TLS ni chama cha kitaaluma bado hata hayo matamko unayoona wewe yanavuruga amani kama unavyodai yako kisheria.
Mfano ni kuwa waziri kafuta vijiji vya Ngorongoro kwa matakwa yake haijulikani mamlaka hayo kayatoa wapi kikatiba, alipokuja rais wa TLS katengua maamuzi hayo kwa kunukuu vifungu vya sheria na kuonyesha wazi ni waziri ndio kavunja sheria na sio wamasai kuwepo kwenye eneo lao asili.
Hiki ulichoandika hapa hakuna kifungu chochote ulichofanya rejea kuonyesha TLS imegeuka chama cha siasa.
Ni vyema mada zingine usizipandishe hapa japo unapata ujira wako kwa taabu ila mada zingine ukubali zinakuzidi kimo.
View attachment 3075659