Serikali kugawa vishikwambi kwa walimu Nchini

Serikali kugawa vishikwambi kwa walimu Nchini

Na pia watalazimisha vishikwambi viwe na laini za TTCL ama namna gani?
 
Walimu meno nje. Ila hizi tablet hazina sana issue maana navyowajua mtatembea nazo kila sehemu
 
Hii ipo kisiasa zaidi, mwalimu anafundisha kwa chaki ubaoni huko Nanjilinji unampa kishkwambi cha nini? Kuangalizia muvi?

Labda kama wameona baada ya sensa hawana pa kuvipeleka wakaamua kuwapa walimu.

Ila kusema vitaboredha utoaji wa elimu nchini ni uongo.
Bora kukaa kimya tu kama ujui,kuanzia darasa la nne hadi la saba kwenye somo la sayansi kuna mada za internet na mada za program jedwali na andishi,hivyo hivi vishikwambi vitawasaidia sana walimu katika kufundisha.
 
Tanzania kubadilika ni ngumu sana tunajikwamisha wenyewe hsa watendaji wa serikali wanakwamisha mambo mengi sana mazuri.

Mimi ni shuhuda 2021 nilipeleka a very good ict project kwa tamisemi na wizara ya elimu kwaajili ya shule zetu hizi za umma na ilikuwa simple na inayoendana mazingira yetu.

Kilichotokea huko ni kusifiwa tu good project ooh hii itaeta mabadiliko sasa kwenye ushirikiano hupewi hata kupata kibali tu nilisota mwaka na sikupata the end vijana wa ict waliograduate kama 13 ambao ndio waliunda mfumo huo wa elimu walianza kutawanyika mmoja mmoja na ndio mchezo ukausha hivyoo.

Hii nchi ni ngumu sana kufanikiwa hasa km wewe ni mtu wa kunyoosha mambo.

Ni ngumu sana hii nchi.
Ukiwa mtu wa kunyoosha mambo hutoboi
 
Tusipuuzie sana jitihada, hata kama tablets zilizotolewa hazina ubora bado ipo haja ya kushukuru "angalau". Mnaodai kuwa kuna maeneo yasiyo na network lakini hata offline notes zipo tu kazi itaendelea.
 
Back
Top Bottom