Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yule DP wa bandari alikuja na nini,Si nasikia wanaibinafsisha, sasa anayebinafisishwa anakuja na uwekezaji gani?
Ngedere anaruka ruka tu kwenye matawi ya miti.Kwani Kafulila anasemaje
Hayo mabasi wanamnunulilia mwekezaji na ukute mwekezaji NI mapapa wa nchii hii yanatumia fedha zetu wenyewe halafu yanakuja kwa mgongo wa uwekezaji ! Serikali inanunua mabas baadae utasikia amepatikana mwekezajiNimepata hasiraa.. Kama walisema wametafuta mwekezaji, Serikali inanunua mabasi ili iweje?
Miaka yote ya kuendesha mradi umeshindwa kumaintain na kujinunulia mabasi mapya mpaka unakopa?
Ujenzi wa barabara mkopo na uendeshaji wake ni mkopo!
Kama wamezishindwa kwanini wanaingia madeni mapya kujenga barabara mpya tena nyembamba kuliko za awali ilhali ya ruti ya Kimara wamenyoosha mikono!
Na mbona kakimbia kutaja kiwango cha mkopo!
Hawachelewi kugeukanaKwani Kafulila anasemaje
Kumbe unajua halafu unazunguka zunguka tuHayo mabasi wanamnunulilia mwekezaji na ukute mwekezaji NI mapapa wa nchii hii yanatumia fedha zetu wenyewe halafu yanakuja kwa mgongo wa uwekezaji ! Serikali inanunua mabas baadae utasikia amepatikana mwekezaji
Hapo hakuna wa Dubai kuna kivuli cha wadubai Ila wazee wakucheza na system wapo bongo hapahapa tunadanganywa mwekezaji kumbe kuna mtu anatafuna fedha za umma kwa kivuli cha uwekezajiKwaiyo uyo Dubai anakuja na nini?
Na kuelewa ingawa sidhani kama Mhede ndio aliifikisha hapo..huyo aliikuta UDART ipo ICU, akaizika kabisa..shida yangu kuu ni akina nani waliipeleka ICU na wamechukuliwa hatua gani?Nitajibu swali la pili tu.
Waliosababisha Ni kina Mhede, yule aliyeshindwa TRA, akashindwa vibaya UDART, Sasa hivi Ni NAIBU KATIBU MKUU.
tilia mstari KATIBU MKUU wa wizara.
Unaweza kuta na huyu wa Sasa akifeli akapewa posti nyeti.
Wazo zuri, watafute mwekezaji wa kuendesha huo mradi.Kwa nini hayo mabasi wasiyabinafsishe tu kwa sekta binafsi, halafu hiyo serikali ikajikita kwenye ukusanyaji wa kodi na pia kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji!
Serikali haijawahi kufanya biashara kwa ufanisi, Hayo mabasi hata yakiletwa elfu 10 yatafanyiwa ufisadi mpaka kampuni itakufa, rejea zilivyokufa kampuni za magari za mikoa kwa nini msiwaachie sekta binafsi? Kwa kweli viongozi wetu mnakera sana kwa sababu mwisho wa siku tutakaolipa haya madeni ni sisi wananchi kupitia kodiMsajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
Kule Kwa Wajomba hatukopesheki tena!??Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
Sahihi broo Kwanza magari yaliyopo yanafanya kaz ipasavyo then waongeze, alafu kukopa pesa V8 zao mbona hazna production yyte na zina bajeti husika inamana swala la mabasi lenye kuleta faida ndo Hadi wakope?Mabasi ya mwendokasi wanakopa ila maV8 ya kutembelea wao hawakopi.. Shubastad..
Na je wana uhakika haya yaliyopo hayatoshi, kama mara 2 hivi nishakuwepo kituo cha mwendokasi pale feri, linakuja basi, linashusha watu linapaki, jingine linakuwa tupu, linaondoka likiwa tupu, jingine linashusha kisha linapaki, haji mpaka mjazane, yaani upite muda fulani ndio aje, haijalishi mko wengi kiasi gani.. Kabla ya mabasi mapya kwanza watizame waendeshaji wana akili humo vichwanj mwao!??
Hapo kwenye mkopo na kuagiza basi mpya tunaenda kupigwa na kitu kizito, gari ya milioni 100 mtumba, watatwambia ni milioni 500Sahihi broo Kwanza magari yaliyopo yanafanya kaz ipasavyo then waongeze, alafu kukopa pesa V8 zao mbona hazna production yyte na zina bajeti husika inamana swala la mabasi lenye kuleta faida ndo Hadi wakope?
Halafu meneja atakula nini? Ila umeongea point ya maana basi tu ni tumbo kwanza.Kwa nini hayo mabasi wasiyabinafsishe tu kwa sekta binafsi, halafu hiyo serikali ikajikita kwenye ukusanyaji wa kodi na pia kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji!