Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Aisee hadi mwak 2025 lazima watu wafeee wengi tu .
Kwa stresss
Kwa stresss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ripoti zinaonesha katika kuna idadi ya wakaazi milioni 50 Tanzania wakati ni watu millioni 2.2 ndiyo wanalipa kodi wakati daftari / orodha ya wapiga kura ni zaidi ya milioni 20Tanzania Kuna walipa kodi milioni 2.27 tu wanaolipa kodi kuchangia Fuko la Taifa TRA hii siyo sawa. Mozambique, Kenya 5.5 milioni wanalipa kodi wakati Tanzania kuna idadi kubwa zaidi ya watu kuliko nchi hizo mbili.
How many taxpayers are there in Kenya?
5.5 million taxpayers
From the total population of slightly above 47.6 million Kenyans, KRA reports that about 5.5 million taxpayers filed their returns in 2021. The number of registered taxpayers using iTax marginally grew from 3.6 million in 2019 to 5.5 million in 2021. This number is expected to grow to 8.2 million by 2023.26 Jan 2022
Mozambique's Tax Authority (AT) expects the country to have two million registered taxpayers by the end of this year, up from 1,789,000 in 2011. This represents about 17 per cent of the workforce.
Na mitandao yao iliyokuwa ya wizi mno jana nimeweka bando la week kisha nikazima data nikawa naendelea na kazi kuja kuwasha eti mb zimeisha hasira nizokuwa nazo 😬Umeme maji vocha ardhi nk na bado awajarizika.
Hilo lililopo ni bunge la SerikaliA very painful and tricky plan to the most unfortunate majority! Sasa ni wakati wa kuwatambua wabunge wawakilisha wa wananchi na watetezi wa utawala!
Kwani umesikia VAT imeondolewa popote? Ni ongezeko la kodi mpya inayowahusu wote 18+. Mbona wanataka tuanze kuwaonea wivu waliotangulia mbele ya haki?Mimi nilidhani kila ninapofanya manunuzi huwa nalipa kodi.
Kwa hiyo kwa andiko lako unataka walio chini ya 18 wauziwe bidhaa zisizo na kodi ama?.
Badala ya kupunguza matumizi ya serikali wanawaza kupata kodi tu..."Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi"
"Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi"
"Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"
- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango
#BajetiKuu
mbona kitambo sana uwa tunavilipiaYaani kilichobaki ni kulipa kodi ya vifanyio vyetu tu.
AiseeView attachment 2260876
Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi
Mungu anatupenda sana hawezi kuruhusu haya yaendelee kutuumiza.Aisee hadi mwak 2025 lazima watu wafeee wengi tu .
Kwa stresss
Kwa kuwa Wabunge (wawakilishi) wetu wataenda kujadili huenda wakapingana nalo likasitishwa.Kwani umesikia VAT imeondolewa popote? Ni ongezeko la kodi mpya inayowahusu wote 18+. Mbona wanataka tuanze kuwaonea wivu waliotangulia mbele ya haki?
Haikubaliki jamani! Serikali iwaze mara mbili. Tayari maisha mtaani hayaelezeki bado mtu anakuja na mpango hatarishi kama huu!!? Inauma!!
Kwenye kifanyio cha kike wafungie efd machine hakuna atakayekwepa kodi hii akifikisha miaka 18.Yaani kilichobaki ni kulipa kodi ya vifanyio vyetu tu.