Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Msijali watz!

Atakuja rais mwingine mwenye akili atatunasua kwenye hili tego hata kama tutalipa fidia ya mabilioni itakuwa bora zaidi kuliko kuendelea kuukumbatia huu uharo!
Wewe utapita...

Mimi nitapita...

Tanzania ipo milele....

TEC si wenye hatimiliki ya taifa hili....
 
Ujumbe umefika vzr tu, pia watanzania wa leo wameelimika na uelewa mpana kbs so endeleeni kufanya mamb mtakavyo ila payback itakua mbaya san!! Kikubwa uzima tu.
...kauli ya kujifariji hiyo...hama payback wala baba yake....

CASE CLOSED[emoji123]
 
kama mpango huu hauna RUSHWA basi Mola akawabariki sana.
ILA kama mpango huu umejaa RUSHWA na mmeuza raslimali zetu kwa maslahi yenu na watoto wenu, laana na upanga wa MOTO wa Mwenyezi Mungu ukawe juu yenu na watpto wenu,
Laana hiyo haipo...

Upanga huo wa moto haupo...

Mungu hayuko mifukoni mwenu....

Babu zangu kina Utende ,Milazo walikuwa ni wapagani na Mungu aliwatia nguvu kupigana dhidi ya uonevu wa mjerumani mwaka 1905 na kusimika harakati za uhuru wa nchi....

Tutolee "usengereeema" wako hapa
 
Wanaukumbi.

Kila hatua na kadri majadiliano yatakavyokuwa yanaendelea ikiwemo kuafikiana au kukubaliana pande zote kati ya Serikali ya Tanzania na mwekezaji kwenye uendelezaji wa bandari ya Dar es Salaam , umma wa Watanzania tumehakikishiwa kuwa utajulishwa.

Hayo yamesemwa Agosti 26, 2023 na Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Gerson Msigwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa hadi sasa hakuna mkataba wowote wa utekelezaji kuhusu uendeshaji na uendelezaji wa bandari ambao umeshasainiwa.

Msigwa amesema, baada ya hatua ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai hatua itakayofuata ni mikataba ya utekelezaji.

Kuhusu mikataba hiyo ya utekelezaji, Msigwa amesema

"Baada ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kinachofuata sasa ni mikataba ya utekelezaji, katika mikataba hiyo ya utekelezaji ndio itasema sasa miradi itakuwa ni ya muda gani"

Msigwa ameendelea kwa kusema kuwa, hatua itakayofuata ni uandaaji wa nyaraka na katika hatua hii ndipo miradi ya utekelezaji itaandaliwa huku akiendelea kusisitiza kuwa hakuna bandari iliyouzwa.
#Hakuna mwenye Misuli ya kuligawa na kuliuza taifa hili[emoji120][emoji7][emoji2956][emoji2956]
 
Hawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?

Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga kwa mwaka.
Unatuletea stori za vibanda vya urithi na uwekezaji wa trilioni 26?!!

Zimo kweli humo juu kwako ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Watazingatia maoni gani wakati IGA imeshapitishwa na bunge bila kusikiliza maoni ya wadau?

Msigwa anaeopoka ujinga tu.
Umeshindwa vita wewe....

Msigwa yuko sahihi...

Sisi hatuongelei maslahi vikundi vya BAKWATA na TEC....
 
Babako angetumia condom angetuepusha na hii dhahama!
 
Huyu mtu ni very stupid. Mikataba hiyo inakuwa governed na IGA, haiwezi kukiuka kipengele cha " mpaka shughuli zitakapoisha". Shughuli za bandari znaisha line? Nawashauri Dubai wasije maana hata jeshi litawageuka. hakuna atakayekubali kuuza bandari zetu...
Hilo Jeshi unaliamuru wewe hapo kibandani kwako ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Unatuletea "conspiracy theories" hapa...

Msigwa yu sahihi...

Nchi ni yetu sote si ya BAKWATA wala TEC......
 
Msigwa anaongea uongo, ile IGA inamruhusu mwarabu kuanza kazi tangu siku iliposainiwa, October 2022.

Kama mwarabu yupo huru kuanza kazi tangu wakati huo, maana yake anatembea na makubaliano ya kwenye IGA ambayo haijaweka ukomo wa utekelezaji wa shughuli za uwekezaji.

Hawa wajinga baada ya kuona wamekosa majibu kuhusu IGA, sasa wameona watupeleke kwenye HGA kuficha utupu wao, kwasababu wanajua hizo HGA watazificha tusizione.
Unajichosha bure...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
tatizo ni Uislamu, haufundishi partriotism ndiyo maana hakuna nchi ya Kiislamu unayopenda kwenda kuishi ambayo inafwata Uislamu, shida iko hapo Waislamu hawaamin katika Nation idea wanaamini ummah, sasa ummah siyo nation, ndiyo kila mtu achota ummah.

Dawa pekee na suluhisho la kudumu Tanzania ni partition kama India na Pakistani, leo hii India is a flourishing democracy wakati Pakistani ni shithole ummah …
Wewe ni muasi...

Wewe ni msaliti wa binadamu wenzangu wanaoamini tofauti na unachoamini....

Bandari na UISLAM wapi na wapi ?!!

Ulichosema ndio patriotism ?!!!

Hivi "patriotism" inahubiri imani za dini ?!!!

Ninyi wafia dini ni hatari zaidi ya alivyo shetani....

Kumlllllmaaaymmmyeeeko[emoji106]
 
...kauli ya kujifariji hiyo...hama payback wala baba yake....

CASE CLOSED[emoji123]
Hatutaki kusikia KENGE yoyote anatuandikia kitabu cha majuto na kuelezea mikasa yake jinsi wahuni walivyomuingiza MKENGE

You should have listened, now you must pay the consequences
 
Back
Top Bottom