FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
sasa unaanza kuchafuwa hali ya hewa, kwani huwezi kujadiliana kiheshima?Mkataba Fake upi MBONI km unapiga kidole alafu anakinusa?
Hizo shule mnaenda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa unaanza kuchafuwa hali ya hewa, kwani huwezi kujadiliana kiheshima?Mkataba Fake upi MBONI km unapiga kidole alafu anakinusa?
Malaya tena?Aisee Yani Malaya kakubali kujiuza, halafu unamcheka aliyeshauri Malaya asijiuze. Very stupid.
Umeuliza swali au umejibu swali?sasa unaanza kuchafuwa hali ya hewa, kwani huwezi kujadiliana kiheshima?
Hizo shule mnaenda kusomea ujinga?
Mpaka wakutoe utumbo ndiyo utashika adabu!TICTS wametula "viboga" na kutufikishia trilioni 7 nao ni ubia wa akina Karamagi na waHongKong... mwarabu anakuja kula "viboga vyetu" na kutupa trilioni 26....huoni ni faida hiyo ya kutoa "viboga vyetu"....
Kalia utajiri tu....wenzako tunautumia kmmmmyeeeeekkkkkoooo!!!
Kwani Spika ni RC?kamuulize bi spika yaliyomkuta pale kanisani kwake - hakuamini nini afanye je akusanye vitabu vyake asepe ama aagize maaskari wa Bunge wawarukie wale makatekista wanausoma huo waraka na kuusambaza kwa kila mwana jumuia.
Shida yetu na nani. Mimi nazungumzia kwa uelewa wangu. Sasa kama wewe kuna watu wanafikiri kwa niaba yako then hatuwezi kuelewana.Kwahiyo kumbe shida yenu haikuwa mkataba urekebishwe bali ni hamtaki kabisa DP WORLD iwekeze bandarini? Watanzania mna tatizo la akili kichwani.
Kuna masilahi makubwa mno Kwa Taifa.Serikali ya mama Samia imeapa kuwa katu haitarudi nyuma kuhusiana na mradi huu.
View attachment 2731335
Ama kwa hakika yawezekanq kuna maslahi makubwa mno kuuhusu, ambayo wananchi hatuyajui.
Kulikoni ukomavu huu?
Kuna masilahi makubwa mno Kwa Taifa.
Kamwe usijipe uhakika na utulivu chini ya jua, tatizo mmejiamin to the fullest lkn wakati utafika tu!!...kauli ya kujifariji hiyo...hama payback wala baba yake....
CASE CLOSED[emoji123]
Kwahiyo wewe uelewa wako siyo mkataba una kasoro bali hutaki DP-WORLD waendeshe bandari. Basi endelea na hup uelewa wako serikali inachanja mbuga.Shida yetu na nani. Mimi nazungumzia kwa uelewa wangu. Sasa kama wewe kuna watu wanafikiri kwa niaba yako then hatuwezi kuelewana.
Watanzania wameelezwa na wanaendelea kuelezwa,wengi wao wameanza kuelewa ndio maana msemaji kaja kutoa statement official.Yaonekana ni makubwa
Ndiyo maana imeyamewawia vigumu mno kwao kuwaelimisha watanzania.
BrainwashedMercenary
[emoji106][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo kumbe shida yenu haikuwa mkataba urekebishwe bali ni hamtaki kabisa DP WORLD iwekeze bandarini? Watanzania mna tatizo la akili kichwani.
Umemaliza [emoji7][emoji2956][emoji1787]Walitaka kumtikisa Samia wakimuona ni mwanamama wakajua wanao uwezo wa kumpelekesha kama bendera kwenye upepo, ujumbe wameshaupata tayari.
[emoji1787][emoji2956]Hakuna mwenye muda wa debate, mahakama ilishamaliza kila kitu kwa kutoa hukumu ya kurasa zaidi ya tisini.
Dua la kuku....[emoji1787]kanda ya ziwa itamwadabisha, ni suala la muda tu unless aamue kupumzika kukwepa aibu.
DuuuuhNampakua aliyekuzaa!
Maliza yote....[emoji1787]Mpaka wakutoe utumbo ndiyo utashika adabu!
...ni MAAMUZI MAGUMU tu...Serikali ya mama Samia imeapa kuwa katu haitarudi nyuma kuhusiana na mradi huu.
View attachment 2731335
Ama kwa hakika yawezekanq kuna maslahi makubwa mno kuuhusu, ambayo wananchi hatuyajui.
Kulikoni ukomavu huu?