SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Niyao huna la kusema ungeshasema au kubadili kitu"Makelele" hehe ninyi wangese mnaona nchi kama ya kwenu..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niyao huna la kusema ungeshasema au kubadili kitu"Makelele" hehe ninyi wangese mnaona nchi kama ya kwenu..?
Whether upotoshaji au ukweli... People don't want it.Achukiwe Kwa sababu ya upotoshaji au?
Sio woteWhether upotoshaji au ukweli... People don't want it.
Off course hakuna mtu anayeweza kuchukiwa na watu wengi.Sio wote
Nadhani hilo hawalijui. Viongozi wengi hapo ndio wanapoangamia.Ulitaka wafanyaje? ujumbe umefika na mwisho wa siku katiba itabadilika kila mtu atashitakiwa
Hizo kelele ni zipi?Hawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?
Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga kwa mwaka.
Huyu mtu ni very stupid. Mikataba hiyo inakuwa governed na IGA, haiwezi kukiuka kipengele cha " mpaka shughuli zitakapoisha". Shughuli za bandari znaisha line? Nawashauri Dubai wasije maana hata jeshi litawageuka. hakuna atakayekubali kuuza bandari zetu..."Baada ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kinachofuata sasa ni mikataba ya utekelezaji, katika mikataba hiyo ya utekelezaji ndio itasema sasa miradi itakuwa ni ya muda gani"
Mbona tunaambiwa Dubai si serikali mara ni nchi muda mwingine tunaambiwa si nchi ni kampuni ukweli ni upi"Baada ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kinachofuata sasa ni mikataba ya utekelezaji, katika mikataba hiyo ya utekelezaji ndio itasema sasa miradi itakuwa ni ya muda gani"
Kipengele Cha kutowepo kwa ukomo, kipengele Cha urithi wa mkataba kimeleta hayo mawazo ya kuuzwa.....hakuna bandari iliyouzwa...
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]