#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Ushindi mwingine Kwa JPM dhidi ya Corona itawafanya wengi Kwa mara nyingine kuwa wanakaa kimya mara Tu JPM akitamka Jambo hasa kwenye magonjwa ya mlipuko kama Corona

Mpaka huu Muda, kuna dalili ya ushindi mkubwa ukijionyesha tangu kuwepo tu maombi maalumu ya kuombea Taifa Ili kuondokana na Corona wimbi la maambukizi ya pili baada ya ile ya awali
Ni kweli kabisa, Mungu tayari ameshajibu. Ndio maana hata hao mapadri wa TEK wameokoteza vifo vya kutoka Januari. Habari ya misiba imepungua Sana na ni vifo vya kawaida!
 

Coronavirus: Texas and other states ease rules despite warnings​

Published49 minutes ago

A woman receives a Covid vaccine in Jim Hogg County, Texas
IMAGE COPYRIGHTREUTERS
image captionStates across the US have started to ease Covid-19 restrictions, causing concern among health officials
Texas will lift its mask requirement and allow businesses to reopen at full capacity next week, Governor Greg Abbott has announced.
"It is now time to open Texas 100%," the Republican said on Tuesday.
Texas is the largest US state to end its mask mandate. Mr Abbott has faced criticism from his party over the measure, which was imposed last July.
But the administration of US President Joe Biden has made it clear coronavirus restrictions are still necessary.
ADVERTISEMENT

The announcement in Texas came as similar rules were lifted in other states, including Michigan, Louisiana, and Mississippi, which also ended its mask mandate.
The roll-out of vaccinations against Covid-19 has boosted confidence in a return to pre-pandemic life in the US.

On Tuesday, President Biden said the US was on track to have enough vaccines for every adult in the country by the end of May.
Yet the wave of reopenings has put states at odds with the Biden administration and its senior health officials, who have reacted with dismay to the relaxation of coronavirus measures at a precarious time in the pandemic.
On Monday the director of the US Centers for Disease Control and Prevention (CDC) warned of a "potential fourth surge of cases" if the country lapsed into complacency.
Covid-19 data shows that, while infections and deaths have declined in recent weeks, they are still at high levels relative to other countries.
In total, the US has recorded more than 28 million infections and 516,000 deaths related to Covid-19, according to data collated by Johns Hopkins University.

What did the Texas governor announce?​

Mr Abbott issued an executive order that rescinded most of the coronavirus measures he imposed earlier in the pandemic.

The new executive order, which is to take effect on 10 March, lifts all mask requirements and forbids local authorities from penalising residents who do not wear a face covering.
It removes all restrictions on businesses in counties without a high number of Covid-19 patients in hospital.
Greg Abbott (file picture)
IMAGE COPYRIGHTREUTERS
image captionMr Abbott has been under pressure to lift the restrictions
"Too many Texans have been sidelined from employment opportunities," Mr Abbott said in a speech at the Chamber of Commerce in the city of Lubbock. "Too many small business owners have struggled to pay their bills. This must end."
He said that with increased vaccinations and improved treatment for Covid-19, the state was "in a far better position now".
But, he added, "Covid has not suddenly disappeared". Following weeks of decline, coronavirus infections and related deaths are creeping up again in Texas, data from the Covid Tracking Project showed.
Texas has recorded more than 43,000 deaths related to Covid-19, the third-highest state toll in the US.


media captionThe 'colourful' lives lost to Covid - how obituaries are helping us all mourn
line

Texas puts White House relations to the test​

Angelica Casas, reporting from San Antonio, Texas
Governor Abbott's announcement was no surprise to Texans. After all, the state's pandemic response has been political from the start.
The state's Republican leadership favoured former President Donald Trump's relatively relaxed approach to imposing restrictions. But that created tension with local officials in the state's major cities, which all lean Democrat.
It was control of the disease vs control of the economy. Mask requirements vs maintaining personal liberties. And when the surges came, state politicians were more reactive than proactive.
A year later, not much has changed. The state's death toll and current case rate are still among the highest in the US. That's why critics say Governor Abbott's decision does not follow the science.
So the decision will be a test to the state - but also to Mr Abbott's relationship with President Biden, who has addressed the pandemic with more urgency than his predecessor.
line

What about other US states?​

Individual states are in charge of public health policy in the US. At the start of the coronavirus pandemic, most introduced restrictions on businesses and travel.
About 35 required face coverings to be worn in public places - either or outdoor - although enforcement of these mask mandates has been patchy.
With cases and deaths falling sharply in recent weeks, several states have begun easing the restrictions.
Shortly after Mr Abbott's announcement, Mississippi Governor Tate Reeves said he would do the same in an even shorter time frame.
"Starting tomorrow, we are lifting all of our county mask mandates and businesses will be able to operate at full capacity without any state-imposed rules," Mr Reeves said.
Health experts have warned that the pandemic was far from over and cases could pick up if curbs were lifted too soon.
President Joe Biden speaks about the administration's response to the coronavirus pandemic at the White House in Washington's response to the coronavirus pandemic at the White House in Washington
IMAGE COPYRIGHTREUTERS
image captionPresident Biden has urged Americans to remain vigilant against the threat of the virus
President Biden - in contrast with his predecessor Mr Trump - has made fighting the virus a priority for his administration.
On Tuesday, Mr Biden said he was upbeat about reaching his goal of delivering 100 million Covid-19 vaccine doses in his first 100 days in office, but urged Americans to remain vigilant in wearing masks and observing social distancing.
"Today's announcements are a huge step in our effort to beat this pandemic," Biden said in a televised statement from the White House. "But I have to be honest with you. This fight is far from over."

How has Covid affected the US?​

  • The 28.7 million total confirmed US infections is nearly double that of second-highest India (11 million) and Brazil (10.5 million), according to Johns Hopkins University research
  • But the US ranks ninth in terms of deaths per 100,000 population, behind countries such as the UK and Italy
  • At least 90,000 more Americans are expected to have died with the virus by 1 June, an Institute for Health Metrics and Evaluation (IHME) projection says. By late May, the virus will kill around 500 Americans per day - down from approximately 2,000 now
  • Hospital admission rates have fallen sharply since January
  • The growing number of new variants, which could spark further outbreaks, remains a concern
Balozi wa Amerika hapa nchini aende kwao akawashsuri jimbo la Texas kuendelea kuchukua tahadhari na kuendelea kuwa na lockdown!!
 
Nikirejea usemi wa raisi mh Magufuli anapozungumzia corona nikimnukuu,"Hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko corona".Niweke wazi kwamba sina lengo lakuleta hofu wala sijatumwa na mabeberu ila kuusema ukweli juu ya janga la corona tutaokoa maisha ya wengi.

Rafiki yangu alifiwa na mjomba wake wiki iliopita hospitali ya Mount Meru lakini mshangao ndugu waliambiwa mochwari imejaa hivyo wajaribu kutafuta hifadhi nje ya hospitali.Ndugu walihangaika kutafuta hifadhi hospitali nyingine zilizopo jijini Arusha kama Seriani na nyinginezo lakini nako hali ikawa hivyohivyo nako kumejaa.

Kimsingi kunaviashiria kwamba corona ni tatizo na ndio chanzo cha kuongezeka kwa vifo nchini.Sidhani kama hospital kubwa kama Mount Meru ina mochwari ndogo kiasi cha kuzidiwa lazima kunajambo haliko sawa.

Sote ni mashahidi tumesikia taarifa ya kanisa katoliki wakieleza idadi ya mapadre,masista na watawa waliokufa ndani ya kipindi kifupi kwa changamoto za upumuaji.Kinachosikitisha taarifa hii haijaipendeza serikali badala ya kuhangaika na corona wameanza kutoa onyo kwa utoaji taarifa zihusuzo corona.

Ni vema serikali yetu ikaonesha seriousness kwenye mapambano ya corona kwani ni dhahiri viongozi wetu bado hawajaonesha mkazo kwenye mapambano ya janga hili.Sisi sote tunaiunga mkono serikali yetu kwenye msimamo kama wakitoweka lockdown lakini msukumo lazima uwekwe kwenye vyombo vya usafiri visijaze kupitiliza,maji tiririka,walau miili ya corona isimamiwe na watu wa afya wakati wa maziko kama mwanzo.

Wiki chache zilizopita mh Raisi akiwa kanisani alimpongeza padri kwakutokuvaa barakoa jambo ambalo yeye kama kiongozi wa nchi ameonesha kwenda tofauti na ushauri wakisayansi.

CORONA ipo tuchukue hatua sisi kama wananchi wenyewe kwani ni dhahiri viongozi wetu hawaeleweki.

Nimalizie kwakusema lengo langu si kuleta taharuki,kama habari hizi si za kweli ni jambo jema ila ni vizuri wakalifuatlia kuliko kila mnapoambiwa ukweli mnakimbilia kwenye vita vya uchumi/vibaraka wa mabeberu mnaacha kuhangaika na hoja ya msingi.
 
Kuhusu Korona kama ni wakufa utakufa tuuu, wala tusitishane sana , wa kusurvive atasurvive nothing to do , gonjwa halina dawa hlo , juzi nimezika babu yangu hvi hvi, kwenye mazishi ndo mana huwa nawasifu waislamu , hakuna kupoteza mda , mtu amekufa weka kaburini immediately watu waendelee na mambo mengine , ...

Maiti mpak zinarundikana mochwari, zinamsubiri Nani ???? Aaah
 
Kuhusu Korona kama ni wakufa utakufa tuuu, wala tusitishane sana , wa kusurvive atasurvive nothing to do , gonjwa halina dawa hlo , juzi nimezika babu yangu hvi hvi, kwenye mazishi ndo mana huwa nawasifu waislamu , hakuna kupoteza mda , mtu amekufa weka kaburini immediately watu waendelee na mambo mengine , ...

Maiti mpak zinarundikana mochwari, zinamsubiri Nani ???? Aaah
Lengo sio kutishana ila ukiwaamisha watu kwamba tuko vizuri hawachukui tahadhari mwisho maambukizi yanaongezeka,huku vijijini sasahivi wanasema corona na ugonjwa wa matajiri hapa utaona hawa watu wanahitaji kuelimishwa vinginevyo tunapoteza nguvu kazi,hakuna mwenye lengo lakuleta taharuki ila ni vema tahadhari ziwepo
 
Mtu akishakufa na thamani yake inakua imeisha tayari, inatakiwa akazikwe bila kuchelewesha , Sasa wafu wanahifadhiwa ili uweje , mpaka wanajaza machwari.
Tuendelee kuchukua tahadhari corona ipo
 
Kuhusu Korona kama ni wakufa utakufa tuuu, wala tusitishane sana , wa kusurvive atasurvive nothing to do , gonjwa halina dawa hlo , juzi nimezika babu yangu hvi hvi, kwenye mazishi ndo mana huwa nawasifu waislamu , hakuna kupoteza mda , mtu amekufa weka kaburini immediately watu waendelee na mambo mengine , ...

Maiti mpak zinarundikana mochwari, zinamsubiri Nani ???? Aaah
Una maana gani unaposema ugonjwa hauna dawa?

Kwani Waziri wa Fedha Dr.Philip Mpango alitumia dawa gani mpaka ameweza kupona?
 
Kama kuna usafiri kwanini alazwe mortuary?

Wakati mwingine watu wanataka maiti ikae hata wiki sijui maana yake ni nini
 
Nimesoma Waraka wa Katibu wa TEC na nimesikiliza clip ya Mwanaharakati mmoja. Kwa maneno yangu tunaelekea pabaya. Watanzania tupendane sisi ni nchi moja, wamoja na tuna mshikamano. Yale maneno ya yule Mwanaharakati kwa kweli hayapendezi hata kidogo.
 
Nimesoma Waraka wa Katibu wa TEC na nimesikiliza clip ya Mwanaharakati mmoja. Kwa maneno yangu tunaelekea pabaya. Watanzania tupendane sisi ni nchi moja, wamoja na tuna mshikamano. Yale maneno ya yule Mwanaharakati kwa kweli hayapendezi hata kidogo.
Ungeyaweka hapa hayo maneno au hiyo clip nasi tusikilize ndipo tuchangie.!
 
Nikirejea usemi wa raisi mh Magufuli anapozungumzia corona nikimnukuu,"Hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko corona".Niweke wazi kwamba sina lengo lakuleta hofu wala sijatumwa na mabeberu ila kuusema ukweli juu ya janga la corona tutaokoa maisha ya wengi...
ni kawaida mochwari kujaa kipindi cha kabla ya corona?
 
Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.

Imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
 
Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakunywa sana pombe hawa. Huenda ikawa sababu.


Ni utani tu.
 
Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
Ni watu wa rika gani ambao wanafariki..??
 
Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
Ushauri ukitaka kujiua usijiue nenda Moshi.
Ndugu zangu Wahehe mmeelewa lakini
 
Back
Top Bottom