SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wasije wakampiga risasi tu kama walivyofanya kwa Tundu Lissu, maana hawa mabwege wakishindwa kuhimili hoja wanakimbilia bunduki.CCM lazima mtatia heshima mwaka huu. Mwabukusi ndiyo kwanza hajamaliza hata mwezi mmoja kati ya miezi 36 (miaka 3).
Yanataka yatafune nchi taratibu bila keleleCCM lazima mtatia heshima mwaka huu. Mwabukusi ndiyo kwanza hajamaliza hata mwezi mmoja kati ya miezi 36 (miaka 3).
Papai kama hili haliwezi kuteuliwa kamwe maana hata uchawa wake anaufanya kijinga sana.Teuzi zimekua ngumu siku hizi
NilipumbavuUna mawazo ya kijima kweli kweli wewe dogo.
😂😂😂😂Nenda kizimkazi ukachukue mgao mama yako bado ana maburungutu ya Dp world. Mwenzio Maulid Kitenge anaotembelea usafiri wa maana wew umekalia kuleta uhalo humu jukwaani
Wew una hoja? Mbweha wewJifunze kujenga hoja.
Nyie wajinga hata mkishindwa kuwatia mimba wake zenu mnasingizia wapinzani, TLS ni chama cha kitaaluma hata wana CCM wamo mnachotakiwa ni kujibu hoja zao siyo mnapeleka lawama kwa wapinzani huo ni uduwanzi.Wapinzani Sasa hivi mmeishiwa hoja na kubakia kufanya uzushi na uongo tu.ndio maana mnaendelea kupuuzwa sana na watanzania.
Noma sana!Nyie wajinga hata mkishindwa kuwatia mimba wake zenu mnasingizia wapinzani, TLS ni chama cha kitaaluma hata wana CCM wamo mnachotakiwa ni kujibu hoja zao siyo mnapeleka lawama kwa wapinzani huo ni uduwanzi.
Huyo ana njaa zake tujifunze kumpuuza.Una mawazo ya kijima kweli kweli wewe dogo.
Huyu anashindwa hata na Dotto Magari mhuni aliyekuwa mkabaji lakini anajua kujiweka sawa.Nenda kizimkazi ukachukue mgao mama yako bado ana maburungutu ya Dp world. Mwenzio Maulid Kitenge anaotembelea usafiri wa maana wew umekalia kuleta uhalo humu jukwaani
Wewe ni mtoto mdogo tu, na pia ni mlugaluga unayeishi porini (Mbozi huko)!! Hiyo TLS umeijulia wapi? Au ndiyo kila unachokiona mbele yako unadandia tu ili uonekane?Ndugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Majizi haya.Yanataka yatafune nchi taratibu bila kelele
Ni kweli, maana TLS na taasisi nyingine za aina hiyi zinatakiwa ziwe makondoo kwa serekali.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tulia mlizoea TLS mdebwedo kibogoyo isiyo na meno sasa tuna TLS inayowajibika kwa wananchi na rasilimali ya Watanganyika mnaanza kuruka ruka badala ya kukaza makalio dawa iingieNdugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.