha kutaka walau eti shule zifungwe iyo ni moja ya lockdowns
Kufungwa shule sio sawa na lockdown! Mimi sihitaji lockdown,ni mvuja jasho tu,siwezi kumudu ugumu wa maisha kwa kujifungia ndani.
Nilichomaanisha kama walimu waugua,huoni watoto wetu wapo hatarini pia?
Mimi wa kwangu wapo private,nimelipa mahitaji yao yote kisha nimekwenda kuwaomba walimu ruhusa kwamba tuna matatizo kijijini,hivyo watoto hawatahudhuria masomo kwa mwezi mmoja.
Watakaa ndani,mimi nitatoka kuwatafutia mkate,huko nitachukua tahadhari zote ili nisiubebe ugonjwa huko kwenye mihangaiko kuupeleka nyumbani.
Kufungwa shule sio sawa na lockdown! Mimi sihitaji lockdown,ni mvuja jasho tu,siwezi kumudu ugumu wa maisha kwa kujifungia ndani.
Nilichomaanisha kama walimu waugua,huoni watoto wetu wapo hatarini pia?
Mimi wa kwangu wapo private,nimelipa mahitaji yao yote kisha nimekwenda kuwaomba walimu ruhusa kwamba tuna matatizo kijijini,hivyo watoto hawatahudhuria masomo kwa mwezi mmoja.
Watakaa ndani,mimi nitatoka kuwatafutia mkate,huko nitachukua tahadhari zote ili nisiubebe ugonjwa huko kwenye mihangaiko kuupeleka nyumbani.
Kitu ambacho wa tz hatukitambui ni hivi:-
Kila inapofika mwezi wa Januari mpaka mwezi Aprili Tz huwa kuna ongezeko kubwa la vifo,.
Mi nipo monchwali moja kubwa tu hapa tz nina uhakika na ninachokisema sana sana 2016.
Hawasomi kushindana na wengine, wanasoma kupata maarifa na kujitambua tu.hata wakikaa mwaka nyumbani,sawa tu.Najua umefanya hivyo kama njia ya kuwaepusha watoto wako na hili janga lakini je kama mzingira tulionayo hivi sasa hayatakuwa na mabadiliko chaja na watoto wako wako nje kimasoma huoni kama wataachwa vibaya mno na wenzao lkn swali la pili ulijiuliza kuwa baada ya huo mwenzi mmoja kuisha na yasionekane mabadiliko then what next watakuwa nyumbn mpaka lini?
Na hii hali mara nyingi inasababishwaga na mafua makali ya mwezi Desemba,. Hivyo kupelekea watu wazima wengi kushindwa kupambana na hiyo hali na kujikuta wakipoteza maisha JanuariAfadhali mkuu uje utusaidie maana kuna watu wanataka kuendelea kutuletea hofu kwenye jamii zetu
Asante sana mkuuPole sana!
Hawasomi kushindana na wengine, wanasoma kupata maarifa na kujitambua tu.hata wakikaa mwaka nyumbani,sawa tu.
Nachotaka tu wasiwe hatarini na huu ugonjwa.
Mimi pia nilikuwa napinga sana uwepo wa huu ugonjwa, lakini kwa hivi vipigo mfululizo, nimenyoosha mikono juu[emoji119][emoji119]
Tatizo nini hasa hiyo miezi?Kitu ambacho wa tz hatukitambui ni hivi:-
Kila inapofika mwezi wa Januari mpaka mwezi Aprili Tz huwa kuna ongezeko kubwa la vifo,.
Mi nipo monchwali moja kubwa tu hapa tz nina uhakika na ninachokisema sana sana 2016.
Kwanini?Aiseeee!nje ya mada mkuu wewe ni muhaya[emoji38]
Na hii hali mara nyingi inasababishwaga na mafua makali ya mwezi Desemba,. Hivyo kupelekea watu wazima wengi kushindwa kupambana na hiyo hali na kujikuta wakipoteza maisha Januari
Yes. Miaka ya nyuma ilikuwa tunaita tu mafua makali.Naomba kutoa ushuhuda kwenye hili coz hata mimi pia kwenye huo mwezi nilipata mafua yasio ya kawaida na nilikuja hapa kutoa taarifa lkn nashukuru baadae yalikuja kuisha kwa mapambano makali na hatimae nilishinda tena bila nyungu wala juice ya tangawizi