Serikali kugawa vishikwambi kwa walimu Nchini

Hapo kabla ya kugawa watajichukulia vishkwambi mia kadhaa kifisadi. Wenzetu wanaportal za kuendesha minada ya serikali na watu wanabid kwa uwazi. Hivyo vishkwambi vingepigwa mnada raia wavinunue serikali irudishe chochote.
 
Acha dharau wewe. Hujui kuwa siku hizi kuna online books na other teaching materials tena kuanzia level ya shule ya msingi. Si kila kitu lazima ucomment ndugu, kama huna taarifa pita kimya au uliza ufahamishwe.
 
Sasa kishikwambi kitamsaidia nini mwalimu kuandaa masomo yake, ni bora hata wapewe laptop. Bongolala kuna watu wanakurupuka sana.
mkuu, vitasaidia kama vitatumika vizuri na kama walimu wana uelewa wa ict.
shule zenye nafasi zinaweza kununua proojector chache na kutumika kwa masomo hasa ya sayansi. bila shaka vishkwambi vinaweza kuunganishwa na projector.
pia ni rahisi walimu kubadilishana notes na kuboresha ufundishaji.
zaidi, ni rahisi kuperuzi internet kupata maarifa zaidi.
kusema vishkwambi havitasaidia ni kwenda kinyume na maendeleo ya teknohama.
 
Walimu wanaweza kutembelewa na panya road wakihtaji kishikwambi tu. Kazi ipo
 
Wakiongeza na vile alivyopokea waziri mkuu toka chima cjuwi wakijumlisha havitoshi?
 
Acha ushamba, Walimu kibao tu wanatumia technology kufundishia. Mbona mna chuki sana kwa walimu?
 
Kimoja ni bei gani? Tuzidishe kwa 305,000 ili tuone ni bil ngapi zinaenda kuliwa

Huu ni ujinga mtupu tuu sasa vishikwambi vitamsaidia nini mwalimu? Zaidi vitawekwa bondi tuu! Kwanini wasingewapa pesa?Walimu wapewe kila mmoja hata posho ya laki tatu! Hivi vishikwambi Mwalimu wa Nanjilinji itamsidia nini kufindisha?
 
Just curious, what was the project about ? How did it work ?
 
Na bundle watatuwekea au wanatupatia tukaangalizie movie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…