Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

TLS ni chama cha kitaaluma bado hata hayo matamko unayoona wewe yanavuruga amani kama unavyodai yako kisheria.

Mfano ni kuwa waziri kafuta vijiji vya Ngorongoro kwa matakwa yake haijulikani mamlaka hayo kayatoa wapi kikatiba, alipokuja rais wa TLS katengua maamuzi hayo kwa kunukuu vifungu vya sheria na kuonyesha wazi ni waziri ndio kavunja sheria na sio wamasai kuwepo kwenye eneo lao asili.

Hiki ulichoandika hapa hakuna kifungu chochote ulichofanya rejea kuonyesha TLS imegeuka chama cha siasa.


Ni vyema mada zingine usizipandishe hapa japo unapata ujira wako kwa taabu ila mada zingine ukubali zinakuzidi kimo.
 
Unafikiri bungeni ni uwanja wa mazoezi kwamba kila mtu anaingia tu kufanya mazoezi? Nani mwenye akili Timamu anayeweza kumpigia kura ya ndio mwabukusi?
Kweni hilo Bunge ni la Baba yako?! Mwabukusi akishinda Uchaguzi anaingia kwenye Bunge letu la Wananchi.
 
Mwabukusi akiingia Bungeni nitaanza "rasmi" kuangalia Bunge Live.

Bunge limeharibiwa na hawa "Wabunge wapiga Meza" tunataka Bunge MOTO MOTO😁😂
 
Kweni hilo Bunge ni la Baba yako?! Mwabukusi akishinda Uchaguzi anaingia kwenye Bunge letu la Wananchi.
Ashinde kwa kura za nani na kutokea jimbo lipi? Unajuwa kuwa amewahi kutaka ubunge na akatupwa mtaroni kama jongoo? Au wewe ndio umemjuwa leo?
 
Bungeni wanaingia wenye akili Timamu na wanaojitambua vizuri.siyo kila mtu anaingia Bungeni kama sokoni.
Mumejaza "Mazezeta" Bungeni ambao wengi wameingia kwa AMRI ya MAGUFULI sisi WANANCHI safari hii tunaingiza Wabunge "Machachari" wenye UCHUNGU na NCHI hii TANZANIA.😀✊️✊️
 
Pumbaf kweli ww na bado
 
Mumejaza "Mazezeta" Bungeni ambao wengi wameingia kwa AMRI ya MAGUFULI sisi WANANCHI safari hii tunaingiza Wabunge "Machachari" wenye UCHUNGU na NCHI hii TANZANIA.😀✊️✊️
Mwabukusi hawezi kuingia Bungeni hata kwa kusukumwa tu.ndio maana alipojaribu jambo hilo alifyekwa vibaya sana na kubaki na aibu kuu.
 
Mwabukusi lazima aingie MJENGONI DAADEKI....😄 HII NI NCHI YETU SOTE✊️
 
TLS ni chama Cha kitaaluma ila limesha poteza lengo,kimekuwa kisiasa zaidi
Kimepoteza kabisa dira yake na kutaka kujigeuza kuwa chama cha siasa.kwa hiyo ni bora ieleweke Kuwa ni chama cha siasa badala ya kukitumia kwa malengo ya kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…