Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Serikali Kugharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Africa Kusini

Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.


AKILI KUBWA MNO.


UMETISHA MZEE BABA
 
Ni jambo zuri na ni aina fulani ya kutangaza ligi yetu lkn kubwa zaidi nafikiri Serikali inge ongeza juhudi ya kuimarisha miundo mbinu ya mpira kwa ujumla na hasa kwa yale ya upande wao serikalini

Viwanja viboreshwe kuanzia kwenye ‘pitch’ majengo yake, vyoo , usalama

Utachezaje kwa utulivu li kiwanja lina ma bonde bonde na usalama hafifu wa kila aina

Kama kuna vitu vinatoka nje ya nchi na vinavyohusiana na kuboresha viwanja na miundo mbinu yetu wanaweza hata kuvifanyia ‘exemption’ ya mambo ya kodi na tozo mbalimbali

Tunajitahidi ukilinganisha na majirani zetu lkn tunatakiwa kuboresha zaidi na yanayohusu serikali iyafanyie kazi ili hapa Tanzania iwe ndo ‘Hub’ yetu ya soka kwa ukanda huu wa Afrika ya kati,mashariki na kusini
Lakini viwanja vya serikali (Ben Mkapa na Uhuru) angalau vipo vizuri.
 
kabla Simba hawajatupwa nje ya mashindano wakati wanapewa mil 5 ulikuwa hujui kama ya umma?
Mkuu hoja yake ni Msingi wewe unaleta upumbavu wako!Hoja wamepatikanaje/ watapatikanaje?wasiende 10 tukaambiwa 55 au wakapitisha ela ya kwenda watu 300,au wakapelekana hapo Wizarani na familia zao huku wengine ni mashabiki wa Makolo wakatumia hiyo fursa kwenda kwenye mishe zao. Wakati mwingine kama una stress zako acha kucoment thread za watu ni vema kupita kimya na sio Kila mtu mpenzi wa hizi timu zinazotumika kufunika mambo muhimu ya Taifa kama walivyozitumia kuzima report ya CAG.
 
Kigezo Gani kimetumika kuwapata mashabiki????????????
Ni kama ile walivyopatikana game na Mazembe kule Lubumbashi, yaani Mashabiki walichangana wakakodi Basi liwapeleke mpaka South Afrika kwenda na kurudi

Walikuwa Mashabiki 55 yaani basi Moja. Kwa juhudi hizi na ghrama zao, Serikali ikaona iwabebe kwa ndege ili kuwapa motisha na kuthamini mchango wao katika michezo.

Shida tunakaza sana ubongo.
 
Mkuu hoja yake ni Msingi wewe unaleta upumbavu wako!Hoja wamepatikanaje/ watapatikanaje?wasiende 10 tukaambiwa 55 au wakapitisha ela ya kwenda watu 300,au wakapelekana hapo Wizarani na familia zao huku wengine ni mashabiki wa Makolo wakatumia hiyo fursa kwenda kwenye mishe zao. Wakati mwingine kama una stress zako acha kucoment thread za watu ni vema kupita kimya na sio Kila mtu mpenzi wa hizi timu zinazotumika kufunika mambo muhimu ya Taifa kama walivyozitumia kuzima report ya CAG.
Kwahiyo wewe ndo unataka uwathibitishe Kama hao kweli Ni mashabiki wa yanga
Pesa Ni ya umma yanga timu ya umma
Mashabiki ndo walipa Kodi
Au umeambiwa wale wanaoenda Ni Wakenya
 
Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.
Uko zanzibar mwenye akili ni Mudathir Yahya tu
 

Attachments

  • FvxnU2NXwAIM2el.jpeg
    FvxnU2NXwAIM2el.jpeg
    73.2 KB · Views: 2
Mpumbavu ni mama yako mpuuzi wewe.
Kipindi simba na yanga wanapewa mil 5 mpaka mil 10 na mama samia suluhu mlikuwa hamjui kama kuna report ya CAG?
Leo timu yenu imetoka mnaanza kuhoji kuhusu matumizi pesa
Nafikiri wewe Hauna Mama umejizaa mwenyewe!Ila kama Kuna mtu alikuzaa basi amevuka kiwango Cha huyo uliyemtaja wakati hausiki hapa.Stress Vijana zinawapeleka pabaya Sana. Kikubwa hata wakipewa mil 80 haiondoi Mantinki ya wewe kuwa mpumbavu.
 
Kwahiyo wewe ndo unataka uwathibitishe Kama hao kweli Ni mashabiki wa yanga
Pesa Ni ya umma yanga timu ya umma
Mashabiki ndo walipa Kodi
Au umeambiwa wale wanaoenda Ni Wakenya
Sidhani Kama umeielewa comment yangu.
 
Nafikiri wewe Hauna Mama umejizaa mwenyewe!Ila kama Kuna mtu alikuzaa basi amevuka kiwango Cha huyo uliyemtaja wakati hausiki hapa.Stress Vijana zinawapeleka pabaya Sana. Kikubwa hata wakipewa mil 80 haiondoi Mantinki ya wewe kuwa mpumbavu.
Usiniletee stress zako,potelea mbali
 
Usiniletee stress zako,potelea mbali
Mimi Sina stress nakula pediem pesa ya walipa kodi Niko Lorge nimelala na mchepuko wangu Niko hapa Dom. Kesho STL Inanirudisha DSM Sasa wewe mwenzangu mapovu haya yanayokutoka upo Wapi?
 
Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.
Dah..kweli lakini.
 
Huu ni upumbavu wa 100%.
Mantiki ya hiyo safari haipo kabisa na hizo ni pesa za Umma zinakwenda kuchezewa.

Kama watu hamjui tu, nyinyi fahamuni haya.

-Hao 'mashabiki' 55 wa Yanga ni maafisa waandamizi wa serikali, safari hiyo watagharamiwa Usafiri wa kwenda na kurudi (nadhani watakwea pipa) , Posho ya chakula na malazi nk. Wastani wa kumgharamia 'mshabiki' mmoja huenda hautapungua milioni 3, na kwa mashabiki 55 hapo ni zaidi ya milioni 165.

-Wizara haikuwahi kuwa na bajeti ya pesa iliyotengwa kwa hiyo safari, hivyo hiyo ni pesa inachotwa kutoka eneo lingine lililotengewa bajeti, mwisho wa siku malengo ya kibajeti hayatafikiwa.

-Mashabiki 55 wa Yanga hawawezi kuwa ya impact yoyote ya kishabiki katika uwanja wa Marumo unaotegemewa kuingiza zaidi ya mashabiki elfu 40.


NINI KINGEPASWA KUFANYIKA.
1. Wizara ingemobilize watanzania waliopo South Africa kuhakikisha walau wanafikia elfu Tano kuwepo uwanjani. (Hao wapewe nauli/usafiri wa kuja na kuondoka uwanjano, Jezi za Yanga/Taifa, Bendera za Yanga/Taifa)

2. Kwa kuwa mechi hii ni bure, hivyo uwanja utafurika wasouth Afrika watupu, basi wizara ingepambana walau jukwaa moja lenye kukidhi mashabiki 5000 liwe reserve kwa ajili ya watanzania tu.
Katika kila budget kuna contigency. Kwa hiyo usiseme kwamba wizara haikutenga hiyo fedha.
 
55 huku wenzenu wanaujaza uwanja bure?!

Hiyo pesa inayochezewa hapo bora ikatolewe kwenye vituo vya kulelea watoto yatima wapate hata pilau.
Watoto yatima mnao siku zote lakini nusu fainali hii hamnayo siku zote. Acha unafiki na wivu kwa Yanga
 
Back
Top Bottom