kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
au nasema uongo ndugu zanguuuuhayo maelekezo wewe umeyapata wapi....tumeshaambiwa hamna corona...na hamna maelekezo yoyote kutoka serikalini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au nasema uongo ndugu zanguuuuhayo maelekezo wewe umeyapata wapi....tumeshaambiwa hamna corona...na hamna maelekezo yoyote kutoka serikalini...
Jiwe halisikiiKwa jinsi mambo yanavyokwenda kuhusiana na Corona sio mbali wanaotuongoza wataachana na aibu ya kuukiri ukweli.
Ugonjwa gani?
Sisi taifa letu matatizo yetu tunamuachia Mungu
We jitilie msisitizo mwenyewe na jamaa zako, serikali haiwezi kupoteza Muda na vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku!!!
Msimamo wa serikali ndo huo!!Kuchukua tahadhari kwa pamoja ni vizur zaid
Mkuu hao unaowajua ni watu maarufu. Unadhani Covid-19 inataka watu maarufu pekeeMpaka saa 99% ya wanaoondoka na COVID ni watu wazima na wazee hasa kuanzia miaka 55 na kuendelea. Ukichunguza kwa umakini utagundua watu wengi wanakufa kwa changamoto ya kupumua hata hao watu wazima ni watu wa class fulani hasa wanaotembelea na kukaa kwenye viyoyozi kwenye magari, maofisini na majumbani...
Wewe kama mfuasi wa namba moja, unamshauri nini kuhusu hili.Mpaka saa 99% ya wanaoondoka na COVID ni watu wazima na wazee hasa kuanzia miaka 55 na kuendelea. Ukichunguza kwa umakini utagundua watu wengi wanakufa kwa changamoto ya kupumua hata hao watu wazima ni watu wa class fulani hasa wanaotembelea na kukaa kwenye viyoyozi kwenye magari, maofisini na majumbani....
Yupo sahihi wengi wao wanaokufa ni vigogo, kajamba nani tunaishi nao siku nyingi.Mkuu hao unaowajua ni watu maarufu. Unadhani Covid-19 inataka watu maarufu pekee