Hawaondoki na ndege wanaondoka na bus,mchakato huu uliendeshwa na serikali kwa kushirikiana na Yanga,Yanga wao walichofanya ni kuwatafuta wale mashabiki ambao walienda Congo kimyakimya ndo hao asilimia kubwa wamesafiri leo
Mimi Sina stress nakula pediem pesa ya walipa kodi Niko Lorge nimelala na mchepuko wangu Niko hapa Dom. Kesho STL Inanirudisha DSM Sasa wewe mwenzangu mapovu haya yanayokutoka upo Wapi?