Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Punguza jazba alafu jitahidi unywe maji mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yale maombi yetu yame-expire? Kama vipi labda tufanye tena maombi na kuwaombea na wengine, kwa vile sisi ni vipenzi vya mungu zaidi ya misikiti mikuu ya Makka n Madina au kanisa la Roma!Toa maoni nini kifanyike badala ya kila mmoja kulialia na kutupa lawama huku na kule.
Watanzania tunapaswa kupambana kivyetu kwa sababu Corona haijatuathiri kama yale mataifa ya Ulaya tutiane moyo badala ya kutishana.
Karibu kwa maoni.
Maendeleo hayana vyama!
Iache kujiimbia mapambio afya ya imma ni zaidi ya madaraka.Toa maoni nini kifanyike badala ya kila mmoja kulialia na kutupa lawama huku na kule.
Watanzania tunapaswa kupambana kivyetu kwa sababu Corona haijatuathiri kama yale mataifa ya Ulaya tutiane moyo badala ya kutishana.
Karibu kwa maoni.
Maendeleo hayana vyama!
Fikiria Ufipa ifungwe mwezi mzima akina Mnyika watakufa kwa njaa siyo corona!punguza jazba alafu jitahidi unywe maji mengi.
umekariri maugoro kama mume wa dada yako a.k.a mzee mgaya.Fikiria Ufipa ifungwe mwezi mzima akina Mnyika watakufa kwa njaa siyo corona!
Ihabarishe watu kuhusu hatari iliyopo na hatua stahiki za kuchukua kwa mtoto mmoja mmoja, taasisi na mashuleToa maoni nini kifanyike badala ya kila mmoja kulialia na kutupa lawama huku na kule.
Watanzania tunapaswa kupambana kivyetu kwa sababu Corona haijatuathiri kama yale mataifa ya Ulaya tutiane moyo badala ya kutishana.
Karibu kwa maoni.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa........ mzee Mgaya anapigilia barakoa ila havai gloves nyeusi kama Freeman!umekariri maugoro kama mume wa dada yako a.k.a mzee mgaya.
Aendelee kukaa kimya hivi hiviToa maoni nini kifanyike ........soma bandiko la Yohana Mbatizaji... sio kuja na lawama....
Hilo nalo neno....Aendelee kukaa kimya hivi hivi