Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi

Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi

Naunga mkono hili.
Kuna watu mijini wanacheza karata asubuhi mpaka manane.Wanakula vipi na kuishi vipi ni kizungumkuti.
Hii ilikuwepo miaka ya 60.Sasa usipotafuta kitu cha kufanya mtu akalime, na alipe kodi.
Watu walilemaa na kufikiri kodi ni za watu fulani tu.
Huyo bado hatalipa Kodi kwan kwake atakuwa na purchases tu bila sales or relatively low sales
 
Naunga mkono hili.
Kuna watu mijini wanacheza karata asubuhi mpaka manane.Wanakula vipi na kuishi vipi ni kizungumkuti.
Hii ilikuwepo miaka ya 60.Sasa usipotafuta kitu cha kufanya mtu akalime, na alipe kodi.
Watu walilemaa na kufikiri kodi ni za watu fulani tu.

Kwa hivyo mtu asiye na kipato anadaiawaje Kodi?. Kodi inamfaa mtu mwenye kipato.
 
"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi"

"Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi"
"Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"

- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango

#BajetiKuu
Naona kodi ya kichwa imerudi
 
K
Matumizi ya serikali ambayo ni hospitali, mashule(sasa elimu bure mpaka form 6), majeshi, polisi nakadhalika.

Hayo mashule walijenga kwa kutumia Nini Hapo kabla?. Kwa hivyo kodi, tozo na mikopo bado haitosh?. Nchi ngumu Sana hii.
 
View attachment 2260876

Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi.

Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi.

Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi.

Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao.
Bunge lililopita Waziri alikuja na tozo kama namna ya kuongeza makato kwa watu kutumiana hela kwa ndugu na jamaa. Huu mkakati haikuwa sawa maana unatoza Kodi kwenye uzalishaji na soon kwenye miamala ya fedha kidogo sana watu wanazotumiana.

Sasa kwenye kumpatia kila mtu TIN kwa kila mwenye NIDA, hapa kuna maswali ya msingi ya kujiuliza na kumuuliza waziri na wachumi wetu.
Uzalishaji umekuwa ili kutoza kodi kwa kila TIN kama ilivyokuwa kodi ya kichwa?

Hoja ya msingi wabunge wamuulize waziri, hawa wenye TIN kwa sasa, ni wangapi ni regular taxpayers kwa mwezi au mwaka?
Maana kuna wengi Tu, wana TIN za leseni, wengine walilazimika kuwa na TIN kama namna ya ku-reflect kodi za mishahara.

Kuna input gani wizara inafanya ili kusisimua na kukuza uzalishaji wa wananchi ili wawe na uwezo wa kulipa kodi pasi hata kulazimishana kila mtu kuwa na TIN.

Kwa biashara zenye TIN, ni wanyapori Wana EFD machine na zinatumika kwenye kila mauzo ya bidhaa na huduma?

Mathalani, tuanze na wakulima wa Masai ya biashara kama (pamba, korosho, kahawa, mikoa, tumbaku, chai, katani, pateto) au wafugaji (wenye mifugo kuanzia 20); ni wangapi wamesajiliwa kwa kuwa na TIN ili kutozwa kodi kwenye mauzo yao kwa msimu?

Kama ambavyo suala la miamala lilizua maswali na takwimu zili-prove kupungua kwa watu kutumiana miamala, hapa napo waziri atujuze kimkakati, anawezaje kupata 'maziwa kutoka kwa ng'ombe' ambae hajala vya kutosha?

Au ndio yale ya kuwa na udahili wa wanafunzi wengi darasa la kwanza, kidato cha kwanza ila wanaomaliza la 7 na kidato cha 4 na kufaulu ni wachache!

Kama kuna namna Bora ya serikali kukuza makusanyo, lazima kusisimua biashara hasa kwa consumables zinazokuwa-imported zianze kuzalishwa ndani.
Bank ya uwekezaji iongezewe mtaji na mizengwe na umangimeza uondoke kwenye processing ya investment financing.

# kazi iendelee.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hili suala sijui wanafeli wapi,
1. Waondoe kodi kwenye manunuzi yanayofanyika direct kutoka kwenye bank/mobile money.
2. Waongeze kodi katika withdraw zote za bank/mobile money
3. Then kila transaction inayofanyika directly kupitia bank/mobile moneybiwe recorded
4. Wenye kufanya manunuzi mengi kupitia bank/mobile money wawe awarded either kupitia new bahati nasibu waliyoianzisha au wapate punguze kwenye some services, mfano mzuri kwa wenzetu walipa kodi wazuri wanapewa urahisi wa kukodi nyumba za serikali sasa kwa huku watafute bonus servise ya kiwapa walipa kodi wazuri
5. Hapo wataongeze base ya walipa kodi na kuongeza makusanyo big time
 
Wanaolipa kodi kwa uhakika nchi hii ni watumishi tu( PAYE)
Wengine ni wakwepaji, wanalipa kiduchu tu
watafute namna ya kukusanya kodi effectively kutoka kwa wafanyabiashara
 
"Miaka 18 na mwenye kipato"

Kipato gani sasa maana umri huo bado ni wanafunzi au kutoka kwenye pocket money za wazaz
 
Safi sana kila raia mtu mzima asiye na tatizo la ulemavu au ugonjwa lazima alipe kodi kufuatana na kipato anachopata .

Ripoti zinaonesha katika kuna idadi ya wakaazi milioni 50 Tanzania wakati ni watu millioni 2.2 ndiyo wanalipa kodi wakati daftari / orodha ya wapiga kura ni zaidi ya milioni 20




Tusome kipengele hiki cha ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS Tanzania) hapa chini :


3.3 Taxpayers and VAT Vendors Registration

The number of registered taxpayers increased by 10.5 percent from 2.0 million in 2014/15 to 2.2 million in 2015/16. The largest growth of registered taxpayers was 55.6 percent in 2012/13 which surpassed the average growth of 23.2 percent in the period of 2006/07 to 2015/16. Table 3.5 shows
the trend of taxpayers registration from 2006/07 to 2015/16.
Source : National Bureau of Statistics | Statistics for Development - takwimu - tax

Utawala wa Jakaya Kikwete uliweza kuongeza usajili wa walipa kodi kwa asilimia 55.6 kipindi cha mwaka 2012 / 2013 lakini juhudi zote za awamu ya tano hali ya kusajili walipa kodi wenye uwezo zimekuwa kiwango cha chini kabisa kufuatana na ripoti za ofisi za takwimu ya Taifa.

Aina za kodi ambazo serikali inaweza kuziangalia ili kuongeza wigo wa mapato kupitia sera sahihi za kiuchumi na vivutio kwa walipa kodi :

Indirect Taxes
These are taxes based on consumption. Categorically they are divided into consumption taxes, other
domestic taxes and international trade taxes. Examples of such taxes are Import Duty, Excise Duty
and Value Added Tax (VAT). By definition, the legal incidence of the tax falls on the trader who
act as a collecting agent of the Government while the effective incidence falls on the final consumer
of goods or service who eventually pays the tax.
Value-Added Tax (VAT)
It is a consumption tax charged on all taxable goods and services at a standard rate of 18 percent. It
is a multi-stage tax levied on the difference between a commodity’s price before taxes and its
production cost at each stage of production and distribution up to the retail stage. It is also levied
on taxable imports made by a person whether or not registered for VAT.
Excise Duty (Local)
It is levied on certain locally manufactured goods and services such as soft drinks, beer, wines,
spirit, mobile phone services, plastic shopping bags, satellite television services, cigarettes and
petroleum products.
Value Added Tax on Imports
It is levied on all goods and services imported into the country unless such goods and services are
specifically exempted under the VAT law. All importers must pay VAT regardless of whether or
not they are registered for VAT. However, importers who are registered for VAT can claim the
VAT paid on the imported goods as an input tax in their business. However, for VAT on imported
services the input tax is treated as reverse charge hence added to the value of the service.
Other Taxes
Skills and Development Levy (SDL)
This tax is based on the total gross emoluments paid by an employer to employees (currently, at a
rate of 6 percent). The gross emoluments include salary, wage, leave pay, payment in lieu of leave,
subsistence allowance, etc.
Stamp Duty
Refers to the duty paid on certain legal instruments/transactions, affidavit, conveyance and lease
agreements. The duty rate is 1 percent based on the consideration applicable to non business
persons when issuing a receipt whenever they sell their privately owned assets/properties. Stamp
duty on conveyance of agricultural land is TZS 500.
Airport Service Charge
Refers to charges levied on passengers who board an aircraft at any airport in Tanzania.
Port Service Charge
Refers to charges levied on passengers who board passenger shipping vessels at any port in Tanzania.
Source : National Bureau of Statistics | Statistics for Development
TAX STATISTICS REPORT 2015/16
TANZANIA MAINLAND
Naomba kufahamu "Service Levy" ikoje na inalipwa na akina.nani?
Je ina manufaa gani kwa mlipaji?
 
Kwa maana nyingine... kodi ya kichwa imerudi. Anyways, nchi ya watu zaidi ya mil 60, kuwa na walipa kodi mil 2.5 sio fair.
 
K

Hayo mashule walijenga kwa kutumia Nini Hapo kabla?. Kwa hivyo kodi, tozo na mikopo bado haitosh?. Nchi ngumu Sana hii.
Kwan wasiwasi wako ni upi?
Manunuzi na maizo au mapato yapo kwenye Tin , ikiwa faida au tofauti yake itazidi au kufikia kiwango cha kulipa Kodi utalipa....mfano ikiwa kwa mwezi hiyo tofauti haiizidi 270,000 hutalipa....maisha bomba
 
Kodi ilikuwa kwa watumishi na wafanyaniashara Tu,sasa hivi tulipe Kodi wote,sio wengine ndio wanajenga hospital, shule, barabara, alafu wengine wanatumia bure kwa Kodi za wenzako.
 
Matumizi ya serikali ambayo ni hospitali, mashule(sasa elimu bure mpaka form 6), majeshi, polisi nakadhalika.
Ikiwa tozo zimeshindwa kuleta unafuu katika hizo sekta, hiyo kodi ya kichwa isiyo na uhakika itaweza?

Wekeni wazi tu kuwa zinatafutwa nauli za mama yenu ambae hajawahi kumaliza hata wiki moja ofsini bula kusafiri tangu aingie madarakani.
 
Kodi ilikuwa kwa watumishi na wafanyaniashara Tu,sasa hivi tulipe Kodi wote,sio wengine ndio wanajenga hospital, shule, barabara, alafu wengine wanatumia bure kwa Kodi za wenzako.
Ukweli ndio huo, wafanyakazi wanatukata mshaara ukiingia tu, LOANS BOARD wengi wangi tu wame kwepa ila mtumishi wa uma makodi yote wana fyeka. Nime gundua watanzania wengi hawapendi kulipa kodi
 
Back
Top Bottom