Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #181
Ni lazima Tls iendeshwe kwa kuzingatia misingi ya kuanzishwa kwake.kikikiuka misingi yake.basi ni lazima hatua kali za kisheria zichukuliwe na serikali yetu.hatuwezi kuona chama cha kitaaluma kikigeuzwa kuwa kichaka cha wanaharakati uchwara kutolea matamko yao.Hizo ni hofu zako,kwani Labour ya uingereza ilikuwaje,?waambie wenye hofu wenzio wetende Haki!Sio mbaya kikija kuwa chama Cha Siasa kama kitasajiliwa kihalali.
Mimi silipwi na mtu yeyote yule ndugu yangu mtanzania.Hapo ushapata ulfu 20 yako safi kabisa
Mimi naongea ukweli na siyo uchawa.Siamini kama mpk Karne hii watu bado mambumbu. Watu wameelimika bro acha uchawa.
Dawa ya nini? Isajilini kuwa chama cha siasa ieleweke.
Hivi amani ni nini na inalindwa na nani? Unadhani kuwa mwanaccm ndo kuwa mzalendo au?Ndugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo lugha Mwashambwa umemchanganya!Na uongozi mpya wa TLS chini ya rais wakili msomi Boniface Mwabukusi utahudumu kwa miaka 3 yaani mwaka, 2024 hadi 2027 baada ya uongozi ukiopita kubadilisha muhula toka mwaka mmoja hadi miaka mitatu ili uweze kufanya kazi kwa mguso zaidi .
Kipindi hiki cha 2024, 2025 Tanzania imepata mdau muhimu wa utetezi wa haki, demokrasia na uhuru kupitia chama cha mawakili TLS .
Kuongezeka kwa mdau huyu muhimu ni lulu kubwa kwa nchi yetu.
Kikanda TLS na Jumuiya za Wanasheria wa Afrika Mashariki EALS zinafanya kazi ya kukuza utawala bora na utawala wa sheria katika ukanda wa Afrika Mashariki na wanajukumu zito lililo rasmi la kuwa waangalizi kupitia Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Law Society EALS) na Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu.
TLS working in partnership with The East Africa Law Society EALS, works to promote good governance and the rule of law in the East African region and enjoys formal Observer Status with the East African Community and the African Commission on Human and Peoples' Rights.
Inakisa maana ikiiisimamia serikali kufuata sheria sio? Ila wakiwa chawa sawa, acheni ujinga wa akili na utumwa wa mawazoHii TLS imeshapoteza mwelekeo ipo biased badala ya kusimama katikati, hii ni ya kuipuuza it's useless
Hakuna cha kunichanganya hapoHiyo lugha Mwashambwa umemchanganya!
Kwani nasema uongo ?Acha ujinga wako hapa dogo.
Kumbe ni wee mbwa!Ndugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hatunyamazi mnataka tukae kimya muendelee kutafuna nchi bila bugudha eti? Mwambukusi kanyaga twendeDawa ya nini? Isajilini kuwa chama cha siasa ieleweke.
Ndio unasema uongoKwani nasema uongo ?
Kuzaliwa kwake huyo kibaka ni matumizi mabya yaa maniiShahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
Huyo mfupi ndiye Lucas MwashambwaTLS ni chama cha kitaaluma bado hata hayo matamko unayoona wewe yanavuruga amani kama unavyodai yako kisheria.
Mfano ni kuwa waziri kafuta vijiji vya Ngorongoro kwa matakwa yake haijulikani mamlaka hayo kayatoa wapi kikatiba, alipokuja rais wa TLS katengua maamuzi hayo kwa kunukuu vifungu vya sheria na kuonyesha wazi ni waziri ndio kavunja sheria na sio wamasai kuwepo kwenye eneo lao asili.
Hiki ulichoandika hapa hakuna kifungu chochote ulichofanya rejea kuonyesha TLS imegeuka chama cha siasa.
Ni vyema mada zingine usizipandishe hapa japo unapata ujira wako kwa taabu ila mada zingine ukubali zinakuzidi kimo.View attachment 3075659
Na badoHii TLS imeshapoteza mwelekeo ipo biased badala ya kusimama katikati, hii ni ya kuipuuza it's useless
Usilete ujinga wako wa kikabila hapa.Mbozi tumepata hasara ya kuwa na kijana mjinga kama huyu !! Wanyiha hatuko hivi unatuaibisha
Usilete ujinga wako wa kikabila hapa.Mbozi tumepata hasara ya kuwa na kijana mjinga kama huyu !! Wanyiha hatuko hivi unatuaibisha