bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Marekani ndio kimbilio la waafrika wote wenye shida,zaidi ya miaka kumi sasa nashuhudia haipiti wiki airport rundo la wakimbizi wacongoman wanaenda kuchukua maisha marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie kweli mnafurahisha sana... sasa hapo mjinga nan mbona tunashindwa kuwaelewa?Vipi misaada ya kujengewa vyoo ni salama? Vipi Vyandarua? vipi Chanjo? Hii nchi ina raia wajinga hadi aibu,SIkiliza wewe mjinga, Marekani wakitaka kuwauwa wana njia zaidi ya hata million, Kila unacho tumia hapo ni cha kwao, Tutafute elimu, tuachane na elimu za vijiwe vya kahawa
Hata madawa na chanjo mbali mbali tuache kununua huko ulaya, na Marekani, kwani sio salama, tukikataa chakula tukatae na madawa, maana kwenye dawa ni rahisi zaidi kutimiza lengo ovu kama wanalo!Serikali inabidi iamke toka usingizini. Serikali za wenzetu, hasa ya Marekani, wana ajenda isiyo wazi kwetu, nchi za Afrika. Afrika inachukuliwa kama bara la kuvuna malighafi na si vinginevyo.
Marekani kwa muda mrefu sana ina kituo cha kijeshi Congo, na huko ndio lichukua Uranium iliyotengeneza bomu a kwanza la nyuklia. Congo kuna machafuko miaka nenda rudi, lakini Marekani hitaki Congo ipate amani ili iendelee kuvuna madini ghafi. Hapa nchini tunaelekea hukko huko, tuwe macho.
Leo Marekani wanatuletea vyakula, kwa ajili ya watoto, huku tukijua kuwa wana ajenda ya Africa Depopulation.
Vile vile tunasikia kuwa wana programme za kupunguza uzai kwa kiujumla nchi za Afrika.
Hapo ndio namsupport Magufuli, serikali isipuuze hizi habari kuwa policy ya Depopulation kwa nchi za Afrika ni jaribio la kulifanya bara hili kuwa sehemu ya nchi kama Marekani kuvuna tu malighafi.
Wametuletea chakula Dodoma kwa ajili ya watoto, tuwe makini sana. Watatupendaje, hasa watoto, kuliko kuwaondolea adha waKongo? Kuna ka nchi kanaitwa Haiti, si mbali na Marekani.
Watu wana chinjana hapo, lakini kwa vile kunakampuni za marekani zinavuna madini bure kabisa, wayu wanaachwa wachinjane. Hiyo ndo Marekani.
Tanzania ina watu wapumbavu sana, bio genetic poison inaweza kuwekwa kwenye mitumba, madawa, project mbalimbali za kilimo, shughuli za kitafiti, na kwengi tu,hawa jamaa endapo wataamua kutufyeka ni dakika moja tu.Kuna wapuuzi fulani wa dini wametoa ole kwa atakayewapa watoto wao huo mchele kupitia redio yao ya kipuuzi. Hao mazuzu yakiumwa yanatumia dawa kutoka marekani na kuna ndugu zao wa dini wanakimbilia marekani kuishi, halafu wao wanabaki kuambukizana ujinga
Acha porojo ndugu....wewe pesa unazo wanao wanakula na Kumwaga acha na wa wenzio wale washibeSerikali inabidi iamke toka usingizini. Serikali za wenzetu, hasa ya Marekani, wana ajenda isiyo wazi kwetu, nchi za Afrika. Afrika inachukuliwa kama bara la kuvuna malighafi na si vinginevyo.
Marekani kwa muda mrefu sana ina kituo cha kijeshi Congo, na huko ndio lichukua Uranium iliyotengeneza bomu a kwanza la nyuklia. Congo kuna machafuko miaka nenda rudi, lakini Marekani hitaki Congo ipate amani ili iendelee kuvuna madini ghafi. Hapa nchini tunaelekea hukko huko, tuwe macho.
Leo Marekani wanatuletea vyakula, kwa ajili ya watoto, huku tukijua kuwa wana ajenda ya Africa Depopulation.
Vile vile tunasikia kuwa wana programme za kupunguza uzai kwa kiujumla nchi za Afrika.
Hapo ndio namsupport Magufuli, serikali isipuuze hizi habari kuwa policy ya Depopulation kwa nchi za Afrika ni jaribio la kulifanya bara hili kuwa sehemu ya nchi kama Marekani kuvuna tu malighafi.
Wametuletea chakula Dodoma kwa ajili ya watoto, tuwe makini sana. Watatupendaje, hasa watoto, kuliko kuwaondolea adha waKongo? Kuna ka nchi kanaitwa Haiti, si mbali na Marekani.
Watu wana chinjana hapo, lakini kwa vile kunakampuni za marekani zinavuna madini bure kabisa, wayu wanaachwa wachinjane. Hiyo ndo Marekani.
Hata madawa na chanjo mbali mbali tuache kununua huko ulaya, na Marekani, kwani sio salama, tukikataa chakula tukatae na madawa, maana kwenye dawa ni rahisi zaidi kutimiza lengo ovu kama wanalo! Hakuna hata chanjo moja tunanunua bali tunapewa
100%Mwasisi WA vita vya congo ni mobutu kwa ulafi wake
Ujinga + ufukara = kujiangamiza. Fukara siku zote hudhani kuna mtu anamuonea husda. Ndiyo maana ukienda kwa waganga wa kienyeji asilimia kubwa ya wanaokwenda huko ni mafukara.Serikali inabidi iamke toka usingizini. Serikali za wenzetu, hasa ya Marekani, wana ajenda isiyo wazi kwetu, nchi za Afrika. Afrika inachukuliwa kama bara la kuvuna malighafi na si vinginevyo.
Marekani kwa muda mrefu sana ina kituo cha kijeshi Congo, na huko ndio lichukua Uranium iliyotengeneza bomu a kwanza la nyuklia. Congo kuna machafuko miaka nenda rudi, lakini Marekani hitaki Congo ipate amani ili iendelee kuvuna madini ghafi. Hapa nchini tunaelekea hukko huko, tuwe macho.
Leo Marekani wanatuletea vyakula, kwa ajili ya watoto, huku tukijua kuwa wana ajenda ya Africa Depopulation.
Vile vile tunasikia kuwa wana programme za kupunguza uzai kwa kiujumla nchi za Afrika.
Hapo ndio namsupport Magufuli, serikali isipuuze hizi habari kuwa policy ya Depopulation kwa nchi za Afrika ni jaribio la kulifanya bara hili kuwa sehemu ya nchi kama Marekani kuvuna tu malighafi.
Wametuletea chakula Dodoma kwa ajili ya watoto, tuwe makini sana. Watatupendaje, hasa watoto, kuliko kuwaondolea adha waKongo? Kuna ka nchi kanaitwa Haiti, si mbali na Marekani.
Watu wana chinjana hapo, lakini kwa vile kunakampuni za marekani zinavuna madini bure kabisa, wayu wanaachwa wachinjane. Hiyo ndo Marekani.
vifaa tiba, dawa, chanjo, techonolojia yao, magari, wawekezaji na wafanyibiashara kutoka marikani ndio salama right 🐒Serikali inabidi iamke toka usingizini. Serikali za wenzetu, hasa ya Marekani, wana ajenda isiyo wazi kwetu, nchi za Afrika. Afrika inachukuliwa kama bara la kuvuna malighafi na si vinginevyo.
Marekani kwa muda mrefu sana ina kituo cha kijeshi Congo, na huko ndio lichukua Uranium iliyotengeneza bomu a kwanza la nyuklia. Congo kuna machafuko miaka nenda rudi, lakini Marekani hitaki Congo ipate amani ili iendelee kuvuna madini ghafi. Hapa nchini tunaelekea hukko huko, tuwe macho.
Leo Marekani wanatuletea vyakula, kwa ajili ya watoto, huku tukijua kuwa wana ajenda ya Africa Depopulation.
Vile vile tunasikia kuwa wana programme za kupunguza uzai kwa kiujumla nchi za Afrika.
Hapo ndio namsupport Magufuli, serikali isipuuze hizi habari kuwa policy ya Depopulation kwa nchi za Afrika ni jaribio la kulifanya bara hili kuwa sehemu ya nchi kama Marekani kuvuna tu malighafi.
Wametuletea chakula Dodoma kwa ajili ya watoto, tuwe makini sana. Watatupendaje, hasa watoto, kuliko kuwaondolea adha waKongo? Kuna ka nchi kanaitwa Haiti, si mbali na Marekani.
Watu wana chinjana hapo, lakini kwa vile kunakampuni za marekani zinavuna madini bure kabisa, wayu wanaachwa wachinjane. Hiyo ndo Marekani.
Aisee unapajua marekani kweli au umesimuliwa? Marekani hii hii yenye homeless kibaoo ndio binadamu hao wanavyotakiwa kuishi? Kuwadanganye wajinga wenzakoNi chuki dhidi ya Marekani tu. Wakati inachangia bajeti ya serikali ya Tanzania. Nendeni Marekani mkaone jinsi binadamu anavyotakiwa kuishi
Homeless wengi ni mateja na wagonjwa wa akili na ma foreignerAisee unapajua marekani kweli au umesimuliwa? Marekani hii hii yenye homeless kibaoo ndio binadamu hao wanavyotakiwa kuishi? Kuwadanganye wajinga wenzako
Hizo ni chuki zako dhidi ya Marekani tu. Ni Nchi gani duniani ambayo Haina homeless. Wewe huijui Marekani na hujafika ndiyo maana ulichosikia kuhusu Marekani ni homeless. Kule kuanzia miundo mbinu mpaka maisha ya binadamu ndiyo maisha yanayotakiwa kuishi binadamu duniani. Hiyo mitumba unayotumia unajua ni binadamu wa kule ndiyo alianza kuvitumia na baada ya kuvichoka na kuvitupa ndiyo wewe hapo unavitumia Kwa kuringa ukiwa ndani ya Nchi Yako. Aibu kubwa.Aisee unapajua marekani kweli au umesimuliwa? Marekani hii hii yenye homeless kibaoo ndio binadamu hao wanavyotakiwa kuishi? Kuwadanganye wajinga wenzako