Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.
Akili kubwa [emoji1666]
 
55 huku wenzenu wanaujaza uwanja bure?!

Hiyo pesa inayochezewa hapo bora ikatolewe kwenye vituo vya kulelea watoto yatima wapate hata pilau.
Hivi timu km Namungo ina uwezo wa kuujaza Benjamin mkapa kiingilio kikiwa ni Bure?
Mamelodi wenyewe walishindwa kuujaza uwanja walipocheza na Al Ahly pamoja na kutokuwepo na kiingilio sembuse Marumo Gallants?
 
Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.

Wakati mnapokea hizo hela za magoli ya mama mbona kusema hela za umma zaenda kuchezewa?
Au zile za magoli ni tofauti na hizi zilitolewa kwa ajili ya mashabiki kwenda kushangilia?

Vyo vyote vile itavyowezekana mpira wa Tanzania utangazwe na faida itaja onekana mbeleni huko
Kuyatafuta mafanikio hakuna njia maalum
 
Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.
Yote yatafanyika
 
Wakati mnapokea hizo hela za magoli ya mama mbona kusema hela za umma zaenda kuchezewa?
Au zile za magoli ni tofauti na hizi zilitolewa kwa ajili ya mashabiki kwenda kushangilia?

Vyo vyote vile itavyowezekana mpira wa Tanzania utangazwe na faida itaja onekana mbeleni huko
Kuyatafuta mafanikio hakuna njia maalum
Hujajibu hoja badala yake umehamisha hoja. Lakini ngoja nikujibu hapa hapa.

Pesa za magoli (za mama Samia) japokuwa zina utata (tukizichambua kiundani sana) lakini at least ziko justifiable&reasonable. Ni pesa kutoka Ikulu (kila mwaka Ikulu inatengewa pesa zake kibajeti kwa matumizi mbali mbali ya kukirimu), ambapo mwenye maamuzi nazo ni rais mwenyewe. Sasa kuliko kuwaleta Ikulu wafungaji na kupiga sherehe, mama anazitoa kwa timu na wachezaji watakwenda kunywa soda!. Kwa kifupi sana zile ni pesa kidogo (tips), ziko wazi, zimenyooka, zinawafikia walengwa kikamilifu na zinaongeza hamasa.

Sasa hizi pesa za kupeleka maafisa 55 wa serikali huko South Afrika kwa kivuli cha mashabiki wa Yanga, zina maslahi gani kwa Yanga?
Bajeti yake inatokea wapi?
 
Yote yatafanyika
Yote yatafanyika wapi na lini wakati wizara iko busy sasa kuwakatia tiketi za ndege na kufanya booking ya hoteli kali huko South Africa maafisa wa wizara kwenda kutalii kwa kivuli cha 'mashabiki' 55 wa Yanga.
 
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaidia kugharamia usafiri wa mashabiki 55 wa timu ya Yanga kwenda Afrika Kusini katika mchezo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) huku Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Hamis Mwinjuma akitarajia kuongoza msafara huo.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Bw. Saidi Yakubu ikiwa ni hatua ya kuiunga mkono timu ya Yanga ambao wanatarajia kucheza mchezo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya timu ya Marumo Gallants katika mchezo uliopangwa kuchezwa Mei 17 2023 kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng uliopo mji wa Rustenburg nchini humo.

Bw. Yakubu amesema kuwa Serikali imesaidia safari hiyo kwa kupeleka baadhi ya mashabiki 55 ambao wataondoka Jumapili Mei 14, 2023 na wataungana na Watanzania wanaoishi nchini Afrika Kusini ili kuwapa hamasa ya kutosha wachezaji kushinda mchezo huo muhimi kulelekea hatua ya fainali ya mashindano hayo.


"Hii safari Serikali imesaidia Yanga kupeleka baadhi ya mashabiki 55 ambao wataondoka kesho Jumapili kueleka Afrika Kusini na huko wataungana na Watanzania waishio Afrika Kusini katika kuhakikisha wanatoa sapoti ya kutosha, nimeongea na Balozi nawao wamejiandaa kuwapokea kwa sababu pia wameanda mabasi kutoka kila mji kuhakikisha Watanzania wanakuwa wengi”


Katibu Mkuu ameongeza kuwa "Katika mechi hizi, lolote linaweza kutokea lakini Serikali pamoja na Yanga kupitia idara tofauti tumejipanga vizuri, Waziri Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana anatoa salamu nyingi, pongezi na kuwatakia ushindi katika mchezo wa marudiano. Naibu Waziri Mhe. Hamisi Mwinjuma ataungana na nyinyi kwa upande wa Serikali na anapenda kukaa na mashabiki kushangilia muda wote," alisema Bw. Yakubu.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa timu ya Yanga, Bw. Andrew Ntime amesema kuwa wao kama timu wamejiandaa vizuri kuhakikisha wanapata matokeo kwenye mchezo huo huku akitoa shukrani kwa Serikali kuwa mstari wa mbele wakati wote wa mashindano hayo na kutoa mchango wake wa kupeleka mashabiki hao kwenye mchezo huo wa marudiano.View attachment 2620761View attachment 2620762View attachment 2620763
IMG-20230513-WA0048.jpg
 
Back
Top Bottom