Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Huwezi mtenganisha Muislamu na uislam.
Thus hata kama ni ajira,au upendeleo wowote ataanza na Muislamu mwenzake kabla ya factors zingine mfano professionality, experience,nk
Unaongea nini ?!!

Hivi hizo dini zenu za Kutoka nje zimekuja kutufanya tusithaminiane utu na UBINADAMU ?!!

Aliyekufundisha hayo mwambie kumlllmaammmyeeekeee!
 
Hayo ni mawazo ya upinzani,hayana budi kuwepo,siyo Kila kitu kinachofanywa na serikali kitaungwa mkono na wote,raisi wetu mama Samia hakika anaupiga mwingi,ametengeneza filamu ya the royal tour imetuingizia watalii hapa nchini wengi kama nzige,sasa ameingia mkataba wa undeshaji wa bandari na kampuni nguli duniani katika uendeshaji wa bandari,bandari yetu inaenda kuwa moja ya bandari yenye huduma bora Africa nzima,huku ikiingizia nchi Pato kubwa,wasiompenda raisi wetu Samia 'wameliteka' Hilo jambo nakuanza kuwaaminisha watanzania wa kawaida kwamba eti bandari inauzwa,hiyo yote ni wivu tu kwamba raisi Samia asije kupata sifa kubwa kutokana na mafanikio yanayoenda kupatikana kwenye bandari.
[emoji106][emoji2956][emoji7][emoji120][emoji123]
 
Shangaa na wewe !! Sisi wananchi ni wa kutoa maoni tu sio wa kutoa maamuzi !!
Hata huko Amerika wana msemo wao eti kwamba Government of the people by the people for the people !! Lakini bado wenye kutoa maamuzi ni wale waliopewa nafasi za kufanya hivyo !!

Swali muhimu hapa je tunawapataje watu waadilifu wa kuwapa hizo nafasi ya kufanya maamuzi kwa niaba yetu ???!!
Na tukishawapata tunafanya fanyaje kuhakikisha wanazipata zile nafasi tunazotaka watu hao waadilifu wazipate bila kudhulumiwa !!

Uchaguzi huru na wa Haki ! Je ni kwa namna gani tunaweza kufanya uchaguzi ukawa ni Huru na wa Haki ??!!

Tafakari !
Uchaguzi huru na wa haki ni uwepo wa amani na utulivu baada ya zoezi la kupiga kura.....kinyume na hayo ni "illusions" tu za waliberali.....
 
TEC wapiga punyeto wameabika
Umenikumbusha mafunzoni unaambiwa

'shikeni silaha vizuri kazeni mikono hio nyie wapiga punyeto hio mikono legelege mnapiga punyeto tu kaza mikono hio'
 
Acha ujinga wewe mwanaume mzima unajisifia kuliwa kiboga na mwarabu! Wazazi wako wamekula hasara kubwa! Mwana siyo riziki na ndiyo kisa cha kuitwa Ritz!
TICTS wametula "viboga" na kutufikishia trilioni 7 nao ni ubia wa akina Karamagi na waHongKong... mwarabu anakuja kula "viboga vyetu" na kutupa trilioni 26....huoni ni faida hiyo ya kutoa "viboga vyetu"....

Kalia utajiri tu....wenzako tunautumia kmmmmyeeeeekkkkkoooo!!!
 
Sheria ya manunuzi ya umma ifuatwe, iitishwe zabuni ya wazi ili makampuni mbalimbali yaombe.......hiyo IGA ni utapeli wa mchana kweupe, na kwa sababu mmeshalamba asali na mkaahidiwa mgao wa hisa kwenye uwekezaji wa milele mnatufanya sisi hatuna akili.
Nyumisi utakuwepo katika maandamano ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maandamano yameishia wapi?
Shida yenu mnakimbilia kutoa habari nusu bila kuimaliza. Msigwa kasema serikali itaendelea na uwekezaji wa bandari baada ya kuzingatia maoni ya wadau. Wewe unakimbilia kuishambulia CHADEMA.
 
Back
Top Bottom