Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mifumo watakayoiweka hutosikia ujinga uliozidi waufanyao baadhi ya watumishi wa TRA.....Kwa hiyo DPW watafanya kazi ya TRA?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo watakayoiweka hutosikia ujinga uliozidi waufanyao baadhi ya watumishi wa TRA.....Kwa hiyo DPW watafanya kazi ya TRA?!
Mbona unajipinga taarifa yako?. Kusema kuzingatia maoni ya wadau ana maana gani?. Tatizo unakimbia kimvuli chako.Mumepuuzwa 🤣🤣🤣 Serikali haifanyii kazi matamko ya vikundi vya Dini na wapotoshaji
Kichaa ni wewe ambaye hata kuandika kiufasaha huwezi..."mazambi" [emoji1787][emoji1787]Uuzwaji wa bandari za Tanganyika uendane na mabadiliko ya sheria kuruhusu kushitakiwa kwa rais ili awajibike kwa mazambi anayoyafanya ambayo ni kichaa na punguani pekee anayeweza kufanya hivyo.
Kabisa mkuuNadhani hilo hawalijui. Viongozi wengi hapo ndio wanapoangamia.
Aisee Yani Malaya kakubali kujiuza, halafu unamcheka aliyeshauri Malaya asijiuze. Very stupid.wazee wa waraka mpooo?
Shida ni wengine uzipokea kama zilivyoUnaongea nini ?!!
Hivi hizo dini zenu za Kutoka nje zimekuja kutufanya tusithaminiane utu na UBINADAMU ?!!
Aliyekufundisha hayo mwambie kumlllmaammmyeeekeee!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda Yafanyike maandamano ya uzazi, kila anayezaa amwite mtoto "bandari" jina la nyumbani DP WORLD.
Afadhali umeongea...Mwananchi unaruhusiwa kutoa maoni yako lakini sio kila unachoongea kifuatwe Serikali inachoangalia maslahi ya taifa kwanza mambo ya kutuletea siasa uchwara za akina mdude hatuwezi kufika popote hata ule waraka wa TEC ni maoni tu si lazima yafuatwe Serikali haiendeshwi kidini ila inapokea maoni kutoka kwa viongozi wa dini.
Wameshatimiza wajibu waoWapinzani na TEC mtakuja na move ipi baada ya Serikali kukataa kufuta mkataba na DP World?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huko duniani Uchumi unasimamiwa na Dini
In God We Trust
Wewe shida yako waraka?. Wale wametoa msimamo wao kwamba tuliupinga huo mkataba uchwara. Ili vizazi viwatoe kwenye orodha ya vibaraka.Kwa hiyo waraka ni makaratasi kama Yale mengine au? 🤣🤣🤣🤣🤣
Tofautisha maslahi ya taifa na maslahi ya serikali. DP World ni maslahi ya serikali Kama vile inavyokopa Sana kwa maslahi yake.Bora serikali imeamua kusimamia masilahi ya taifa. Hizi kelele za wanufaika wa mfumo mbovu wa bandari zimeturudisha nyuma miaka nenda miaka rudi.
Wanaonufaika na upitishaji wa mizigo yao bila kulipa kodi wala ushuru pale bandarini watafute kazi zingine za kufanya.
Hawana lolote....Wewe shida yako waraka?. Wale wametoa msimamo wao kwamba tuliupinga huo mkataba uchwara. Ili vizazi viwatoe kwenye orodha ya vibaraka.
Sasa maslahi ya taifa yanasimamiwa na wewe Anzuruni muuza komoni ?!!![emoji15][emoji1787]Tofautisha maslahi ya taifa na maslahi ya serikali. DP World ni maslahi ya serikali Kama vile inavyokopa Sana kwa maslahi yake.
Shida hapa ni upeo wa uelewa (elimu). Kuna watu wanazungumzia hoja (mkataba), na kuna watu wanawazungumzia watoa hoja (waraka wa TEC). Tatizo linakuwa kubwa pale ambapo mtu haoni kama kuna tatizoKwa hiyo waraka ni makaratasi kama Yale mengine au? 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyote ninyi....Shida ni wengine uzipokea kama zilivyo
Neno la dhihaha umellichagua na kulitoa kinywani mwako sasa sisi ni nani tuushike ulimi wako ?!!!Aisee Yani Malaya kakubali kujiuza, halafu unamcheka aliyeshauri Malaya asijiuze. Very stupid.
Hatimaye umesalimu amri....chaliii [emoji1787][emoji1787]Kabisa mkuu
Si "kimvuli" bwasheee [emoji1787][emoji1787]Mbona unajipinga taarifa yako?. Kusema kuzingatia maoni ya wadau ana maana gani?. Tatizo unakimbia kimvuli chako.
[emoji1787]Sawa, nimechomowa yote.