Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

Acha kuwa mpoyoyo Chawa Kunguni.
 
Vua chupi upitiwe haraka unawashwa ww jinga namba moja la nchi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Vua chupi upitiwe haraka unawashwa ww jinga namba moja la nchi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Umesamehewa dhambi zako zako.nenda ukawe chombo kipya cha Bwana kuhubiri injili iliyo njema na kuwa mvuvi wa watu.
 
....naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu.
Je Lucas Mwashambwa,
1). Utakapoburuzwa mahakamani unao ushahidi wa kuthibitisha haya maneno yako.

2). Kama huna ushahidi, unayo mabilioni ya shilingi kulipa fidia ya kuwachafua kwa UZUSHI, UONGO na UZANDIKI hao wasomi, mawakili?
Tanganyika Law Society
 
M
bona hulalamiki jeshi la polisi na baadhi ya vyombo vya dola kugeuzwa matawi ya CCM?
 
Mkuu vipi? Mbona una anza kulilia lia? Au Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu hazifuatwi? Wakikosea ama kukiuka maadili, Mahakama zipo, wapelekwe huko. Acha hizo! Waache wafanye kazi zao za kiwakili. Mkuu, kuna vile vyama vya Wafanyakazi TUGHE, CHPDAWA, na kile cha Waalimu zipo kweli! maana sivisikii siku hizi.
 
Kama.police na TISS vimekua vyama cha siasa kwa nini TLS isiwe
 
Vyama vya kitaaluma vinatakiwa viwe na nguvu na meno kusimamia serikali dhidi ya maslahi ya wanachama wake.
Bahati mbaya hakuna hata kimoja kinafanya hivyo nchini Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…