Sio UWT hiyoDawa ya nini? Isajilini kuwa chama cha siasa ieleweke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio UWT hiyoDawa ya nini? Isajilini kuwa chama cha siasa ieleweke.
Muda siyo mrefu unapigwa ban ya miaka 2. Maana naona unataka kuleta ujinga wako humu.Kuzaliwa kwake huyo kibaka ni matumizi mabya yaa manii
Mimi siishi kwa kupost vitu humu kama wewe .Mimi nafurahi unapokasirika na kutishia kunishitaki nipigwe ban.Muda siyo mrefu unapigwa ban ya miaka 2. Maana naona unataka kuleta ujinga wako humu.
Mimi huwa natumia akili na siyo hisia katika kuzungumzia jambo lolote lileUsitumie hisia kwenye mambo ya kitaaluma,ingelikuwa vema kama hoja yako ingelijengwa kwenye uvunjifu wa katiba ya nchi na katiba ya Chama cha wanasheria Tanganyika TLS kama zimevunjwa na kwa namna gani.
Mauzinde tuliza kishundu hichoAcha ujinga wako hapa dogo.
Mfupi kama kokwa ya parachichi 🤣🤣🤣Huyo mfupi ndiye Lucas Mwashambwa
Tena inatakiwa idhibitiwe haraka sana.TLS inahitaji reform.. idhibitiwe Ili ikae kwenye majukumu yake
Aiseeeee......Ndugu zangu Watanzania,
Kuna hatari ninayoiona ikija kupitia chama cha wanasheria Wa Tanganyika yaani TLS.Naona ni kama kinataka kutolewa kutoka kuwa chama cha kitaaluma na kujigeuza kuwa chama cha siasa kali na kinachoweza kuivuruga serikali na hata kuleta Masuala yatakayochochea vurugu,chuki,uhasama na ubaguzi miongoni Mwetu kwa kupandikiza maneno ya uongo na uzushi.
Naona chama hiki kikigeuzwa kuwa pango la wanaharakati wenye nia ovu na kuvuruga amani ya Nchi yetu. naona kuna hatari chama hiki kikaanza kuwa uchochoro wa kupitishia maburungutu ya pesa chafu kwa ajili ya kufadhili na kuwafadhili watu ambao watatumika kuvurugu amani na utulivu wa Taifa Letu. Naona chama hiki kinataka kutumika kama kichaka cha kutolea matamko ya hovyo kwa mwamvuli wa TLS.
Ni Muhimu serikali ianze kutupia jicho lake la kijasusi na kiupelelezi kuangalia muenendo mzima wa shuguli za chama hiki ,kama zinafuata taratibu au ni mtu tu au kikundi cha watu na wafadhili wao nyuma ya pazia wanataka kukitumia chama hiki kwa maslahi yao binafsi kuvuruga amani ya Taifa letu
Nasema haya kwasababu nimeona chama hiki kinakoelekea siyo kuzuri kwa mstakabali mzima wa Aman na usalama wa Taifa letu. naona ni kama kinataka kitumiwe na wanaharakati uchwara na wenye ajenda ovu kwa kutumiwa na watu wenye mapesa yao kusukuma au kupenyeza ajenda zao kwa lengo ya kuivuruga serikali yetu na kuihamisha kiajenda pamoja na kuhatarisha usalama wa Taifa letu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uwepo wa Mwashambwa, kwa kweli ihesabike ni laana kwa familia yake, na laana kwa jamii inayomzunguka. Ukiwa na mtu wa namna hii kwenye familia utabaki unajiuliza ulikosea wapi mpaka kuwa na mwanagfamilia wa hivi!!Yaani wadau sijawahi kuelewa akili ya mwashambya ata kama ni njaa au uchawi hawa ndo maadui wa nne wa TAIFA ukiachana na wale watatu
Angalia hii simbilisi !!!Tena inatakiwa idhibitiwe haraka sana.
Hilo halina akiliAngalia hii simbilisi !!!
CCM Ina pesa za kutosha na vitega uchumi kila kona ya Taifa letu.ndio maana haiteteleki sala kusuasua katika jambo lolote lilePia Serikali iwe makini kabla Chama tawala haijamaliza fedha za umma kwa kampeni yake ya uchaguzi 2024 na 2025 kama ilivyokuwa 2019 na 2020.
Sass hizo ni hypothesis kama kuna ukweli weka ili ijadiliweKwani hufahamu ya kuwa kuna watu wanaweza kuwafadhili watu ili watumike katika kuleta machafuko Nchini,kwa kutoa lugha za uchochezi na chuki kwa watu.