Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

CCM lazima mtatia heshima mwaka huu. Mwabukusi ndiyo kwanza hajamaliza hata mwezi mmoja kati ya miezi 36 (miaka 3).
Wasije wakampiga risasi tu kama walivyofanya kwa Tundu Lissu, maana hawa mabwege wakishindwa kuhimili hoja wanakimbilia bunduki.
 
Wapinzani Sasa hivi mmeishiwa hoja na kubakia kufanya uzushi na uongo tu.ndio maana mnaendelea kupuuzwa sana na watanzania.
Nyie wajinga hata mkishindwa kuwatia mimba wake zenu mnasingizia wapinzani, TLS ni chama cha kitaaluma hata wana CCM wamo mnachotakiwa ni kujibu hoja zao siyo mnapeleka lawama kwa wapinzani huo ni uduwanzi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.

Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.

Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu

Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ni mtoto mdogo tu, na pia ni mlugaluga unayeishi porini (Mbozi huko)!! Hiyo TLS umeijulia wapi? Au ndiyo kila unachokiona mbele yako unadandia tu ili uonekane?
 
Habar ya kizimkazi ndugu Mwashambwa maana bila shaka ulikuwepo kusapoti juhudi kuu za mama ili aupige mwingi
 
kama TAWLA sijui TAMWA wanatetea wamama na hamkuwaita chama cha siasa walipotoa tamko dhidi ya Makonda kumtusi yule dada, kwanini TLS iitwe chama cha siasa wanapowatetea wamasai?
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina KASIMU na KAMANDA MULIRO mwende MKATAZAME hili swala la Mwabukusi tunakwenda nalo vipi.

Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vyao, oooh mama kauza bandari, mama kauza bahari, mama kauza hiki, mama kauza kile, sasa mwende MKANIPIGANIE MAMA YENU.

KAMANDA MULIRO nina imani na uzoefu wako wa JUDO na KUNG'OA MENO YA MBELE, na wewe KASIMU najua ni bingwa wa KUHADAA na kupiga PROPAGANDA, nendeni mkafanye kazi NILOWATUMA.

Na suala JENGINE, msiende huko mkaanza kusema mama ametutuma, hapana, nataka mjiamini katika kazi niliyowapa kisha mnirudishie ripoti yenye HADIDU REJEA.

MKINIKUNA NITAWAKUNA.

Cc: namba moja ajaye nchini DR Mambo Jambo min -me mshamba_hachekwi Rabbon
 
Wasiopenda haki utawajua tu!!!! Sasa shida ya TLS ni ipi ilhali wako wanatuonyesha madudu mengi kwenye ukiukaji wa Sheria kwa Viongozi...???

Mfano , Sheria ya kufuta Vijiji huko Ngorongoro.... Nimemwelewa sana Mwabukusi alipotoa ufafanuzi....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.

Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.

Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu

Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kweli, maana TLS na taasisi nyingine za aina hiyi zinatakiwa ziwe makondoo kwa serekali.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.

Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.

Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu

Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tulia mlizoea TLS mdebwedo kibogoyo isiyo na meno sasa tuna TLS inayowajibika kwa wananchi na rasilimali ya Watanganyika mnaanza kuruka ruka badala ya kukaza makalio dawa iingie
 
Back
Top Bottom