Serikali kukopa Fedha NMB kwaajili ya kununua Mabasi 100 ya Mwendokasi

Naanza kushtuka taaratibu inawezekana hata bandari mwarabu pale katumiwa tu ila mabos wako hapa hapa tu maana tukiuliza huyo mwarabu bandarini amekuja na nn kuwekkeza maana serikali ilishawekeza .jibu ni hola kaja tu na mfumo anakula hela za majinga.Sasa hata mwendo kasi naona ni haya haya tunakopa sisi wao wabakuja na mfumo wanakula hela 🤣🤣🤣ila kuna siku haina jina hii nchi patanuka na haiko mbali hiyo siku.
 
Mwekezaji muarabu tunamkopea mabasi ila deni ni letu ....hawa ndiyo wawekezaji ambao SAMIA ANATULETEA NI WAHUNI TU NA MAFISADI WAJOMBA ZAKE ...SAMIA KAIVUA NGUO NCHI IPO UCHI WA MNYAMA KILA MUHUNI ANAJIPIGIA.
 
NMB Hakikisheni hizo audited accounts wanazowaletea zimekua audited na kampuni ya nje inayojiheshimu.
Kama zimekua audited na Patel, Bashe ,Gekul & company or any other questionable company achaneni nao.
 
Hasara ya mwaka hii: yaani mwarabu aje na kanzu tuu hela atazikuta hapa hapa.
Hii dunia ina mambo kweli na DP World napo waarabu wamekuja kukuta kila kitu na pesa za kuendesha bandari wamepewa.
 
Ccm no maongoo.Huyo Dubai yuki wapiii?
 
Mwekezaji muarabu tunamkopea mabasi ila deni ni letu ....hawa ndiyo wawekezaji ambao SAMIA ANATULETEA NI WAHUNI TU NA MAFISADI WAJOMBA ZAKE ...SAMIA KAIVUA NGUO NCHI IPO UCHI WA MNYAMA KILA MUHUNI ANAJIPIGIA.
Hao wahuni walikua wamejazana kwenye mahoteli huko wanatafuta madili watupige Magu alikua anawakataa ila kwa sasa ndio wamepata nafasi.

Kila kitu sasa hivi ni dili.
 
Very idiotic idea. Zaidi ya Kisenya Nani mwingine kafungwa?
Kwa miaka mingapi mradi huu utakuwa white elephant?
Miradi hii isiyolipa ndiyo mojawapo imepelekea Wastaafu kulipwa Mafao ya Kikokotoo. Ipo siku Nmb watapandisha Riba Kwa Wateja kufidia Madeni Kwa Serikali. Siku zote Hizo Udart haijazalisha Fedha ya kununua Mabasi mapya? Kama Serikali hatuwezi biashara mnajiingiza huko kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…