Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Kichaa ni wewe ambaye hata kuandika kiufasaha huwezi..."mazambi" [emoji1787][emoji1787]

Sasa unawezaje kuwa na akili ya LOGIC katika muktadha wa tafakuri jadidi ?!!!

Wewe punguani , TANGANYIKA ilifutwa na hayati Nyerere kwa sababu ya maslahi mapana ambayo kichwa chako hakiwezi kuyaelewa......

Siempre JMT[emoji120]
Usitafute vikosa vidogo vya kiuandishi kuhalalisha mkataba wa hovyo kuliko mikataba ya hovyo kuwahi kutokea Tanganyika.Mkataba hauna ukomo,unampa mwekezaji uhuru kuliko nchi(akija mwekezaji mwngine ajulishwe)na haielezi tutapata kiasi gani?Ni kichaa pekee anayeweza kukubali takataka ya namna hiyo
 
TEC wapiga punyeto wameabika
Mkuu wangu matusi kwa chombo chenye kuheshimika si jambo jema....pamoja na tofauti zetu za kuwapinga TEC katika hili ila thamani yao ni kubwa....mnooo mkuu wangu....sorry for any inconveniences [emoji120]
 
Usitafute vikosa vidogo vya kiuandishi kuhalalisha mkataba wa hovyo kuliko mikataba ya hovyo kuwahi kutokea Tanganyika.Mkataba hauna ukomo,unampa mwekezaji uhuru kuliko nchi(akija mwekezaji mwngine ajulishwe)na haielezi tutapata kiasi gani?Ni kichaa pekee anayeweza kukubali takataka ya namna hiyo
Una final draft ya mkataba ?!!

Wapi umeelezwa mambo yote yamemalizwa ?!!!

Unazidi kujitia hamnazo ?!![emoji1787]
TANGANYIKA imeshaoza huko kaburini....
 
Msigwa anakwambia wasomi na wanasheria wanaoupinga mkataba wana usomi wa ajabu., mi naona ilitakiwa waweke debate ya serikali na wanasheria walioko nje ya Serikali ili tujue pumba na mchele.
Komredi Msigwa yuko sahihi [emoji120]
 
Hizo kelele ni zipi?
Au za wadandia hoja?
kamuulize bi spika yaliyomkuta pale kanisani kwake - hakuamini nini afanye je akusanye vitabu vyake asepe ama aagize maaskari wa Bunge wawarukie wale makatekista wanausoma huo waraka na kuusambaza kwa kila mwana jumuia.
 
Msijali watz!

Atakuja rais mwingine mwenye akili atatunasua kwenye hili tego hata kama tutalipa fidia ya mabilioni itakuwa bora zaidi kuliko kuendelea kuukumbatia huu uharo!
Hawezi kuja kutokea rais kichaa kama yule marehemu ambaye amesababisha hivi sasa serikali inalipishwa mabilioni ya hela kwa ujinga wake.
 
Hawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?

Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga wa mwaka.
Kama mlikua mnapiga makelele ili kuwatisha wawekezaji imekula kwenu.
 
Hakuna mwenye muda wa debate, mahakama ilishamaliza kila kitu kwa kutoa hukumu ya kurasa zaidi ya tisini.
Kama mahakama yenyewe ilikili kuwa mkataba unamapungufu, Msigwa ni nani aseme mkataba hauna dosari. Only beneficiaries never seen.
 
Back
Top Bottom