Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna haja ya haraka wavitunze next year waweke BajetiNi idea nzuri but projects yoyote huwa ina funds na needs tofauti.
😆😆😆😆 au hata browsing history maana wengi hawajui kutumia inPrivate mode au incognitoKuna uwezekamo tukaanza kuona "connection' za maticha au vipotelee hewani.. hii nchi ngumu sana..
Ticha Beesmom , je vitawasaidia?
View attachment 2357798
Mkuu unamaana Gani tufafanulie😆😆😆😆 au hata browsing history maana wengi hawajui kutumia inPrivate mode au incognito
Acha dharau wewe. Hujui kuwa siku hizi kuna online books na other teaching materials tena kuanzia level ya shule ya msingi. Si kila kitu lazima ucomment ndugu, kama huna taarifa pita kimya au uliza ufahamishwe.Hii ipo kisiasa zaidi, mwalimu anafundisha kwa chaki ubaoni huko Nanjilinji unampa kishkwambi cha nini? Kuangalizia muvi?
Labda kama wameona baada ya sensa hawana pa kuvipeleka wakaamua kuwapa walimu.
Ila kusema vitaboredha utoaji wa elimu nchini ni uongo.
mkuu, vitasaidia kama vitatumika vizuri na kama walimu wana uelewa wa ict.Sasa kishikwambi kitamsaidia nini mwalimu kuandaa masomo yake, ni bora hata wapewe laptop. Bongolala kuna watu wanakurupuka sana.
Walimu wanaweza kutembelewa na panya road wakihtaji kishikwambi tu. Kazi ipoNaibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga amesema serikali ina mpango wa kugawa Vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa kwa walimu wote kwa lengo la kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji.
Akijibu maswali ya Wabunge, leo Septemba 15, 2022 Jijini Dodoma Naibu Waziri Kipanga amesema kutokana na idadi ya vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa kuwa ndogo na haitoshi, wizara hiyo imeamua kuongeza vingine ili kutosheleza walimu wote nchini.
"Vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa ni zaidi ya laki mbili na elfu tano, lakini sisi kama wizara tumeongeza vishikwambi vingine zaidi ya laki moja, kwahiyo niwaondoe hofu kwamba idadi ya vishikwambi ambavyo wizara imeratibu na kununua vitatosheleza kwa walimu wetu wote," - Kipanga.
Wakiongeza na vile alivyopokea waziri mkuu toka chima cjuwi wakijumlisha havitoshi?Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga amesema serikali ina mpango wa kugawa Vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa kwa walimu wote kwa lengo la kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji.
Akijibu maswali ya Wabunge, leo Septemba 15, 2022 Jijini Dodoma Naibu Waziri Kipanga amesema kutokana na idadi ya vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa kuwa ndogo na haitoshi, wizara hiyo imeamua kuongeza vingine ili kutosheleza walimu wote nchini.
"Vishikwambi vilivyotumika katika zoezi la sensa ni zaidi ya laki mbili na elfu tano, lakini sisi kama wizara tumeongeza vishikwambi vingine zaidi ya laki moja, kwahiyo niwaondoe hofu kwamba idadi ya vishikwambi ambavyo wizara imeratibu na kununua vitatosheleza kwa walimu wetu wote," - Kipanga.
Mkuu bado havijagawiwa, umeshajua kuwa hakuna impact yoyote😀Kwanini wasivipeleke kwenye shule chache Ili wavifanyie pilot project ya mambo ya ICT badala ya kuvigawa hivyo mwisho wa siku hakuna impacts yeyote.
Acha wivu. Acha walimu wapewe.Kwanini wasivipeleke kwenye shule chache Ili wavifanyie pilot project ya mambo ya ICT badala ya kuvigawa hivyo mwisho wa siku hakuna impacts yeyote.
Acha ushamba, Walimu kibao tu wanatumia technology kufundishia. Mbona mna chuki sana kwa walimu?Hii ipo kisiasa zaidi, mwalimu anafundisha kwa chaki ubaoni huko Nanjilinji unampa kishkwambi cha nini? Kuangalizia muvi?
Labda kama wameona baada ya sensa hawana pa kuvipeleka wakaamua kuwapa walimu.
Ila kusema vitaboredha utoaji wa elimu nchini ni uongo.
Hajui chochote. Mfano wa digital teaching and learning materials yanayofuata mtaala wa kitanzania kwa watoto wadogo wa shule za awali - Project Numeracy: Let Your Kids Learn Math in a Funny, Entertaining, Attractive, and Interactive ApproachAcha dharau wewe. Hujui kuwa siku hizi kuna online books na other teaching materials tena kuanzia level ya shule ya msingi. Si kila kitu lazima ucomment ndugu, kama huna taarifa pita kimya au uliza ufahamishwe.
Kimoja ni bei gani? Tuzidishe kwa 305,000 ili tuone ni bil ngapi zinaenda kuliwa
Just curious, what was the project about ? How did it work ?Tanzania kubadilika ni ngumu sana tunajikwamisha wenyewe hsa watendaji wa serikali wanakwamisha mambo mengi sana mazuri.
Mimi ni shuhuda 2021 nilipeleka a very good ict project kwa tamisemi na wizara ya elimu kwaajili ya shule zetu hizi za umma na ilikuwa simple na inayoendana mazingira yetu.
Kilichotokea huko ni kusifiwa tu good project ooh hii itaeta mabadiliko sasa kwenye ushirikiano hupewi hata kupata kibali tu nilisota mwaka na sikupata the end vijana wa ict waliograduate kama 13 ambao ndio waliunda mfumo huo wa elimu walianza kutawanyika mmoja mmoja na ndio mchezo ukausha hivyoo.
Hii nchi ni ngumu sana kufanikiwa hasa km wewe ni mtu wa kunyoosha mambo.
Ni ngumu sana hii nchi.
Hapana usikitumie kuvaibrate kisimi hakitakuridhisha hicho , fanya uniuzie mimi kishikwambi alafu vibration mimi mwenyew nitakuja kukuvibrateHivi si ukiweka vibration mule ipo,nataka nikikipata nikitumie kuvaibretia kisimi changu nipate raha mie
Sawa,hapo umeongea🤝😸Hapana usikitumie kuvaibrate kisimi hakitakuridhisha hicho , fanya uniuzie mimi kishikwambi alafu vibration mimi mwenyew nitakuja kukuvibrate