Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

Idea sio kuwa mtoto wa mfanyabiashara awe mfanyabiashara
Idea ni kuwa mtoto a pick up fani yake akiwa mdogo na aweze kuni master fully kwa msaada wa mtaala husika , mathalani labda mtoto awe IT expert, si anaweza kumsaidia baba yake mfanyabiashara kwenye fani hiyo? ,Badala ya kuwa na degree ambayo inamlazima aajiriwe tu

Ukianza kujibu bila kuelewa aliyekuwa anajibiwa alikuwa anajibiwa kitu gani tutachoshana bure!
 
Hivi unaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa kila mtoto wa mfanyabiashara ana interest ya kuwa mfanyabiahara?

That aside, a successful businessperson isn’t minted in a classroom!
That is why waswahili wengi matajiri huzalisha familia maskini mbeleni wakifa angalia wahindi,wapemba na waarabu mbona watoto wao huwa developed na wazazi wao na kuwa na interest na biadhara za wazazi wao na kuzipeleka mbali na wakienda kusoma wanaenda kusoma mambo ya business mifano kibao balheresa darasa la pili wanawe wamepiga shule kuendesha business mzee ka relax swala tano watoto wanapiga kazi kuliko alivyopiga mzazi wao

Familia Ya Dewji hivyo hivyo mzee kakaa pembeni kaachia watoto wakiongozwa na Mo Dewji kaipaisha kampuni kuliko wazazi wake hadi kuifikisha ubilionea kimataifa.

Tuwe wakweli kwenye competence based Education wazazi wengi wa kiswahili kuna shida kiasi kuwa mtoto hata hawi na intetest na business ya mzazi wake hata iwe kubwa vipi anaona heri tu aanze ground zero kutafuta tu maisha yake .Wengi si kuwa wanapenda hivyo !!!! Mzazi anasukumia dunia mitoto yake na kusukumia serikali ndio wamfundishe na kujua watampeleka wapi ? Wakati nyumbani kuna miundombinu tayari .Very sad

Wenzetu familia ya wafanyabiashara wakubwa huzalisha kizazi cha wafanyabiashara matajiri wakubwa waswahili mfanyabiashara mkubwa kazi yake kuzalisha kizazi cha maskini anaongeza tu idadi ya maskini kwenye nchi kupitia wanawe,wajukuu nk
 
Bado unachanganya mambo! Focus ya CBE sio specialization.
Competency based = kulingana na uwezo , unachoonesha kukielewa ndo utafundishwa .
Hii ni specialization katika level ya chini kabisa mwanzo, bila kumspoil mtoto na editorial content ambazo hazimsaidii.
 
Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education kenya wazazi,walimu na wanafunzi hawautaki

Baadhi ya vyama vimeweka kama Agenda ya uchaguzi kuwa wakishika madaraka hup mfumo wa Competent based wataufuta sababu walimu hawautaki,wazazi hawautaki na wanafunzi hawautaki na wanashangiliwa sana

Serikali vizuri ikajifunza kupitia kenya kabla kukurupuka kuuanzisha.Wao walijiingiza kichwa kichwa

Kwani mfumo wa elimu kwa Serikali ya Tanzania ukoje na unaitwaje?​

 
Ukianza kujibu bila kuelewa aliyekuwa anajibiwa alikuwa anajibiwa kitu gani tutachoshana bure!
Umeandika kitu gani kwenye jibu lako ambacho hakieleweki?
Unaona madhara ya mfumo wa elimu yetu ya kukariri!! tunaongelea kitu kimoja ila kwa kuwa sijielezi the way unavyojua una ni attack na kudhani nakupinga.
 
That is why waswahili wengi matajiri huzalisha familia maskini mbeleni wakifa angalia wahindi,wapemba na waarabu mbona watoto wao huwa developed na wazazi wao na kuwa na interest na biadhara za wazazi wao na kuzipeleka mbali na wakienda kusoma wanaenda kusoma mambo ya business mifano kibao balheresa darasa la pili wanawe wamepiga shule kuendesha business mzee ka relax swala tano watoto wanapiga kazi kuliko alivyopiga mzazi wao

Familia Ya Dewji hivyo hivyo mzee kakaa pembeni kaachia watoto wakiongozwa na Mo Dewji kaipaisha kampuni kuliko wazazi wake hadi kuifikisha ubilionea kimataifa.

Tuwe wakweli kwenye competence based Education wazazi wengi wa kiswahili kuna shida kiasi kuwa mtoto hata hawi na intetest na business ya mzazi wake hata iwe kubwa vipi anaona heri tu aanze ground zero kutafuta tu maisha yake .Wengi si kuwa wanapenda hivyo !!!! Mzazi anasukumia dunia mitoto yake na kusukumia serikali ndio wamfundishe na kujua watampeleka wapi ? Wakati nyumbani kuna miundombinu tayari .Very sad

Wenzetu familia ya wafanyabiashara wakubwa huzalisha kizazi cha wafanyabiashara matajiri wakubwa waswahili mfanyabiashara mkubwa kazi yake kuzalisha kizazi cha maskini anaongeza tu idadi ya maskini kwenye nchi kupitia wanawe,wajukuu nk

Sentence yangu ya mwisho imeshakujibu. Your assumption that watoto wanaosimamia biashara za wazazi wao lazima wamesoma biashara is preposterous!
 
Umeandika kitu gani kwenye jibu lako ambacho hakieleweki?
Unaona madhara ya mfumo wa elimu yetu ya kukariri!! tunaongelea kitu kimoja ila kwa kuwa sijielezi the way unavyojua una ni attack na kudhani nakupinga.

Labda una nonstandard definition yako ya neno attack!

Kama huna nia ya kujifunza, unayo hiari ya kubaki kama ulivyo.
 
Sentence yangu ya mwisho imeshakujibu. Your assumption that watoto wanaosimamia biashara za wazazi wao lazima wamesoma masomo ya biashara is preposterous!
Hajaekewa nasema kwenye competency based mzazi ana.mchango mfano unamiliki shule private mtoto anatakiwa kuwa developed competence kwenye hiyo area ili baadaye atake over hivyo akisoma Education it us ok achukue vitu related na hicho ku develop competence yake

Kama una Hospital au pharmacy vivyo hivyo sijaongelea tu mtu kusoma masomo ya biashara

Neno nililotumia ni businesss related Education

Anyway kifupu wafanyabiashara wakubwa wengi waswahili ni pasua kichwa business hazina succession plan akifa na wakifa na zenyewe zinaenda kuzikwa nyumba ya milele
 
Hajaekewa nasema kwenye competency based mzazi ana.mchango mfano unamiliki shule private mtoto anatakiwa kuwa developed competence kwenye hiyo area ili baadaye atake over hivyo akisoma Education it us ok achukue vitu related na hicho ku develop competence yake

Kama una Hospital au pharmacy vivyo hivyo sijaongelea tu mtu kusoma masomo ya biashara

Neno nililotumia ni businesss related Education

Anyway kifupu wafanyabiashara wakubwa wengi waswahili ni pasua kichwa business hazina succession plan akifa na wakifa na zenyewe zinaenda kuzikwa nyumba ya milele

CBE isn’t about specialization!

CBE is a well documented model. Kwanini watu wengine hamtaki kujielimisha kwa kusoma institutional publications badala ya kuanza kuandika hisia zenu wenyewe?
 
Mwalimu !!
Unapotosha kwa maksudi au ndo madhara ya mimi na wewe kukariri,? mbona hutoki nje ya box ?
wala sio makusudi.naomba unipe hadi saa 2:30 nitakuja na ufafanuzi wa points za #20 ili uelewe ninachokisema.Pamoja na ukilaza wangu siwezi nikapotosha jamii kwa makusudi....niwie radhi kama comments zangu zhazijajibu hoja zako ulivyotegemea.
 
wala sio makusudi.naomba unipe hadi saa 2:30 nitakuja na ufafanuzi wa points za #20 ili uelewe ninachokisema.Pamoja na ukilaza wangu siwezi nikapotosha jamii kwa makusudi....niwie radhi kama comments zangu zhazijajibu hoja zako ulivyotegemea.
Hapana hujanikosea chocote na napenda nijifunze
Namamini jina lako linasadifu wasifu wako, mwalimu hawezi kuwa kilaza hata kidogo.
 
CBE isn’t about specialization!

CBE is a well documented model. Kwanini watu wengine hamtaki kujielimisha kwa kusoma institutional publications badala ya kuanza kuandika hisia zenu wenyewe?
Kwenye mtaala wa competence based Education kuna kipengele cha Career Guidance ambapo mwalimu,mzazi na mtoto lazima waongee pamoja mtoto achukue careeer ipi!!! Specialiazation hiyo!!!
 
Kwenye mtaala wa competence based Education kuna kipengele cha Career Guidance ambapo mwalimu,mzazi na mtoto lazima waongee pamoja mtoto achukue careeer ipi!!! Specialiazation hiyo!!!

Specialization sio focus ya CBE. Vinginevyo, programs za nursing, accounting, banking, corporate finance, civil engineering, pharmacology, criminology, et cetera moja kwa moja zingehesabika kama CBE.
 
Mimi Mkenya hapa, nimeuchangamkia huu mfumo, na wengi wetu pia.
Hamna chochote kipya huwa rahisi, lazima mwanzo uwe mgumu maana huu ni mfumo unaobadilisha mwanafunzi aache kukariri na awe fundi na mwenye maujuzi, pia ni mfumo ambao utaacha kupambanisha ngendere na samaki kwenye zoezi la kuogelea au kukwea mti, kila mmoja anaelekezwa kwenye fani aipendayo na inayomhusu.
MK umekuja na akili nyingi ajabu
 
Mwalimu !!
Unapotosha kwa maksudi au ndo madhara ya mimi na wewe kukariri,? mbona hutoki nje ya box ?
Habari Mkuu t blj,
Naomba nikupitishe kwenye ufafanuzi alioutoa Mkuu Animo (#20)

Achana na articles za mtu mmoja mmoja hizi. Soma institutional publications ndipo utapata a more accurate understanding of a Competency-Based Education (CBE) model.

Kwa kifupi, CBE inaleta flexibility katika kujifunza. Student anajifunza kwa pace yake. CBE emphasizes mastery of skills rather than the time-based completion of required credits. Mtu sio lazima atumie miaka saba kumaliza elimu ya msingi au miaka minne kumaliza o’level, kwa mfano. Anaweza kutumia muda mfupi au mrefu, depending on individual learning pace or needs.

THE FIVE ELEMENTS OF CBE

emoji3578.png
Students advance upon mastery.

emoji3578.png
Competencies include explicit, measurable, transferable learning objectives that empower students.

emoji3578.png
Assessment is meaningful and a positive learning experience for students.

emoji3578.png
Students receive timely, differentiated support based on their individual learning needs.

emoji3578.png
Learning outcomes emphasize competencies that include application and creation of knowledge, along with the development of important skills and dispositions.
EBE ni aina ya elimu inayotolewa ambayo ina vipengele 5 kama alivyosema Mkuu Animo,Nchi inapoamua kuchukuwa na ku adopt mfumo huu wa elimu inabidi inchi husika i customize content na implementation ili iendane na malengo ya elimu ,jamii na mazingira ya nchi husika.
Kwa mujibu wa ufafanuzi huu waalimu wetu wanatekeleza Carricumumn ambayo imeandaliwa kwa kuzingatia CBE. Carriculumn hii inaitwa CBC au mtaala ulioboreshwa.

Nitaanza na kufafanua vipengele vya #20
1. It is based on COMPETENCY- Umahiri ndio lengo kuu la elimu. CBE inalenga kuhakikisha ngedere anakuwa na uwezo na umahiri wa kupanda mti...na samaki pia awe na uwezo wa kutosha kuendesha maisha yake majini.
Mitihani kwa mfumo huu inazingatia assesment na sio evaluation- kwahiyo ngedere hataruhusiwa kuendelea na kujifunza ulaji wa matunda mtini mpaka atakapokuwa na umahiri wa kutosha kupanda mti,bila kujali itachukuwa muda gani kupata umahiri husika.
2. Kujengea walengwa(wanafunzi uwezo mkubwa wa kutambua,kuelewa ikiwa ni pamoja na kuwa na uwezo wa kutafsiri malengo makuu ya elimu katika nchi husika.
3. Tahmini inalenga kuangalia uwezo na umahiri na sio kumbukumbu na kukariri.
4. Wanafunzi wote wanafundishika.Kila mwanafunzi anafaa kupata fursa ya kufundishwa kwa njia anayoielewa zaidi-(samaki na ngedere) usilazimishe gedere kuelewa kama samaki...ila wote lazima wajitafutie namna ya kuishi.

5. Inashugulika na kuongeza uwezo zaidi wa wanafunzi kupitia kujifunza kwa kuongeza maarifa na akili through activities.

Kwani mfumo wa elimu kwa Serikali ya Tanzania ukoje na unaitwaje?​

Kwa kuanza na swali la huyu bwana mkubwa' Maala wetu umeboreshwa.umechukuwa mfumo wa CBE- tuna carriculum inayoitwa CBC ambao ni maboresho ya Carriculum iliyopita.

imechukuwa vipengele vyote isipokuwa katika maandalizi serikali imepanga muda kwa kuaninisha umahiri unaohitajika katika kila somo kuanzia darasa la 1-7 na secondari.

Disclaimer:Mimi ni mdau tu wa elimu ila sio msemaji. Naomba kurekebishwa ili nijifunze zaidi


#Quality Assurance and Standards.
 
Back
Top Bottom