Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Yaonekana ni makubwa
Ndiyo maana imeyamewawia vigumu mno kwao kuwaelimisha watanzania.
....kwani maslahi yote makubwa ya "integrity" ya nchi wananchi wanaambiwa ?!!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Kamwe usijipe uhakika na utulivu chini ya jua, tatizo mmejiamin to the fullest lkn wakati utafika tu!!
Alaaaaa kumbeee....

Mbona ninyi mnajipa uhakika wa sababu za kupinga uwekezaji wa DP WORLD?!!!

Ni kweli wakati utafika....hakuna atakayeishi milele....

#Sisi Na DP WORLD [emoji120]
 
Hawezi kuja kutokea rais kichaa kama yule marehemu ambaye amesababisha hivi sasa serikali inalipishwa mabilioni ya hela kwa ujinga wake.
Tunalipia upumbavu uliosainiwa na marais wajinga waliotangulia,

Ndio maana nikasema akija Rais mwingine mwenye akili atakuwa tayari kulipa mabilioni ili kuondokana na upumbavu wa namna hii!
 
Ni wakati sasa ccm/tanu itoke na kuiachia nchi. Nadhani Tz ndio nchi pekee iliyobakia na chama kiasisi kuwepo madarakani.

Hivi vyama ni vya hovyo tu havina lolote.
 
Ni wakati sasa ccm/tanu itoke na kuiachia nchi. Nadhani Tz ndio nchi pekee iliyobakia na chama kiasisi kuwepo madarakani.

Hivi vyama ni vya hovyo tu havina lolote.
Tutoke kwanini ?!!!

Wazee wetu walifanya "matambiko" kule Bagamoyo....ni matambiko mazito haswa...unataka tupate "hiliki" kama taifa ?!!![emoji1787][emoji1787]

CCM daima dumu [emoji120][emoji120]
 
Tunalipia upumbavu uliosainiwa na marais wajinga waliotangulia,

Ndio maana nikasema akija Rais mwingine mwenye akili atakuwa tayari kulipa mabilioni ili kuondokana na upumbavu wa namna hii!
Sasa kama meli ya samaki ilyokamatwa na magufuli bahari kuu akiwa waziri wa mifugo na uvuvi na ile kesi tukaja kulipishwa mabilioni akiwa magufuli ndio rais utasema tuna mtu hapo au kichaa?
 
Sasa kama meli ya samaki ilyokamatwa na magufuli bahari kuu akiwa waziri wa mifugo na uvuvi na ile kesi tukaja kulipishwa mabilioni akiwa magufuli ndio rais utasema tuna mtu hapo au kichaa?
Subiri tupate rais mwingine mwenye akili atutoe kwenye huu utaahira wa kimangungo
 
Kwani Serikali ni Msigwa au Rais? Serikali inawekwa na wananchi. Msigwa anasema haya ni "Makubaliano" Mahakama inasema ni "Mkataba". Huu ni mkataba wa kibiashara. Wananchi kuelezwa kila hatua itakayofuata siyo suluhu; la muhimu ni kama uhuru wa wananchi na faida kwa Tanzania ni kubwa kuliko ambavyo ingepatikana vinginevyo. Hiyo ndiyo kamali au bet iliyopo mezani. Mwishoni wananchi ndiyo wanaosema, siyo msemaji wa Serikali wala serikali; mradi kura kwenye chaguzi zijazo zisiibiwe.

“Mradi kula kwenye uchaguzi ujao zisiibiwe”


Hapo juu ni Ombi au ndoto?
 
Ni jambo jema iwapo serikali imeona kuna tija na faida nalo ijapokuwa kuna vipengele vya mkataba vina utata.

Ila ni vema zikaondolewa kinga za viongozi kushtakiwa ili wawe na uhakika na mikataba wanayoingia.

Ikibainika kuna magumashi basi viongozi husika wapelekwe mahakamani kusomewa mashtaka na ikibainika walitupiga changa la macho wafilisiwe na watumikie adhabu kali.

Katiba mpya ianze na hilo jambo. Pia mahakama na bunge viwe vyombo huru na vyenye nguvu sio kuwa puppet (chawa) wa serikali.

“Kuna vipengele vya mkataba vyenye utata” - Naona Serikali kwa kutumia mamlaka iliyonayo imeamua kusonga mbele bila kuvitolea majibu ya moja kwa moja. Labda watajibu mbeleni?


“Vema ziondolewe kinga za viongozi kushitakiwa” - nani aziondoe? Rais? Bunge? Mahakama? Unayo taarifa kwamba mwanamke anaweza kujizalisha lakini hawezi kujipa Mimba? Tena kwa makusudi?


“Ikibainika kuna magumashi viongozi husika wapelekwe mahakamani” - Judge anateuliwa na nani?


Ikibainika walitupiga changa la macho wafilisiwe na washitakiwe “ - Historia ya nchi yako kwa viongozi wa serikali waliowahi kupelekwa mahakamani na kushtakiwa ni wangapi? Walipata adhabu gani? Wangapi walifilisiwa?


“Katiba ianze na hilo jambo” - Jambo lipi? Wewe unaweza kujinyang’anya tonge mdomoni?


“Mahakama na Bunge viwe vyombo huru na sio kuwa chawa wa Serikali” - Wakikuuliza wakale wapi utawajibu nini?



Hoja yako ina mantiki kubwa sana lakini ni binaadam 1 katika milioni mwenye uthubutu wa kuifuata.

Human is an hypocrite in the face of Power.


Tumuamini Rais, atatuvusha salama.
 
Mama anajipa wakati magumu sana hasa kama ataendelea mpaka 2030. Inawezekana akachukiwa sana na wananchi. Hasira za wananchi soon wataanza kujionyesha.
Sasa akichukiwa si ndio itakuwa furaha yenuuuu??? Yanii raisi na serikali waache kutekeleza mambo ya kuinua uchumi wa taifa eti kisa kuna kakikundi hakatakiii?? Ulisikia wapiii??
 
Huyu mtu ni very stupid. Mikataba hiyo inakuwa governed na IGA, haiwezi kukiuka kipengele cha " mpaka shughuli zitakapoisha". Shughuli za bandari znaisha line? Nawashauri Dubai wasije maana hata jeshi litawageuka. hakuna atakayekubali kuuza bandari zetu...

Na CIC wa hilo Jeshi ni Madam President Samia.
 
Haya majitu kama mkataba utakuwa na matatizo huko mbele I kama ilivyo kwenye madini na gas itabidi washtakiwe na wapewe adhabu kali.

Tukumbushe, kwenye Gas wameshtakiwa wangapi na kwa makosa Yapi?



Angalau kwenye madini walijaribu kurekebisha baadhi ya makosa japo bado tunapigwa.
 
Back
Top Bottom