Serikali kujenga madarasa mapya manne katika kila shule ya Sekondari ya Serikali. Watoto wote 1M kuanza shule Januari 2022

Kumbe pesa zinatoka kwa wananchi? Halafu nyie wenye akili ndefu ndiyo sasa mnaimilikisha kwa vigogo wasiochangia lolote? Kwa hivyo tuwashukuru mno kwa lolote watakalo fanya na sehemu yoyote ya pesa hizo kwa vile sasa ni zao?

Hiiiiii bagosha!
Sasa hao wananchi hawana kiongozi wao? Ulitaka tuseme wananchi wamejenga madarasa 15,000? Unateseka Sana jamaa kwa kijiba cha roho 😁😁
 
Sasa hao wananchi hawana kiongozi wao? Ulitaka tuseme wananchi wamejenga madarasa 15,000? Unateseka Sana jamaa kwa kijiba cha roho 😁😁

Kwanini kila mtu asilipe kodi sote tuisikie chungu yake?

Kwanini matumizi ya kodi zetu yahodhiwe na awaye yote? Eti Samia kajenga hali uhalisia ni walipa kodi na yeye si mmoja wao?

Mengine haya waambieni Chatto na Makunduchi. Huku mtaumbuka tu.

Kama ni mwanamke wa 2025, tafuteni mengine kwani hata akisuluhisha haya:



wa kumpa kura tutakuwapo!
 
Una matatizo na msingi wa mawazo Sana wewe ndugu..Samia tunae Hadi 2030 mimi Niko bara siko makunduchi tambua hilo.
 
Wewe umefanya lipi Kati ya ha hayo unayosema? Au unabwabwaja bila kuonesha mfano? Unataka nani akufanyie?
Nimelipa Kodi na Tozo ndio kazi yangu kama raia..., Hao tuliopwa kazi ya kutunga Sera na kuweka mambo sawa wanapwaya ndio maana kwenye nchi yenye vyanzo lukuki bado tunakamuana..., ingia mtaani uliza watu au bila kuuliza ukiona maisha yao ndio utajua mambo hayapo sawa (Na kama unadhani hii hali ni nzuri) nina wasiwasi na standard yako ya uzuri
 
Una matatizo na msingi wa mawazo Sana wewe ndugu..Samia tunae Hadi 2030 mimi Niko bara siko makunduchi tambua hilo.

Hata akikaa hadi 3000, wewe unaongelea 2030?

Kwani jiwe tulikuwa tunae hadi lini vile?

"Kweli wewe huna matatizo na msingi wa mawazo Sana wewe ndugu.."

Hiiiiii bagosha!
 
They better start ASAP just in-case there's a will to do so.
 
Kwa hiyo hakutakuwa na "second selection"!???
Hiyo chaguo la pili ni kwa sababu ya upungufu wa madarasa/majengo/maboma!!??
 
Wajenge basi kwa mpangilio mzuri Yaan mpangilio mbovu ili mradi madarasa yamejengwa tu hakuna bustani
 
Elimu ya sekondari ni ya kuwafanya watoto wasitusumbue nyumbani waende shuleni wakakue na watoto wenzao.
Ulimwengu wa Sasa elimu ya sekondari sio tija labda iwe hiari kwa anaehiitaji.
Serikali ijenge vyuo vya ujuzi kila kata mtu akimaliza la saba akasomee ujuzi autakao Ili umfae maishani.
Huu mfumo wa sekondari tu chuo kikuu then akimaliza chuo kikuu anarudi mtaani kuendesha bodaboda,kuwa machinga,kuwa mamalishe sio afya ni kuongeza idadi ya masikini nchini,maana mtu akipata cheti uona aibu kujichanganya.
 
Hakuna second selection ndio
Wewe ni "kihiyo" na "kilaza" mkubwa.
"Second selection" ilianzishwa kwa sababu mbili.
Mosi, ni upungufu wa vyumba vya madarasa.
Pili, ni kutokana na wanafunzi wengi wanaochaguliwa kwenda shule za umma kutokwenda kunakotoka na kwenda shule binafsi hivyo kuacha nafasi nyingi za wazi kwenye shule za umma.
Hakuna second selection ndio
 
Daaah
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Tanzania tuko katika uelekeo sahihi sana tuendelee kumwombea rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,

Tunakila sababu ya kujivuna,
 
Kaziiendelee Tanzania, Hongera Mama Samia
 
Kaziindelee Tanzania na Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…