Nawewe mbona unakuwa dhaifu ivi kuitwa sukuma gang ndo unaumia hata Mimi hapa nimejiunga na sukuma gang maana inafaa sana kuliko kuwa VIROBOTO gang ambao hawana alama katika nchi hiiWewe ni pimbi sana, kwa nini unadhani kila anayekuwa kinyume chako lazima awe sukuma gang..
Ujasiri wake umempeleka futi 6 ardhini.Ama kweli ulegelege siutaki kwenye maisha yangu!!
JPM umenipa somo kubwa sana,
Ujasiri wako na uthubutu wako uliwogofya waizi wote wa ndani na nje ya nchi, hata wazungu waliufyata, ila sasa upepo unasomeka kirahisi, eti wezi waliokuwa wakituibia kwa mikataba ya kipumbavu na mezani kwa watia sain kumewekwa dollar za rushwa, na sasa tunawalipa tena waizi wetu!
Kwa nini hawakudai fidia enzi yako!!? Nimegundua, hata biblia imesema, waoga wote hawaustahili ufalume wa mbinguni, Bali wenye nguvu ndio watakaouteka
Na nchi yetu bila watu majasiri, maendeleo tutayasikia tuu!
Hujui kuwa wakati wa makinikia Prof Sinclair wa Barrick alikuja mwenyewe kwa Magufufuli na akakubali kuivunja Acacia na kuanzishwa Twiga? Umesahau hilo?Yaan wabongo bana 😂😂😂 mzungu gan ataufyata kwa muafrika? Mzungu ambae unategemea hela za ili ukidhi mahitaj yako kwa zaid ya nusu? Misaada chungu nzima tunawategemea weupe. Udhamini wa kisiasa tunawategemea weupe, kibaya zaid bado tupo under surveillance yao kiutawala!!
ukijiuliza Symbion muda wote ilikuwa wapi? Ila kwa kuwa sasahivi wahuni wameshikilia madaraka ndio hio ishu ikafufuliwa na lengo hasa ni huyo mwanaharamu kujitwalia % flani humo kwenye hizo hela za malipo.Mikataba mingi serekalini ni ya ujanjanja tu, wanasheria wengi ni wapigaji tu!!
Hio haki na sheria ndio inaruhusu su double taxation? Umchaji mtu Vat kisha umuwekee na Tozo ambayo haina address?Teli zemu, baeleze baelewe!. Ukivunja mkataba unalipa!, dawa ya deni ni kulipa. Serikali ya Samia inazingatia haki na utawala wa sheria.
Madeni yote halali, yamelipwa!.
P
Kwa vile mimi sii mtaalam wa mambo ya taxation, tozo zote zimepitishwa na Bunge na zinaelezwa ni tozo za nini, hivyo naamini tozo zote, Kisheria ni legit, labda tuje kwenye justification.Hio haki na sheria ndio inaruhusu su double taxation? Umchaji mtu Vat kisha umuwekee na Tozo ambayo haina address?.
Kiswahili ni kigumu sana kwa baadhi yetu, Mama Samia amepandisha mishahara na sio amepiga sound only, kiwango ndio bado halijatangazwa, kitatangazwa na Waziri wa fedha, wakati wa kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali.Inaruhusu kuwapiga sound watumishu badala ya kuwaongezea hela kwenye mishahara yao?
She is not!. Mama ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, wengi wenu mmemjua baada ya kifo cha JPM alipotwaa madaraka.Mama yenu ni fatal kabisa!
Wahuni siyo watu wazuri,wamejipanga kweli kuimaliza hii Nchi,ni Mungu tu labda alete heri zake, Wahuni wameikatisha Serekali ya awamu ya 5 kihunihuni ili wafanye yao!!ukijiuliza Symbion muda wote ilikuwa wapi? Ila kwa kuwa sasahivi wahuni wameshikilia madaraka ndio hio ishu ikafufuliwa na lengo hasa ni huyo mwanaharamu kujitwalia % flani humo kwenye hizo hela za malipo.
Ila Magufuli asingekaa alipe hizo hela na wangepiga kimya sababu kampuni hio iliwekwa kimchongo.
Mwizi ni wwe na Wahuni wenzio,Mimi siyo mwizi hata nikiwa na Mali za vipofu nitawapa haki zao!!Wewe mwenyewe ukipewa fursa utapiga tu, sote ni wezi watarajiwa.
Unaiba billion 100 ili uzifanyie nini hizo hela zote? Ufujaji wa mali sio mzuriWewe mwenyewe ukipewa fursa utapiga tu, sote ni wezi watarajiwa.
Huyo analamba asali kwa sasa kwa urefu wa Kamba yake. Kimsingi ndio wanufaika wa awamu ya 6Wewe ni pimbi sana, kwa nini unadhani kila anayekuwa kinyume chako lazima awe sukuma gang..
Anakuja kwaajil ya maslahi tuu, c kwamba eti alikua anamuogopa. Hakuna kiongoz wa Africa mwenye uwezo wa kutunishiana misuli na mabeberu!!Hujui kuwa wakati wa makinikia Prof Sinclair wa Barrick alikuja mwenyewe kwa Magufufuli na akakubali kuivunja Acacia na kuanzishwa Twiga? Umesahau hilo?
Wapigaji sasa wala hawatumii tena nguvu nyingi kupiga pesa kisingizio ni magufuli, na nzuri zaidi watanzania wanaamini hivyo visingizio, na atakaepinga ataitwa sukuma gang, Mie naona mama aendelee tu kuupiga mwingi maana hamna kitu tutawafanya hao wapigaji.Watanzania ebu tuache ujinga! Tutajiwe kesi na mahakama iliyoamua Symbion walipwe kiasi hicho cha pesa!
Isije ikawa watu wanatengeneza tu mazingira ya kupewa pesa hizo bila kesi yoyote na kumsingizia Hayati Magufuli kwamba alivunja mkataba kinyemela.
Kwanza nyie mnaoshabikia mmejuaje mkataba ulivunjwa kinyemela bila kesi na hukumu ya Mahakama?!
Au ndo mnataka tuunganishe dots kwamba huu ulikuwa ni mkakati uliopangwa ndo maana akina Zitto Kabwe wamemshambulia Marehemu Hayati Magufuli mfululizo?!
Na imekuwa kawaida yao kumsema vibaya kwanza JPm ndio waibe! Hivi hawawezi kuiba tuu bila kumwingiza huyu shujaa kwenye kashifa zao hizo!
Unafikiri hiyo ni sawa na hela ya sosho?Mleta mada bana. Yani wee mwenyewe unaona iyo billion 356 ni nyiiingiiiiiiiiiiiiii.
Tamaa, Apes nature hata yale Machipanzee huwa yanawazuia wenzao kula matunda pori mti mzima linahodhi limoja na kutoa kibano cha haja kwa yeyote atakae gusa mti.Unaiba billion 100 ili uzifanyie nini hizo hela zote? Ufujaji wa mali sio mzuri
Huyo Mungu wako jiwe unayemwabudu pia alikuwa Mwizi. wewe mwenyewe mtu akikosea mwamala akatuma kwenye simu yako unakimbia haraka kwenda kuutoa na kwenda kwenye mataputapu.Mwizi ni wwe na Wahuni wenzio,Mimi siyo mwizi hata nikiwa na Mali za vipofu nitawapa haki zao!!