Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi

Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi

Inamaana tozo za miamala ya simu, vat ya kwenye vifurushi, tozo/kodi za kwenye bidhaa bado hazitoshi?
Kweli hii serikali imedhamiria kukusanya mapato toka kwa wanachi wanyonge!
 
Na mitandao yao iliyokuwa ya wizi mno jana nimeweka bando la week kisha nikazima data nikawa naendelea na kazi kuja kuwasha eti mb zimeisha hasira nizokuwa nazo 😬
Hii imenikuta Leo nikafatilia may be simu ina jiupdate nimekuta Google photos simu inafanya backup yaan 1gb imeisha ndani ya saa moja na nilikua nimelala jaribu kwenda Google photos may be simu yako inajibackup na kuhamisha picha zako Google photos
 

Attachments

  • IMG_20220614_203802.jpg
    IMG_20220614_203802.jpg
    74.2 KB · Views: 4
View attachment 2260876

Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi.

Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi.

Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi.

Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao.

Watu walipe kodi hii iko sawa kabisa, hii nchi kuna wahuni wanaishi kwa raha hawalipi kodi wala chochote wao wapo tena wengine ni watu wazito mishahara mikubwa
 
Nafikiri wanajaribu kutafuta namna ya kuongeza budget kwaajili ya safari za mama yenu, kutembea mwaka mzima bila kumaliza hata wiki moja ikulu si kitu easy.
 
View attachment 2260876

Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi.

Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi
Naunga mkono hili.
Kuna watu mijini wanacheza karata asubuhi mpaka manane.Wanakula vipi na kuishi vipi ni kizungumkuti.

Hii ilikuwepo miaka ya 60.Sasa usipotafuta kitu cha kufanya mtu akalime, na alipe kodi.

Watu walilemaa na kufikiri kodi ni za watu fulani tu.
 
Hiyo Kodi ni ngumu Sana kukufanya.
Moja ya Kanuni za Kodi ni kwamba Kodi isiwe ngumu kukusanya.
Watatumia resources nyingi kukusanya pesa kiduchu.
Serikali haishindwi kitu.
Hamjui kuwa Uingereza hadi leo kuna kodi ya TV.
 
Naunga mkono hili.
Kuna watu mijini wanacheza karata asubuhi mpaka manane.Wanakula vipi na kuishi vipi ni kizungumkuti.
Hii ilikuwepo miaka ya 60.Sasa usipotafuta kitu cha kufanya mtu akalime, na alipe kodi.
Watu walilemaa na kufikiri kodi ni za watu fulani tu.
Halafu hizo kodi zinaenda wapi?
 
View attachment 2260876

Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi.

Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi...

Watanzania wamekosa Nini? Yani tozo na Kodi juu?. I'll Nina amini Kama upinzani ungekuwepo bungeni your yasingetokea.
 
Safi sana kila raia mtu mzima asiye na tatizo la ulemavu au ugonjwa lazima alipe kodi kufuatana na kipato anachopata .

Ripoti zinaonesha katika kuna idadi ya wakaazi milioni 50 Tanzania wakati ni watu millioni 2.2 ndiyo wanalipa kodi wakati daftari / orodha ya wapiga kura ni zaidi ya milioni 20




Tusome kipengele hiki cha ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS Tanzania) hapa chini :


3.3 Taxpayers and VAT Vendors Registration

The number of registered taxpayers increased by 10.5 percent from 2.0 million in 2014/15 to 2.2 million in 2015/16. The largest growth of registered taxpayers was 55.6 percent in 2012/13 which surpassed the average growth of 23.2 percent in the period of 2006/07 to 2015/16. Table 3.5 shows
the trend of taxpayers registration from 2006/07 to 2015/16.
Source : National Bureau of Statistics | Statistics for Development - takwimu - tax

Utawala wa Jakaya Kikwete uliweza kuongeza usajili wa walipa kodi kwa asilimia 55.6 kipindi cha mwaka 2012 / 2013 lakini juhudi zote za awamu ya tano hali ya kusajili walipa kodi wenye uwezo zimekuwa kiwango cha chini kabisa kufuatana na ripoti za ofisi za takwimu ya Taifa.

Aina za kodi ambazo serikali inaweza kuziangalia ili kuongeza wigo wa mapato kupitia sera sahihi za kiuchumi na vivutio kwa walipa kodi :

Indirect Taxes
These are taxes based on consumption. Categorically they are divided into consumption taxes, other
domestic taxes and international trade taxes. Examples of such taxes are Import Duty, Excise Duty
and Value Added Tax (VAT). By definition, the legal incidence of the tax falls on the trader who
act as a collecting agent of the Government while the effective incidence falls on the final consumer
of goods or service who eventually pays the tax.
Value-Added Tax (VAT)
It is a consumption tax charged on all taxable goods and services at a standard rate of 18 percent. It
is a multi-stage tax levied on the difference between a commodity’s price before taxes and its
production cost at each stage of production and distribution up to the retail stage. It is also levied
on taxable imports made by a person whether or not registered for VAT.
Excise Duty (Local)
It is levied on certain locally manufactured goods and services such as soft drinks, beer, wines,
spirit, mobile phone services, plastic shopping bags, satellite television services, cigarettes and
petroleum products.
Value Added Tax on Imports
It is levied on all goods and services imported into the country unless such goods and services are
specifically exempted under the VAT law. All importers must pay VAT regardless of whether or
not they are registered for VAT. However, importers who are registered for VAT can claim the
VAT paid on the imported goods as an input tax in their business. However, for VAT on imported
services the input tax is treated as reverse charge hence added to the value of the service.
Other Taxes
Skills and Development Levy (SDL)
This tax is based on the total gross emoluments paid by an employer to employees (currently, at a
rate of 6 percent). The gross emoluments include salary, wage, leave pay, payment in lieu of leave,
subsistence allowance, etc.
Stamp Duty
Refers to the duty paid on certain legal instruments/transactions, affidavit, conveyance and lease
agreements. The duty rate is 1 percent based on the consideration applicable to non business
persons when issuing a receipt whenever they sell their privately owned assets/properties. Stamp
duty on conveyance of agricultural land is TZS 500.
Airport Service Charge
Refers to charges levied on passengers who board an aircraft at any airport in Tanzania.
Port Service Charge
Refers to charges levied on passengers who board passenger shipping vessels at any port in Tanzania.
Source : National Bureau of Statistics | Statistics for Development
TAX STATISTICS REPORT 2015/16
TANZANIA MAINLAND

Tozo Ni zaidi ya Kodi.
 
No rahisi mno kwani purchases na sales zinaingia kwenye Tin yako mojakwa moja kwa hiyo huna haja ya hesabu kiivyo.
No njia rahisi sana kuliko ya sasa
1. Fikiria kila ukinunua na kuuza muamala unakuwa directly reflected kwenye Tin
Njia kubwa inayotumika kukwepa Kodi ni kutokutoa risiti and at the same time cancellation of purchases....kwa njia hii huwezi kuficha purchases ...utakuwana accumulated stock above and over ikiwa hutatoa sales receipts
 
"Kuongoza kenya nisawa na kuongoza wagonjwa mahututi ila kuongoza Tanzania nisawa na kuongoza maiti" Jomo kinyatta.

Tena Tanzania sio maiti ni mizoga. Labda kizazi Cha miaka hamsini ijayo ndio kitaleta mabadiliko.
 
Back
Top Bottom