Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Hawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?

Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga wa mwaka.
Kwa hiyo mnapiga makelele ili mradi ukwame? Sasa wanakuja kuwekeza na kwa kuwa faida ni kwa nchi nzima, endeleeni tu kupiga kelele
 
Shangaa na wewe !! Sisi wananchi ni wa kutoa maoni tu sio wa kutoa maamuzi !!
Hata huko Amerika wana msemo wao eti kwamba Government of the people by the people for the people !! Lakini bado wenye kutoa maamuzi ni wale waliopewa nafasi za kufanya hivyo !!

Swali muhimu hapa je tunawapataje watu waadilifu wa kuwapa hizo nafasi ya kufanya maamuzi kwa niaba yetu ???!!
Na tukishawapata tunafanya fanyaje kuhakikisha wanazipata zile nafasi tunazotaka watu hao waadilifu wazipate bila kudhulumiwa !!

Uchaguzi huru na wa Haki ! Je ni kwa namna gani tunaweza kufanya uchaguzi ukawa ni Huru na wa Haki ??!!

Tafakari !
Maamuzi ya mwananchi wa kawaida ni ile siku ya kupiga kura! Pale ndio chanzo cha yote tunayoyaona
 
Tunalipia upumbavu uliosainiwa na marais wajinga waliotangulia,

Ndio maana nikasema akija Rais mwingine mwenye akili atakuwa tayari kulipa mabilioni ili kuondokana na upumbavu wa namna hii!
Huo upumbavu ukija kulipa na bandari ikaongeza mapato mengi zaidi ya haya ya sasa, huwa hatukumbuki haya yote tunayoyaandika. Hatukumbuki hizi laana zote tunazoziongea kupitia midomo yetu.
 
Mapato yapi?

Yani mwarabu aje akuongezee wewe mapato?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
TRA itakusanya mapato kama inavyofanya lakini kwa kasi zaidi kwani mzunguko wa ushushaji na upakiaji wa makontena utakuwa ni wa viwango vya juu tofauti na huu wa sasa.

Wingi wa meli zinazoshughulikiwa unaongeza ufanisi wa kazi, ambao unaongeza mapato ya TRA.

Huyo mwarabu yupo dunia nzima Antwerp, London, Southampton na kwenye mataifa mengine, Kote huko kuna ufanisi mkubwa na ndio maana wao ni mataifa ya dunia ya kwanza wakati sisi wabishi na wajuaji tupo katika dunia ya tatu.
 
TRA itakusanya mapato kama inavyofanya lakini kwa kasi zaidi kwani mzunguko wa ushushaji na upakiaji wa makontena utakuwa ni wa viwango vya juu tofauti na huu wa sasa.

Wingi wa meli zinazoshughulikiwa unaongeza ufanisi wa kazi, ambao unaongeza mapato ya TRA.

Huyo mwarabu yupo dunia nzima Antwerp, London, Southampton na kwenye mataifa mengine, Kote huko kuna ufanisi mkubwa na ndio maana wao ni mataifa ya dunia ya kwanza wakati sisi wabishi na wajuaji tupo katika dunia ya tatu.
Watu wote hatujaona hayo unayoyasema isipokuwa wewe na Samia tu!?
 
Panua ubongo wako ili ujue kinachoendelea huko duniani. Mengi watanzania hatuyajui na tunaendelea kuzeeka na ujinga vichwani kwa sababu tu ya kutopenda kufikiria nje ya boksi.
Hayo yanayoendelea huko duniani hatujui isipokuwa wewe na Samia tu ndio maana mkagawa bandari?
 
Hayo yanayoendelea huko duniani hatujui isipokuwa wewe na Samia tu ndio maana mkagawa bandari?
Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.

Anao mpango wa kuligeuza jiji la Dar liwe ni HUB ya kibiashara, tafuta maana ya hub mitandaoni ili upanue uelewa wako.

Tatizo la kwako ndio lile lile la watanzania wengi, kudhani kuwa kile kidogo wanachokifahamu ndio kila kitu maishani.

Unaweza ukawa na PHD kichwani mwako lakini ukakosa ufahamu mpana wa dunia inavyokwenda. Unaweza ukawa ni wa form four tu huna shahada yoyote ile lakini upeo wako ukawa mkubwa sana.
 
Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.

Anao mpango wa kuligeuza jiji la Dar liwe ni HUB ya kibiashara, tafuta maana ya hub mitandaoni ili upanue uelewa wako.

Tatizo la kwako ndio lile lile la watanzania wengi, kudhani kuwa kile kidogo wanachokifahamu ndio kila kitu maishani.

Unaweza ukawa na PHD kichwani mwako lakini ukakosa ufahamu mpana wa dunia inavyokwenda. Unaweza ukawa ni wa form four tu huna shahada yoyote ile lakini upeo wako ukawa mkubwa sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unajaribu kushawishi nini?
 
Kutokujua haina maana hakuna kinachofanyika na kuendelea. Kwa taarifa yako Samia ni rais mjanja sana kuliko tunavyodhania.

Anao mpango wa kuligeuza jiji la Dar liwe ni HUB ya kibiashara, tafuta maana ya hub mitandaoni ili upanue uelewa wako.

Tatizo la kwako ndio lile lile la watanzania wengi, kudhani kuwa kile kidogo wanachokifahamu ndio kila kitu maishani.

Unaweza ukawa na PHD kichwani mwako lakini ukakosa ufahamu mpana wa dunia inavyokwenda. Unaweza ukawa ni wa form four tu huna shahada yoyote ile lakini upeo wako ukawa mkubwa sana.
Samia huyu huyu wa Kizimkazi ni mjanja? Anataka kugeuza Dar iwe Hub? Samia??
Kuna watu mna utani halafu hamjui wa kuwatania.
 
Samia huyu huyu wa Kizimkazi ni mjanja? Anataka kugeuza Dar iwe Hub? Samia??
Kuna watu mna utani halafu hamjui wa kuwatania.
Huyu huyu wa kizimkazi, anataka kuigeuza Dar iwe Hub akiwa na madaraka yote ya rais wa awamu ya sita wa JMT na sio mwanamama fulani wa kiunguja.
 
Mapaka
16884572500841.jpg
 
Back
Top Bottom