Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Hawaondoki na ndege wanaondoka na bus,mchakato huu uliendeshwa na serikali kwa kushirikiana na Yanga,Yanga wao walichofanya ni kuwatafuta wale mashabiki ambao walienda Congo kimyakimya ndo hao asilimia kubwa wamesafiri leo
 
Mimi Sina stress nakula pediem pesa ya walipa kodi Niko Lorge nimelala na mchepuko wangu Niko hapa Dom. Kesho STL Inanirudisha DSM Sasa wewe mwenzangu mapovu haya yanayokutoka upo Wapi?
Kama bado unapanda STL Lazima uwe na stress.
Bishana na waajiriwa wenzako mimi sio level yako umekaa unajisifu na pediem?
 
Kama bado unapanda STL Lazima uwe na stress.
Bishana na waajiriwa wenzako mimi sio level yako umekaa unajisifu na pediem?
We kweli kiazi!Dunia ya Leo mwajiliwa gani atakosa biashara!
 
Timu ya wananchi, walipa Kodi ni wananchi wenyewe.
 
Yanga washatoka, jambo lolote likishaingiliwa na serekali sijawahi ona likitamatika vizuri
 
Back
Top Bottom