Ndugu yangu tanzania ni kubwa sana hatuna huo uwezo wa kuwapaliza ndege wagonjwa wote kwa siku kuwawaisha muhimbiliHata mimi nimejuliza, ilishindikana kupatikana ndege ili kuwahi Muhimhibili na badala ikaonekana ambulance ndiyo jawabu?? nadhani haukuwa uamuzi sahhihi! Pumzika mtoto umeachana na dunia ya shida na dhiki nyingi!😕