Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kwa hiyo mnapiga makelele ili mradi ukwame? Sasa wanakuja kuwekeza na kwa kuwa faida ni kwa nchi nzima, endeleeni tu kupiga keleleHawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?
Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga wa mwaka.
Ni katazo. Kutokufanya makosa sasa ambayo yatawaaondolea uhalali wa kuongoza nchi kwa kutegemea wizi wa kura baada ya kukataliwa na wapiga kura!“Mradi kula kwenye uchaguzi ujao zisiibiwe”
Hapo juu ni Ombi au ndoto?
We ni ndugu ake Bashite?🥺🥺🥺🥺🥺
Ni katazo. Kutokufanya makosa sasa ambayo yatawaaondolea uhalali wa kuongoza nchi kwa kutegemea wizi wa kura baada ya kukataliwa na wapiga kura!
Maamuzi ya mwananchi wa kawaida ni ile siku ya kupiga kura! Pale ndio chanzo cha yote tunayoyaonaShangaa na wewe !! Sisi wananchi ni wa kutoa maoni tu sio wa kutoa maamuzi !!
Hata huko Amerika wana msemo wao eti kwamba Government of the people by the people for the people !! Lakini bado wenye kutoa maamuzi ni wale waliopewa nafasi za kufanya hivyo !!
Swali muhimu hapa je tunawapataje watu waadilifu wa kuwapa hizo nafasi ya kufanya maamuzi kwa niaba yetu ???!!
Na tukishawapata tunafanya fanyaje kuhakikisha wanazipata zile nafasi tunazotaka watu hao waadilifu wazipate bila kudhulumiwa !!
Uchaguzi huru na wa Haki ! Je ni kwa namna gani tunaweza kufanya uchaguzi ukawa ni Huru na wa Haki ??!!
Tafakari !
Huo upumbavu ukija kulipa na bandari ikaongeza mapato mengi zaidi ya haya ya sasa, huwa hatukumbuki haya yote tunayoyaandika. Hatukumbuki hizi laana zote tunazoziongea kupitia midomo yetu.Tunalipia upumbavu uliosainiwa na marais wajinga waliotangulia,
Ndio maana nikasema akija Rais mwingine mwenye akili atakuwa tayari kulipa mabilioni ili kuondokana na upumbavu wa namna hii!
Mapato yapi?Huo upumbavu ukija kulipa na bandari ikaongeza mapato mengi zaidi ya haya ya sasa, huwa hatukumbuki haya yote tunayoyaandika. Hatukumbuki hizi laana zote tunazoziongea kupitia midomo yetu.
TRA itakusanya mapato kama inavyofanya lakini kwa kasi zaidi kwani mzunguko wa ushushaji na upakiaji wa makontena utakuwa ni wa viwango vya juu tofauti na huu wa sasa.Mapato yapi?
Yani mwarabu aje akuongezee wewe mapato?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wote hatujaona hayo unayoyasema isipokuwa wewe na Samia tu!?TRA itakusanya mapato kama inavyofanya lakini kwa kasi zaidi kwani mzunguko wa ushushaji na upakiaji wa makontena utakuwa ni wa viwango vya juu tofauti na huu wa sasa.
Wingi wa meli zinazoshughulikiwa unaongeza ufanisi wa kazi, ambao unaongeza mapato ya TRA.
Huyo mwarabu yupo dunia nzima Antwerp, London, Southampton na kwenye mataifa mengine, Kote huko kuna ufanisi mkubwa na ndio maana wao ni mataifa ya dunia ya kwanza wakati sisi wabishi na wajuaji tupo katika dunia ya tatu.
Panua ubongo wako ili ujue kinachoendelea huko duniani. Mengi watanzania hatuyajui na tunaendelea kuzeeka na ujinga vichwani kwa sababu tu ya kutopenda kufikiria nje ya boksi.Watu wote hatujaona hayo unayoyasema isipokuwa wewe na Samia tu!?
Hayo yanayoendelea huko duniani hatujui isipokuwa wewe na Samia tu ndio maana mkagawa bandari?Panua ubongo wako ili ujue kinachoendelea huko duniani. Mengi watanzania hatuyajui na tunaendelea kuzeeka na ujinga vichwani kwa sababu tu ya kutopenda kufikiria nje ya boksi.
Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.Hayo yanayoendelea huko duniani hatujui isipokuwa wewe na Samia tu ndio maana mkagawa bandari?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unajaribu kushawishi nini?Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.
Anao mpango wa kuligeuza jiji la Dar liwe ni HUB ya kibiashara, tafuta maana ya hub mitandaoni ili upanue uelewa wako.
Tatizo la kwako ndio lile lile la watanzania wengi, kudhani kuwa kile kidogo wanachokifahamu ndio kila kitu maishani.
Unaweza ukawa na PHD kichwani mwako lakini ukakosa ufahamu mpana wa dunia inavyokwenda. Unaweza ukawa ni wa form four tu huna shahada yoyote ile lakini upeo wako ukawa mkubwa sana.
Tunaelimishana tu mkuu, kumbuka wasomaji hapa ni wengi sio mimi na wewe tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unajaribu kushawishi nini?
Ni wewe wasemaJiue basi
Samia huyu huyu wa Kizimkazi ni mjanja? Anataka kugeuza Dar iwe Hub? Samia??Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.
Anao mpango wa kuligeuza jiji la Dar liwe ni HUB ya kibiashara, tafuta maana ya hub mitandaoni ili upanue uelewa wako.
Tatizo la kwako ndio lile lile la watanzania wengi, kudhani kuwa kile kidogo wanachokifahamu ndio kila kitu maishani.
Unaweza ukawa na PHD kichwani mwako lakini ukakosa ufahamu mpana wa dunia inavyokwenda. Unaweza ukawa ni wa form four tu huna shahada yoyote ile lakini upeo wako ukawa mkubwa sana.
Huyu huyu wa kizimkazi, anataka kuigeuza Dar iwe Hub akiwa na madaraka yote ya rais wa awamu ya sita wa JMT na sio mwanamama fulani wa kiunguja.Samia huyu huyu wa Kizimkazi ni mjanja? Anataka kugeuza Dar iwe Hub? Samia??
Kuna watu mna utani halafu hamjui wa kuwatania.
Haya kiko wapi sasa? HGA tayari umesainiwa LeoHakipo kitachoendelea,
Mkataba fake na BATILI utafutwa!!